Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn Brother imekubali NONDO yako

Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Brother! Big up kwa ujumbe wako adhimu , that's a real smart fact 🙏🏼
 
Anakudharau na ataendelea kukudharau kwa sababu anakuona wewe ni fala kuwa na mahusiano na yeye kwa sababu yeye ni singo maza.

Anajua fika ya kwamba mwanamme kamili anayejielewa hawezi kuwa na mahusiano serious na singo maza.
Nimeshajifunza
 
Ukimwezesha mwanamke matokeo ya uwezeshaji wako ni kwaajili yake peke yake, wakati wewe ni kwaajili yake na familia, na zaidi kukuweka chini ya miguu yake akutawale.
Sio kweli inategemea usiowe mwanamke wa hivi mbinafsi tafuta tu mwenza sahihi usiwe negative hivi na maneno ya vijiweni
 
Nimeshajifunza
Bado mkuu ujamaliza kozi nzima endelea kuisoma mwisho utaujua ukweli kwamba kwenye mzunguko wa maisha kuna positive alafu kuna negative Kwahiyo kama ukiwa na mke positive mambo kama haya ya dharau sijui usaliti hayatokuwepo tafuta tu mwenza sahihi, watu wapuuzi negative hawafai iwe kwa mwanaume au mwanamke inshort tafuta mwenza sahihi kusaidiana ni vitu vya kawaida tu kwa wapenzi kama ukiwa sehemu sahihi
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Hii ukwel kabisa haina kupinga
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Hii nimeiona na imenitokea!

Nikachill na kujifanya siiombi Wala siitaki na badae nikasema nyakati za kuwa pamoja zimeisha!!
 
1. Anakudharau na ataendelea kukudharau kwa sababu anakuona wewe ni dhaifu, fala, boya, jinga kwa sababu una mahusiano serous na yeye ambaye ni singo maza.

2. Anajua fika ya kwamba mwanamme kamili anayejielewa hawezi kuwa na mahusiano serious na singo maza wala kuvumilia red flags kama disrespect na cheating.

3. Mwanamke anamuheshimu mwanamme anayejiheshimu. Tabia za mwanamme anayejiheshimu, mahusiano yake na singo maza ni hit and run, mwanamke akimkosea adabu au akichepuka ni lazima amuache n.k.

4. Hupaswi kufanya favor kwa mwanamke yeyote mwenye red flag kwenye mahusiano.

5. Unapomsamehe mwanamke aliyekukosea, kwenye akili yake anatafsri ya kwamba wewe ni dhaifu, hujithamini, huna pa kwenda, mjinga, mpumbavu na sifa mbaya nyingi kuhusu wewe.

6. Singo maza siyo wa kuoa, ni wa kugonga na kusepa.
Huyo jamaa uliyomquote sio tu ni bwege au mjinga Bali ni mtu ambaye akili zake hazina akili au tuseme ni chizi sijui karogwa huyo... Yaani nimesoma story yake mpaka nimepata hasira.

Binafsi naungana na huyo single mama kwa yote anayomfanyia, yes mwanaume kama huyo ambaye hajui thamani yake ni hatakiwi kuheshimiwa hata kidogo na ni haki yake kumdharauliwa na Kila mtu sio wanawake...

Unakaaje na mwanamke ambaye anakufanyia vitimbi vyote Bado uko nae?? Naamini kabisa huyo single mother siku akitaka kuongeza mtoto lazima atamtafuta baba mtoto wake ndio azae nae na hawezi kubeba mbegu ya huyu fala... Huyo fala yeye atahusishwa kwenye malezi tu basi kama ambavyo anahusishwa kwenye kumlea huyo wa kwanza.

Eti jamaa linajinasibu kabisa limefanya hayo yote hili kumfurahisha huyo single mother mara sijui haliko tayari kuingia kwenye mahusiano mengine yaani linaongea utafikiri labda halidindishi na huyo single mother wake analifichia Siri.... Jinga sana hilo
 
Yah n kweli n mtamu.

