Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Huyu kipa bila ya shaka anaonekana ni bora sana Tanzania kwa sasa. Hata hivyo ameshindwa kuimarika na inaonekana ameshafika kileleni.
Katika mazingira ya mechi ngumu huwa anavuja sana kwenye 'long range efforts'. Si mara zote kuwa tumaifu mpiga hi, bali Aisha ana misposition ama anakuwa hana utayari wa ku overstretch.
Zoom vyema rekodi zake na uone asili ya magoli anazofungwa. Je, hajazifanyia kazi?
Manula Manula, anaiumiza Simba.
Katika mazingira ya mechi ngumu huwa anavuja sana kwenye 'long range efforts'. Si mara zote kuwa tumaifu mpiga hi, bali Aisha ana misposition ama anakuwa hana utayari wa ku overstretch.
Zoom vyema rekodi zake na uone asili ya magoli anazofungwa. Je, hajazifanyia kazi?
Manula Manula, anaiumiza Simba.