Ukimkuta mwanamke si bikra usimuamini hata kidogo

Ukimkuta mwanamke si bikra usimuamini hata kidogo

Mimi mwanamke atakaye kula mahari Yangu ni yule ntakae mkuta na bikra kwahiyo bado naendelea kusachi.
 
Salam
Pindi unapoanzisha mahusiano na mwanamke na hatimaye kufunga ndoa, mbaya ukamkuta si bikra, basi hesabia maumivu katika ndoa yako, muda wowote unaweza salitiwa.

Atakusaliti ama kwa yule aliye mtoa bikra ama kwa Yeyote yule.
Kuwa makini mwanaume usikute unaibiwa hapo ulipo. Epuka ndoa na Mwanamke wa hivyo.
Ni kweli kabisa. Nilipotangaza vita na mke wangu malaya mtu mmoja kwenye kikao alisema kwani ulimkuta bikra akimaanisha niache kumfuatilia nilinyamaza kimya...sasa mambo ni sizzling
 
Salam
Pindi unapoanzisha mahusiano na mwanamke na hatimaye kufunga ndoa, mbaya ukamkuta si bikra, basi hesabia maumivu katika ndoa yako, muda wowote unaweza salitiwa.

Atakusaliti ama kwa yule aliye mtoa bikra ama kwa Yeyote yule.
Kuwa makini mwanaume usikute unaibiwa hapo ulipo. Epuka ndoa na Mwanamke wa hivyo.
na wewe pia si unakutwa bila govu? labda mkuu ukitaka bikra ukapande mgomba.
 
Back
Top Bottom