Binafsi sijaoa ila ikinikuta na akili yangu isiyopenda kufuga upumbavu nitafanya hivi
kwanza nawafutilia mienendo ili nijue ni rafiki/ndugu au mpenzi wake hapa nitajua kutokana na tembea zao kwa sababu kuna utofauti ya kutembea kati ya watu wanaofamihana na wapenzi .
njia nyingine nitamark vituo vyao wanavyosimama na watu wanaongea nao ili siku nyingine niwafate niwaulize kwa sababu hawa watakua wana document zao zote
Pili ,nikugundua ni mpenzi wake najua nitakua emottional pain ila kwa kudhibiti nitanza kutumia akili kujijengea chuki na visasi yani hapa sifikilia kwanini amefanya vile wala sitaki kujua kwa nini amefanya vile mimi nachojua amevunja sheria kwa kusaliti ndoa yake kwa hiyo anastahili kupewa talaka no matter what what
tatu,kama na watoto lazima nitawapima DNA kwa kujifanya naenda kuwafanyia check up (muda huo nitajifanya mr.nice guy kupita maelezo 😁) kama watotp sio wangu natunza document kwa ajili ya tukio la baadae
nne,nafungua akaunti nyingine,mmiliki wa mali zetu zote namuandika mama yangu
tano,nampa talaka namfungisha mizigo aende kwao kwa kumshutukiza bila kumpa sababu ya mimi kufanya hivyo hapa najua itakuwa kama shambulio la kigaidi lazima akose cha kufanya huku lazima nafsi yake ikihaha huenda nimegundua ufuska wake
Sita,sitaki ushauri wa mtu awe mzazi wangu wala nani
pia sitaki majadiliano au vikao na mtu kuhusu talaka yangu na yeyote ateyejalibu kuforce aisee aje uku amevaa helment maana sio kwa makelebu hayo yatakayo mkuta😎
7.MAN DONE!!!