Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
π€£π€£π€£π€£Mshenzi tu
Kidogo unawazaga mawazo mazuri mkuuπ€£π€£itakuwa hajanisikia
π€£π€£Mshenzi tu
π€£π€£π€£π€£atakuwa na mawazo yake
π€£π€£π€£π€£jamaa"Daah kweli shobo mbaya sana"
WisdomItakuwa hajanisikia
sasa hapo inabidi utulize shobo ata ukikutana nae tena ni mavi mavi...Vipi kwa wale ambao kwa hakika wamekusikia kabisa?
Tena anakuangalia kama kwa dharau hivi halafu anaendelea na shughuli zake!
ππππBILA KUPEPESA MACHO ALIKIBA ANAELEKEA KUPOTEA KIMUZIKI,JUHUDI STAHIKI ZINAHITAJIKA KUMUOKOA
πππSinaga time ila kama ni mtu nakufahamu nikikusalimia ukauchuna afu tukaja tukakutana tena mara ya pili nikasalimia ukauchuna tena! Sio tabu sikusalimii tena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
πππππdadeq"Huyu mama au anadhani tunalingana ndio maana hataki shikamoo yangu,,, ngoja nije nimtongoze"
πππππsasa hapo inabidi utulize shobo ata ukikutana nae tena ni mavi mavi...
msalaaaVipi kwa wale ambao kwa hakika wamekusikia kabisa?
Tena anakuangalia kama kwa dharau hivi halafu anaendelea na shughuli zake!