Ukimuangaza Manula kwa makini, kuna kitu anaiumiza Simba

Ukimuangaza Manula kwa makini, kuna kitu anaiumiza Simba

Mimi simlaumu manula, nalaumu management ya team.

Sidhan kama pale simba tuna kocha bora wa makipa. Fuatilia wakati ule amekuja huyu kocha wa makipa mbrazil ambaye alifukuzwa pamoja na Gomez akaenda yanga. Wakati akiwepo manula aliimarika sana hasa kwenye mipira ya mbali ambalo ni tatizo kubwa kwake. Alivyoondoka huyu kocha, hawa wanaokuja hawajawa na mbinu za kutatua tatizo hilo.
 
nashauri apimwe macho nahisi haoni kwa mbali
Umenikumbusha kwa aliyekuwa kipa wetu enzi hizo Mackenzie Ramadhani alikuwa bora sana golini alikuwa afungiki kirahisi, baada ya mechi kadhaa wapinzani wakajua udhaifu wake kwamba haoni mbali wakawa wanamtungua kwa magoli ya mbali!
 
Hebu tutoleeni ma uchambuzi yenu bwana.. mtu amefungwa goli 4 tuu toka ligi ianze mnamuona mbaya? Magoli aliyofungwa yote ni ya juu na alijitahidi kuruka mnataka afanyaje sasa.Tuachieni Simba yetu
 
Mimi simlaumu manula, nalaumu management ya team.

Sidhan kama pale simba tuna kocha bora wa makipa. Fuatilia wakati ule amekuja huyu kocha wa makipa mbrazil ambaye alifukuzwa pamoja na Gomez akaenda yanga. Wakati akiwepo manula aliimarika sana hasa kwenye mipira ya mbali ambalo ni tatizo kubwa kwake. Alivyoondoka huyu kocha, hawa wanaokuja hawajawa na mbinu za kutatua tatizo hilo.
Kwaiyo manura msahaulifu sio?
 
Hebu tutoleeni ma uchambuzi yenu bwana.. mtu amefungwa goli mbili 4 tuu toka ligi ianze mnamuona mbaya? Magoli aliyofungwa yote ni ya juu na alijitahidi kuruka mnataka afanyaje sasa.Tuachieni Simba yetu
Ubaya magoro yote kafungwa mazuri
 
Huyu kipa bila ya shaka anaonekana ni bora sana Tanzania kwa sasa. Hata hivyo ameshindwa kuimarika na inaonekana ameshafika kileleni.

Katika mazingira ya mechi ngumu huwa anavuja sana kwenye 'long range efforts'. Si mara zote kuwa tumaifu mpiga hi, bali Aisha ana misposition ama anakuwa hana utayari wa ku overstretch.

Zoom vyema rekodi zake na uone asili ya magoli anazofungwa. Je, hajazifanyia kazi?

Manula Manula, anaiumiza Simba.
Utopolo mpo vizuri sana kwa propaganda.
Kuna wapumbavu ukiweka mtego hivi wanaingia wazima wazima wanaanza kukusaidia unachokitaka.

Manula hana baya
 
Kila binadamu ana madhaifu yake
Nadhani manula mashuti ya mbali sio mzuri na hajirekeshi kwa hilo
Simba wapate kipa kama diara ampe changamoto ya nafasi
 
Huyu kipa bila ya shaka anaonekana ni bora sana Tanzania kwa sasa. Hata hivyo ameshindwa kuimarika na inaonekana ameshafika kileleni.

Katika mazingira ya mechi ngumu huwa anavuja sana kwenye 'long range efforts'. Si mara zote kuwa tumaifu mpiga hi, bali Aisha ana misposition ama anakuwa hana utayari wa ku overstretch.

Zoom vyema rekodi zake na uone asili ya magoli anazofungwa. Je, hajazifanyia kazi?

Manula Manula, anaiumiza Simba.
Asee umeongea fact...amekuwa anafungwa magoli ya aina moja...kwa kuwa ni kazi yake angelifanyia mazoezi...
 
Air manula
572E7CB9-3E03-42C4-AE72-68B07B0C01EE.jpeg
 
Back
Top Bottom