Pia n kwamba mm sina yale mambo ya kuwa na wanawake wengi, hapa nna miaka 28 lkn nimekuwa na mahusiano na wanawake kama nane hv na kati ya hao n watano tu ndo nmesex nao, yn mm naonaga uvivu sana kumpenda mwanamke So nikiwa na mtu afu akinizngua hua naumia sana mana sina mbadala.

Pia nimewekeza sana kwa huyu wa sasa, so Naona kama kuachana nae tena n kama kupoteza yote zaidi.

Pia mara nyingi yeye ndo hua anajirud na kutaka tuwe sawa, kuna wakati nliwah kumpotezea ila akajirudi na mambo yakaenda.

Anyway, mambo anayonifanyia yanazidi kutengeneza red light Kwenye moyo wangu so soon atakuwa chombo cha starehe tuu.
Wewe jamaa ni mtu wa ovyo sana, kilichobaki hapo ni huyo mwanamke kuja kukuua tu basi hili apunguze idadi ya foolish men mliojazana kwenye jamii yetu... Tena Mimi nitakuwa hapa kumtetea kwamba she's innocent na amekuua bilia kukusudia.
 
Wewe jamaa ni mtu wa ovyo sana, kilichobaki hapo ni huyo mwanamke kuja kukuua tu basi hili apunguze idadi ya foolish men mliojazana kwenye jamii yetu... Tena Mimi nitakuwa hapa kumtetea kwamba she's innocent na amekuua bilia kukusudia.
Nimeshajifunza mkuu, najua nilikosea mno ila sasa nimepata funzo.
 
Huyo jamaa uliyomquote sio tu ni bwege au mjinga Bali ni mtu ambaye akili zake hazina akili au tuseme ni chizi sijui karogwa huyo... Yaani nimesoma story yake mpaka nimepata hasira.

Binafsi naungana na huyo single mama kwa yote anayomfanyia, yes mwanaume kama huyo ambaye hajui thamani yake ni hatakiwi kuheshimiwa hata kidogo na ni haki yake kumdharauliwa na Kila mtu sio wanawake...

Unakaaje na mwanamke ambaye anakufanyia vitimbi vyote Bado uko nae?? Naamini kabisa huyo single mother siku akitaka kuongeza mtoto lazima atamtafuta baba mtoto wake ndio azae nae na hawezi kubeba mbegu ya huyu fala... Huyo fala yeye atahusishwa kwenye malezi tu basi kama ambavyo anahusishwa kwenye kumlea huyo wa kwanza.

Eti jamaa linajinasibu kabisa limefanya hayo yote hili kumfurahisha huyo single mother mara sijui haliko tayari kuingia kwenye mahusiano mengine yaani linaongea utafikiri labda halidindishi na huyo single mother wake analifichia Siri.... Jinga sana hilo
Nmekuelewa mkuu, nakubali nilikuwa mpumbavu kipindi hicho ila sasa nimejifunza.
 
Wewe jamaa unaishi kwenye idealistic World, unahitaji kupigwa Kofi zito hili utoke kwenye huyo utopia na Kuja kwenye ulimwengu halisi.
Na wewe nakuonea huruma kama ndoa yako imeshakupeleka 'hell'. Ndoa haitakiwi ikupe mateso hivyo, either you had a wrong choice or she had a wrong choice and now you are entangled. Pole sana!
 
Sasa kwanini mnadanga?, kwanini mnataka kuwa entitled kwenye mali za mwanaume?, si mtumie izo opportunities za vicoba.
Nakwambiaje,with higher participation of girls into higher education these days expect women with higher salaries tomorrow...nyie wanaume wenye ego za ajabu ajabu mtakesha mitandaoni mkitoq sumu zenu mpk basi...
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Nakubali 💯%
Na akianza kuwa na pesa nyingi kukuzidi tafuta any means zipungue awe kawaida.
 
Nakwambiaje,with higher participation of girls into higher education these days expect women with higher salaries tomorrow...nyie wanaume wenye ego za ajabu ajabu mtakesha mitandaoni mkitoq sumu zenu mpk basi...
Haujajibu nilichokuuliza. Kwanini mnadanga, Kwanini mnataka kuwa entitled kwenye mali za mwanaume, badala ya kutumia izo opportunities za vicoba?
 
Back
Top Bottom