Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae

Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae

Anaweza kupingana na maamuzi ya bunge akakutunuku kitumbua kwa siri.

Akinogewa anakuficha huku akijifanya anakuponda akiwa bungeni.
Hahahah hapo ndio utajua mapenzi yana nguvu ya ajabu😂 kikubwa mtoto akuelewe tu. Bunge linaendeshwaga kinafiki sana sometimes unaweza kuta mjumbe mwengine anaponda ili ajiweke yeye.
 
Hahahah hapo ndio utajua mapenzi yana nguvu ya ajabu😂 kikubwa mtoto akuelewe tu. Bunge linaendeshwaga kinafiki sana sometimes unaweza kuta mjumbe mwengine anaponda ili ajiweke yeye.
Kuna mdada aliwachuuza wenzie kamponda jamaa ana kiba Ila anamwaga pesa balaa… si mashosti wakajichanganya awww walichokutana nacho 🤣🤣🤣🤣
 
Cha kufanya muundie group la Wahuni wenzio muad kisha Weka picha yake jamani anafaa kuwa shemeji yenu? Nayeye asikilizie moto.

Akili zangu za zamani zinanituma hivyo
 
Back
Top Bottom