Ishi maisha yako acha kukariri mambo,Kwa hio yasipokukuta wewe means wengine hayawakuti au hayapo kabisa?
we jamaa una masikhara! mi nimeishi Tanga mzee naandika vitu najua!
Ishu za zongo nazijua sana
ishu za vibwengo nazijua sana na vibwengo nishakutana navyo sana huko milima ya usambara korogwe huko
waulize wanaotokea mashewa huko kwa shambalai watakwambia!
waulize watanga watakwambia Maji Marefu ni nani...
kaka hujafa hujaumbika! kua uyaone
Wasambaa haoHivi ni waziguwa au wasambaa ambao Sanitizer wanaita Hassani teiza? [emoji1][emoji1]
Huyu kaja kwa nia ya kusoma upepo ili baadae washikaji zake wasapoti alafu ageuke kwa kujifanya anaweza kuwasaidia wenye matatizo. Sasa tunamkata upepo mapemaMkuu kumuelimisha mtu ambaye shikri imekaa kichwani ni ngumu sana
Nimemkumba Selebosi na Sheikh PapaTanga
Nyumba1=shoga
Nyumba2=shehe
Nyumba3=mganga
Hivi kwanini wanawake wa Tanga hawana udambwiudambwi siku hizii?
Mrembo,wewe ni Mzigua?Acha kufananisha Wazigua na vitu vya ajabu
Badala ya waroge watu kama kina mkuu wa jengo la Ddma n etc !!Ukijenga nyumba nzuri wanakuroga. Uchawi wetu ni wa kijinga sana.
Wanasimuliana kijiweni uwongo huku wakipata kahawaHuyu kaja kwa nia ya kusoma upepo ili baadae washikaji zake wasapoti alafu ageuke kwa kujifanya anaweza kuwasaidia wenye matatizo. Sasa tunamkata upepo mapema
Yes tena original kwa baba na MamaMrembo,wewe ni Mzigua?
Hongera sanaYes tena original kwa baba na Mama
Au wazame NMB wakombe manoti. Sasa usiku unaroga asubuhi hata sukari unakopa kwa mangi.Badala ya waroge watu kama kina mkuu wa jengo la Ddma n etc !!
Mzigua wa wap dadaakeYes tena original kwa baba na Mama
KwedikwaMzigua wa wap dadaake
Endeleeni kulishana matango pori na imani zenu za giza, mwaka 2013 nilienda kununua shamba huko, nilibahatika kupata ekari 50, baada ya kununua nilianza kusikia tetesi kwamba hautokaa ulime, na hata ukilima hautovuna, kwamba utaona mahindi yamebeba lakini ukivuna hupati kitu, au yataliwa na mchwa yote.
Sikuwasikiliza nikajaribu kulima kwanza ekari 10, nikafanikiwa kuvuna nimeendelea hivo na kwa sasa nalima mpka ekari 60, ikitokea mwaka umekuwa mbaya ni kwa sababu ya hali ya hewa na si uchawi.
Ikitokea mchwa umeibuka unadeal nao kwa madawa.
Kujidanganya eti mziguwa hashindwi kesi ni uwezo mdogo wa kufikiri ukichangiwa na makuzi uliokulia yanayoamini ktk waganga wa kienyeji.