Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 50 hana pesa ataipata lini? Alifanya nini duniani katika miaka yake 50?
Dada una miaka mingapi mpk ukaolewe na wa 50.wkt vijana tupoMiaka 50 hana pesa ataipata lini? Alifanya nini duniani katika miaka yake 50?
Sasa huyu anaishi kwenye chumba kimoja katika nyumba ya vyumba sita. Akifungua mlango wa chumbani anatazamana na mlango wa jirani yake.Sasa utakuwa ulimpendea nini Sky?
Alikushauri vizuri?
Maana navyoelewa uhandsome umeshamuisha.
Kuvaa ameshasahau.
Mistari tq kutongozea ishazeeka.
Mtu wa miaka hiyo umkubalie umemkuta ndani ya mansion au ndinga kali.
😂😂😂Mbona midogo sana iyo
Nna mfano ulio hai Mshana Jr anamiaka 74 ila pesa kaanza kuzishika akiwa na miaka 63
Life halitabilik hili jaman mkubalie tuu uyo Kiumbe bado kijana sana uyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila babu wa Loliondo alivuna uzeeni...hao wazee wana ngekewa balaa.Sasa huyu anaishi kwenye chumba kumoja katika nyumba ya vyumba sita. Akifungua mlango wa chumbani anatazamana na mlango wa jirani yake.
Ndinga lake mwendo kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Siongelei utajiri lakini kama miaka 50 hujui kesho utakula nini huoni kuwa ni hatari hapo?Huwa wanasema mafanikio hayana umri. Watu wawili maarufu sana waliowahi kuishi hapa duniani ni Jesus Christ na mtume Muhammad.
Wakati Jesus alipata umaarufu wake akiwa mtoto na akaishi miaka michache sana hapa duniani. Muhammad yeye alipata umaarufu akiwa ameisha kuwa mtu mzima kabisa lakini aliishi miaka mingi zaidi sana ya Jesus.
Hivyo hivyo kama ulivyo umaarufu, hata, utajiri pia hauna umri. Kuna wanaopata mapema na kuna wanaochelewa na kupata baadae sana huko uzeeni.
Ndiyo inaleta ukakasi na inafikirisha sana lakini sasa mtu afanyeje? kama mambo yake yamekuwa hivyo hakuna namna zaidi ya kuendelea kupambana na kusubiri kwa matumaini aone kesho yake itamjia na nini?Siongelei utajiri lakini kama miaka 50 hujui kesho utakula nini huoni kuwa ni hatari hapo?
Hata kama ulianza kulima ukiwa na miaka 25, miaka 50 utakua unamiliki mugomba ya ndizi na kuku.Ndiyo inaleta ukakasi na inafikirisha sana lakini sasa mtu afanyeje? kama mambo yake yamekuwa hivyo hakuna namna zaidi ya kuendelea kupambana na kusubiri kwa matumaini aone kesho yake itamjia na nini?
Vinginevyo ukifikiria sana hayo mambo ambayo kwa kweli wakati mwingine yako nje ya uwezo wetu kama binadamu, unaweza jinyonga bure!!
Ndiyo maana kuna ndugu yangu mmoja mwalimu akawa analalamika ugumu wa maisha. Nikamwambia ashukuru yeye ni mwalimu, angeweza kuwa hata wale wanaotembeza dawa ya mende/mbu ila kwa mapenzi ya Mungu amekuwa mwalimu bado analalamika.
Jamani watu wote hatuwezi kuwa matajiri hivyo wakati mwingine tushukuru tu kwa nafasi zetu za kimaisha tulizojaariwa. Japo wengi wetu tunalalamikia status zetu mbovu za kimaisha kuna wengi nyuma wanaangaika na kutamani walao wangekuwa pale tulipo!!
Sasa huyu anaishi kwenye chumba kimoja katika nyumba ya vyumba sita. Akifungua mlango wa chumbani anatazamana na mlango wa jirani yake.
Ndinga lake mwendo kazi.
Mkuu hata kulima siyo unaaza tu kulima! Unalima ardhi ya nani kama huna pa kulima? Pia kuna wengi walianza kulima hata kabla ya hizo miaka 25 lakini at 50yrs hata huo mgomba hawana.Hata kama ulianza kulima ukiwa na miaka 25, miaka 50 utakua unamiliki mugomba ya ndizi na kuku.