Ukimshitaki Mzigua mkapelekana hadi Mahakamani, uwezekano wa Kushinda kesi ni zero percent

Ulibahatika kununua shamba heka 50 ila kwa sasa umefanikiwa unalima โ€œmpaka heka 60โ€....

Sawa.
Nini ambacho hijaelewa? Endapo nilinunua ekari 50 kwa mara kwanza inashindikana nini kulima ekari 60? Akili yako imeishia kwenye hamsini ukasahau 50+10 ni 60 na kuendelea, maelezo yangu yalijikita nilivoanza na ninachoweza kufanya kwa sasa. Lakini kumiliki shamba nina zaidi ya ekari mia moja kwa sasa, maeneo kwa mkono kijiji kinaitwa Kilawili, maeneo ya Kabuku panaitwa njia nne huko.
Wee kalia kuamini uchawi mwisho wa siku utaambiwa muuwe mamako ndo anayezuia mafanikio yako.
Huko wahindi wapenda miembe hii mifupi kwa maelfu, mteja mkuu ni Azam kwa nini wasiloge hiyo miembe isizae au walete nyani waje kuila? Endelea kuvaa hirizi kiunoni ili zikukinge
Ulibahatika kununua shamba heka 50 ila kwa sasa umefanikiwa unalima โ€œmpaka heka 60โ€....

Sawa.
 
 
โ€œKesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.

Utasikia File la kesi husika halionekani

Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.

Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupuโ€


Hili ilitokea kizuani pale mashaidi hawaji kusikiliza kesi mpaka mamdogo kashinda
 
Tuelezee kidogo mkuu ilikuwaje!!
 
File la case linaliwa na mchwa, ubao wa kabati ukiwa salama salmini
 
File la kanali liliokotwa kariakoo sembuse kesi. Dunia ina mazingahombwe
 
Zamani niliamini bara hakuna uchawi kumbe ndio wachawi wakubwa kushinda huku pwani ila kwa propaganda wametushinsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