we fala kweliNaanza kutoa kipigo kwanza tena kipigo chenyewe kinaitwa "bwana yu nasi" then ndo naanza kumsikiliza wakati huo hana meno akiwa anaongea thi thi Kama zote..[emoji28] "thi thi tulikuwa tunaenda thambani kuangalia thamba Kama limethaa.."[emoji1787]
Thumbafu wewe..πwe fala kweli
Thumbafu wewe..[emoji23]
Hii ni ishara ya kumuonea wivu MWANAUME mwenzio....Fikiria uko mjini unakatiza mitaa Mara paaap wife na mshkaji halafu wako huruu wanagonga mikono na vicheko kibao jamaa humjui Wala Nini niambie mkulungwa mwenzangu utafanyaje utawapa hai na kuwaacha waendelee na hamsini zao au utawajoin. Niambie mkulungwa mwenzangu utafanyaje.
mzee umeoa?Ukikosea kuoa ndo stress zote hizi..
Hapo kwenye kipindi cha maswali na majibu sasaππππππNamwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia
Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,
Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani
Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
πππππππππππnimecheka jamaniNaanza kutoa kipigo kwanza tena kipigo chenyewe kinaitwa "bwana yu nasi" then ndo naanza kumsikiliza wakati huo hana meno akiwa anaongea thi thi Kama zote..π "thi thi tulikuwa tunaenda thambani kuangalia thamba Kama limethaa.."π€£
Nawapa hi kwa bashasha, nashake mikono yao na kiwatakia mchana mwema, napita zanguFikiria uko mjini unakatiza mitaa mara paaap wife na mshkaji halafu wako huruu wanagonga mikono na vicheko kibao jamaa humjui wala nini.
Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanya? Utawapa hai na kuwaacha waendelee na hamsini zao au utawajoin? Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje?
Wewe ni jasiri sana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Imetokea hii leo ..
Nlikuwa kwa shoeshine nasubiri viatu vyangu Mara paap simu hii hapa .
Oi Hp ukwapi nipo Mjini leo .. nipo kwa mangi paap Huyu hapa.. ukiwa unasubiri viatu twende somewhere ..kona ya kwanza ya pili ..paap hp mume wangu yule pale.. ila usiogope twende Twende [emoji23][emoji23][emoji23] alafu alikuwa kanishika mkono .
Jamaa alinitizama kwa jicho kali mnooh ... Nasubiri majibu baadae.
Wanasema karma ni bitch , inakula kila mtu aiii sijui huko kazini mama chanja anafanywa nn
Nimecheka sana,sikujua kama una vituko vya ivi aiseeNaanza kutoa kipigo kwanza tena kipigo chenyewe kinaitwa "bwana yu nasi" then ndo naanza kumsikiliza wakati huo hana meno akiwa anaongea thi thi Kama zote..π "thi thi tulikuwa tunaenda thambani kuangalia thamba Kama limethaa.."π€£
Aisee! Kweli maneno yanaishi! Hivi hii kweli nilicomment mimi?!Nitawanunulia na kinywaji cha baridi ili wawe wanapooza koo huku wakiendelea na maongezi yao!
Naua wotee [emoji1787][emoji1787]Fikiria uko mjini unakatiza mitaa mara paaap wife na mshkaji halafu wako huruu wanagonga mikono na vicheko kibao jamaa humjui wala nini.
Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanya? Utawapa hai na kuwaacha waendelee na hamsini zao au utawajoin? Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje?