Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tema mate chini.Kuamini story za kusadikika za uchawi ni upungufu wa akili.
Nini ambacho hijaelewa? Endapo nilinunua ekari 50 kwa mara kwanza inashindikana nini kulima ekari 60? Akili yako imeishia kwenye hamsini ukasahau 50+10 ni 60 na kuendelea, maelezo yangu yalijikita nilivoanza na ninachoweza kufanya kwa sasa. Lakini kumiliki shamba nina zaidi ya ekari mia moja kwa sasa, maeneo kwa mkono kijiji kinaitwa Kilawili, maeneo ya Kabuku panaitwa njia nne huko.Ulibahatika kununua shamba heka 50 ila kwa sasa umefanikiwa unalima โmpaka heka 60โ....
Sawa.
Ulibahatika kununua shamba heka 50 ila kwa sasa umefanikiwa unalima โmpaka heka 60โ....
Sawa.
Nakwambia ukweli,
Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.
Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa
Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.
Utasikia File la kesi husika halionekani
Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.
Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu
๐ฆ๐๐๐ฅ๐ข ๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ฆ๐๐ฐ๐๐ง๐ ๐ ๐ฏ๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ค๐๐ฆ๐๐ง๐ข,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!
Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake ๐ข๐ฅ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ข๐ซ๐๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ
๐๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!
Ukiishi Tanga huko uwe makini.
Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!
View attachment 1946681
Tuelezee kidogo mkuu ilikuwaje!!โKesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.
Utasikia File la kesi husika halionekani
Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.
Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupuโ
Hili ilitokea kizuani pale mashaidi hawaji kusikiliza kesi mpaka mamdogo kashinda
nipo hapa mkuu nikopeshe laki usahau kunidai๐ ๐ ๐Uliyepost haya yote, tutaonana...
File la case linaliwa na mchwa, ubao wa kabati ukiwa salama salminiNakwambia ukweli,
Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.
Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa
Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.
Utasikia File la kesi husika halionekani
Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.
Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu
๐ฆ๐๐๐ฅ๐ข ๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ฆ๐๐ฐ๐๐ง๐ ๐ ๐ฏ๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ค๐๐ฆ๐๐ง๐ข,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!
Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake ๐ข๐ฅ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ข๐ซ๐๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ
๐๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!
Ukiishi Tanga huko uwe makini.
Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!
View attachment 1946681