Ukimtaka Mwanamke/msichana...the Do's and Don'ts

Kutongoza ni namna mtu awezavyo kufikisha ujumbe ktk upande wa pili kwa kutumia lugha, ambayo inaweza kuwa ktk namna mbalimbali mfano kwa mazungumzo, ishara, tabasamu nk. Hapa kinachozingatiwa zaidi ni ushawishi haihitaji darasa.
 
Japo kiasi fulani mtu anaweza kujifua kupitia makala na vitabu lakini mara nyingi kutongoza ni tendo la asili huwa linatokea tu.

Asante kwa elimu ulotuletea.
 

binti una mbwembwe sana ww!
 
Daah......................sijui kwa nini mi macho yangu yameona apo tu. Asante Kaizer na nakutakia siku njema ya siku ya valentino na wewe pia...........najua Ashadii lazima atatabasamu akiisoma hii.......lol

Kbd Ukiona hivyo ujue hapo ndo UNAPAELEWA zaidi, yaani pamekugusa...lol Asante happy valentine too😛oa
 
Reactions: Kbd


Mkuu Mess..nakubaliana kabisa hapo

hapo kwen kudanganyana, tuende mbali zaidi kuona unamdanganya nini? Maana kwa vile kuna mtu anaamini katika kudanganya, anajaribu kumdangaya mdada kwa "kumuua" rafiki yake...that aint manly au sio?
 

In preparation....please be patient😛oa
 
Hivi bado mnatongozana mpaka leo
Mm nilifikiri wote tayari mna wenu
Au hili somo ni huku JF tu, kwani mara kongosho
na nani, mara bro kaizer na Nani?
Anyway Bro Thanks.
Nitaiprint hii nimpatie yule ankol wako
aliyemaliza fm foo juzi apate maujuzi.

halafu, DaMie, kama hajafaulu, mwambie nakuja kumnyang'anya dada...kwetu hatujakuchoka ivo
 
Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwalimu wa projects..hebu tutanabahishe kuhusu hizi projects!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…