Ukimtoa Askofu Gwajima ni Mbunge gani mwingine wa CCM anayeweza kujaza Watu kwenye Mikutano yake?

Ukimtoa Askofu Gwajima ni Mbunge gani mwingine wa CCM anayeweza kujaza Watu kwenye Mikutano yake?

Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
Wako wengi tuu sema wewe ndio unajilisha upepo..Hata hivyo wabunge wa mjini ni kawaida kwa watu kutohudhuria tofauti na Vijijini.

Mmja wapo Huyu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220706-202705.png
    Screenshot_20220706-202705.png
    258 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220706-202745.png
    Screenshot_20220706-202745.png
    44.8 KB · Views: 5
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
Badala ya kujadili Mambo ya Maana yenye Tija kwa Taifa unajadili kujaza Watu ili iweje?
 
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
Isijekuwa ni wale wa Jumapili wameshindwa kutofautisha
 
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.

Anaifanyia wapi? Jimboni au? Ama unasema mikutano ya injili
 
Back
Top Bottom