Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Nakwambia ukweli,
Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.
Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa
Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.
Utasikia File la kesi husika halionekani
Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.
Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu
𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐦𝐛𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐤𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!
Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake 𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐉𝐢𝐫𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮
𝐌𝐳𝐢𝐠𝐮𝐚, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!
Ukiishi Tanga huko uwe makini.
Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!
Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.
Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa
Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.
Utasikia File la kesi husika halionekani
Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.
Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu
𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐦𝐛𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐤𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!
Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake 𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐉𝐢𝐫𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮
𝐌𝐳𝐢𝐠𝐮𝐚, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!
Ukiishi Tanga huko uwe makini.
Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!