Ukimkuta mwanamke si bikra usimuamini hata kidogo

Ukimkuta mwanamke si bikra usimuamini hata kidogo

Kama mwanaume hujawahi ku -sex na ukamkuta mwanamke sio bikira achana nae kwani atakusaliti, lakini wewe umeshacheza na ukamkuta sio bikira ni size yako kwani mmekutana wezi wa aina moja . Na kama umeshacheza ukamkuta bikira tubu na mchukue ni mchumba wako na usitoke nje kamwe. Ni zawadi kutoka juu
Uko sawa kwa mtazamo wangu!
 
Na mwanaume bikra kweli hawezi kimbilia kwa mwanamke wa kwanza?!
 
Mbona hata tunaowatoa bikra ni nyau tu we sali hata akichepuka basi apite kuliko salama na kama ukitaka wako peke yako basi umuumbe mwenyewe alijisemea mwana fa
 
Wanawake wengi hupenda sana ndoa (kuolewa). Asipo olewa na mwanaume anayempenda sana ataolewa na mwanaume yeyote ambaye anaona ana mwelekeo wa kumuoa.

Sasa mwanaume mwenzangu usije ukajiroga eti kwa sababu huyo mwanamke kaolewa na wewe ndiyo anakupenda sana La hasha!!!!!

Amini amini nakuambia siku akija kukutana na mwanaume anaye mfeel atampa mzigobkma kawaida.

Ukiukubali ukweli huu utakuwa umefanikiwa kujiandaa kisaikolojia kuhusiana na fadhaa utakayo ipata siku ukija kugundua kuwa ninacho kisema ni kweli.

Pinga kama una hoja
 
Hizo mbwembwe tu..unakuta limtu limetoboa vitoto vya watu..halafu likitaka kuoa linataka bikra..ukitaka bikra na wewe uwe bikra..au kama vipi mfuate demu wako wa kwanza kabisa kukufanya uwe mwanaume umuoe..mapenzi ya dhati yanatoka moyoni sio kwenye k...
 
Hizo mbwembwe tu..unakuta limtu limetoboa vitoto vya watu..halafu likitaka kuoa linataka bikra..ukitaka bikra na wewe uwe bikra..au kama vipi mfuate demu wako wa kwanza kabisa kukufanya uwe mwanaume umuoe..mapenzi ya dhati yanatoka moyoni sio kwenye k...
Ni khweri yako wewe unayewaza hivyo lakini siku ukija mfumania mkeo na lijamaa lililo mtoa bikra usije kutuletea mapovu yako humu.
Sikia la wakuu usije vunjika guu
 
Ni khweri yako wewe unayewaza hivyo lakini siku ukija mfumania mkeo na lijamaa lililo mtoa bikra usije kutuletea mapovu yako humu.
Sikia la wakuu usije vunjika guu
Nadhalia tu..aliwazalo mjinga ndio litalo mtokea..
 
Pambana na hali yako jombaa baki na mawazo yako yaliyochakaa..

Unajua nyinyi watoto mnajadili mambo ambayo hata baba yako akiyaona ataweza kukulaani au unajadili jambo ambalo ukilichunguza kwa undani utajikuta unajitukana mwenyew..

Je kama baba yako alimuoa mama yako akiwa sio bikra kwahyo baba yako alioa mke wa mtu? Na vilevile utambue kwamba huyo uliyenaye si baba yako mzazi..

Acheni ujinga
 
Back
Top Bottom