Ukimpata mchumba ana miaka 50 anasema umpa muda atafute pesa kuna muoaji hapa?

Ukimpata mchumba ana miaka 50 anasema umpa muda atafute pesa kuna muoaji hapa?

Huo ni UZEMBE !

Yaani una miaka 50+

- Mzima Wa Afya
- Hujaugua ugua sana kwenye maisha yako
- Huna ulemavu wowote

Bado unakula kwa #Tabu Tubu aisee!

Hata kupanda shamba la mikorosho ulishindwa ?
Ndugu, maisha ya kuwa nacho au kutokuwa nacho ni mchakato siyo straight away kama unavyodhani. Kama wewe umefanikiwa straight away na ukaweza ku-maintain usidhani huo mfumo wako wa maisha una-apply kwa wote. Hivyo wale wasiokuwa nacho kwenye late years za maisha yao basi ni wazembe, hapana. Kwa ufupi soma hata comment ya Dukani hapo #17.
 
Binafsi nilidhani ukiwa na mzee wa 45 kuelekea 50 anakuwa amemaliza dhambi za dunia hivyo anaamua kutulia Kumbe sikuwa sahili. Niliwahi kukutana na mzee wa hivi ni kwamba Ana uhakika tu wa kula Ila Hana utajiri......jamani ni kiwembe hatare....sket haimpiti nikasarenda nkajisemea Kumbe unavyodhani ndivo sivyo
 
Binafsi nilidhani ukiwa na mzee wa 45 kuelekea 50 anakuwa amemaliza dhambi za dunia hivyo anaamua kutulia Kumbe sikuwa sahili. Niliwahi kukutana na mzee wa hivi ni kwamba Ana uhakika tu wa kula Ila Hana utajiri......jamani ni kiwembe hatare....sket haimpiti nikasarenda nkajisemea Kumbe unavyodhani ndivo sivyo
Hivi kwa mzee wa 50 unatafuta mapenzi au nini? Unakwenda kwa 50+ mwenye maisha yake, anakupeleka Zanzibar hata IST kwa Birthday President si haba.

Sasa kama ana uhakika wa pesa ya kula huko kwa bed ana nguvu kweli?
 
Wanasema kupata pesa ni koneksheni,zaidi ya hapo utapata vishilingi tu vya kubadilishia mboga
 
Hivi kwa mzee wa 50 unatafuta mapenzi au nini? Unakwenda kwa 50+ mwenye maisha yake, anakupeleka Zanzibar hata IST kwa Birthday President si haba.

Sasa kama ana uhakika wa pesa ya kula huko kwa bed ana nguvu kweli?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilitaka tu mtu ambaye hata kuwa na mambo ya kukimbizana na cheating za ajabu Kumbe nilikosea. Sasa hivi mzee wa hivi Kama Hana hela bhaaas. Asee natamani nimpate hata mizengo Pinda, mzee jiwe, na wa aina hizo nitulizwe nijilie vyangu. Bora kulilia kwenye mission kuliko kulilia kwenye daladala
 
Miaka 50 hana pesa ataipata lini? Alifanya nini duniani katika miaka yake 50?
Hahahaha miaka 50 bado anatafuta maisha? Miaka 50 ni muda wa kulea wajukuu ili uwape nafasi vijana wako wa_enjoy alone huku wakitafuta wajukuu wengine!! Miaka 50 inatakiwa uwe kwenye Backyard umevaa msuli unakula kimvuli,Miaka 50 inatakiwe uwe kwenye balcony unakula upepo,miaka 50 inatakiwa uwe unapigiwa simu za kuletewa mapato ya biashara zako,miaka 50 inatakiwa umetulia home na kuwa na dereva wa kukupeleka kutembelea miradi yako , miaka 50 inatakiwa uwe muda mwingi upo kwenye nyumba za nje ya mji ,miaka 50 inatakiwa ..........
 
Hahahaha miaka 50 bado anatafuta maisha? Miaka 50 ni muda wa kulea wajukuu ili uwape nafasi vijana wako wa_enjoy alone huku wakitafuta wajukuu wengine!! Miaka 50 inatakiwa uwe kwenye Backyard umevaa msuli unakula kimvuli,Miaka 50 inatakiwe uwe kwenye balcony unakula upepo,miaka 50 inatakiwa uwe unapigiwa simu za kuletewa mapato ya biashara zako,miaka 50 inatakiwa umetulia home na kuwa na dereva wa kukupeleka kutembelea miradi yako , miaka 50 inatakiwa uwe muda mwingi upo kwenye nyumba za nje ya mji ,miaka 50 inatakiwa ..........
Je watu wote unaowajua wenye miaka 50 ama zaidi wanayo mafanikio hayo?

Kama wewe umepata sio kwamba wewe ni mjanja sana ama ni mtafutaji sana,ni rehema tu za Mungu.
Na yeye sio kama kukosa ni mvivu na sio mtafutaji,pia ni rehema za Mungu tu.
Sidhani kama kufika 50 ndio akate tamaa.
 
Je watu wote unaowajua wenye miaka 50 ama zaidi wanayo mafanikio hayo?

Kama wewe umepata sio kwamba wewe ni mjanja sana ama ni mtafutaji sana,ni rehema tu za Mungu.
Na yeye sio kama kukosa ni mvivu na sio mtafutaji,pia ni rehema za Mungu tu.
Sidhani kama kufika 50 ndio akate tamaa.
Mkuu tuongee ukweli mchungu ,miaka ya 20s -30's hapa kama ramani haisomi lazima ikifike 50 bado mtu atakuwa anatafuta maisha!! Wengi wanatusua kwenye late 20's and early 40's.
 
Pesa kwenye nafas ya kuoa.

Imekaa tofauti tofauti kwa baadhi ya wanaume na wanawake.

Kuna wanawake wengine wanaamin upendo kwanza then pesa inatafutwa ndan ya ndoa.
Wengine hawawez kuolewa na mwanaume ambaye hana pesa.

Na kuna baadhi ya wanaume Pesa kwanza then atafute ndoa.
Na wengine ndoa kwanza hela mdogo mdogo.

So kila mtu na uelewa wake.
 
Pesa kwenye nafas ya kuoa.

Imekaa tofauti tofauti kwa baadhi ya wanaume na wanawake.

Kuna wanawake wengine wanaamin upendo kwanza then pesa inatafutwa ndan ya ndoa.
Wengine hawawez kuolewa na mwanaume ambaye hana pesa.

Na kuna baadhi ya wanaume Pesa kwanza then atafute ndoa.
Na wengine ndoa kwanza hela mdogo mdogo.

So kila mtu na uelewa wake.
My kumpata mtu mkiwa kwenye 30’s mnaweza kuwa na malengo na pesa ikawafuata mkiwa kwanye ndoa. Sasa in 50’s bado mko kwenye chumba cha kupanga mnamatumaini ya kuwin bingo hapo panahitaji msaada wa sala na maombi.
 
Back
Top Bottom