Ukimruhusu mpenzi wako asafiri safari za masaa 24, umeumia!

Vijana hofu kuu ni kuchapiwa. Mnaogopa kuchapiwa kuliko umaskini. Ogopa umaskini Ukiwa tajiri utamlipia ndege
Kwaio wewe kuchapiwa unaona fresh tu
 
ningekua me ndo nimemuekea hyo hapo kati ningekua naumia nikigongewa lkn kwa vile ni yake binafsi sina hofu yeye agawe awezavyo

Pole kwa hilo.
Acha kujifariji hakuna kitu kinaumiza kama kusikia manzi yako analiwa
 
Wewe unasema safari ya masaa 24 ? Wakati kama ni taabia yake hata ukiwa nae anakuaga anafika hapo mtaa wa saba analiwa vizuri tu kisha anairudisha!

Kikubwa tu ni uaminifu vingine Mungu atalinda sio wewe binadam.
 
Mkuu hao ulio walaa nikina mwajuma ndala ndefuuu
 
Mwanamke wako kama “beki hazikabi” anaweza kwenda kuvua chupi mtaa wa pili tu hapo huku kakuacha ndani unaangalia TV

Ni tabia tu na wala sio sijui sound au mchoko wa safari
Au umetoka kumla kuanzia asubuhi mpaka saa tisa ya alasirl, mda huo huo unamwacha anenda kugongwa na mwingine, hii ni tabia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha aliwe tuu uzuri haondoki nacho,
Nilisha mtembelea demu kwake akawa ametoka masaa kadhaa nikasema ebu ngoja nisearch begi lake nikaanza kukuta mara P2, kuzama tena Misoprostol, ikabidi niache nahisi ningetoka na ARV
 
Umepata faida gani kuwala hao watano. Utoto raha sana
 
Babu mawe unanin lakin thread zako za love love tuu veep tujuze au ndio Mwalim wa love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…