Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

Mbona Bingwa mtetezi shirikisho hujamtaja USM algers hujamtaja na aliwafunga hapa hapa.
USM alger uyu uyu niliyemuona kwenye mechi zake anapambana kuingia robo,,USM alger ya msimu uliopita aliyecheza fainali na yanga sio uyu wa sasa,,sijajua kama unafatilia mechi hizi za shirikisho,,ungekuwa unafatilia nadhani usingemtaja na ndio maana anacheza Tena shirikisho msimu huu na Mc alger ndio Yuko champions league!
 
umecheza klabu bingwa ukaishia wapi na kwa muda Gani tuanzie hapo kwanza
 
Yaan nyie hapo mlikua mnasubiri tufungwe leo mpate kitu cha kusema ila sasa tumeshinda na tunaongoza kundi,
Kigeuka huku kichaka hakipo mnabaki ooh kombe la looser,ukija Geuka nyuma ni wewe ulikua fainal juzi tu Hilo kombe,

Ukikaa kidogo utasikia tumewafunga Mara nne mfululizo😂😂
 
Unavyosema USMA mbovu kwakuwa msimu huu anacheza shirikisho hivi kipindi anakupasua wew fainali alikuwa anacheza klabu bingwa
Usma hii imeweza hata kuongoza kundi hiyo iliyokupasua wew hata kundi lake tu haikuongoza
Uwe unafuatilia mpira kabla ya kuleta vioja mkuu
 
Inajalisha kwasababu kuna upotoshaji unaotaka kufanyika hapa kupitia kichaka cha Club Bingwa kwamba kuna timu ngumu wanaobebwa na quality ya wachezaji.

Kwa hiyo jibu kwanza hilo swali.
Inajalisha kwasababu kuna upotoshaji unaotaka kufanyika hapa kupitia kichaka cha Club Bingwa kwamba kuna timu ngumu wanaobebwa na quality ya wachezaji.

Kwa hiyo jibu kwanza hilo swali.
Unakwepa nini,,viongozi wako na kocha wako ndio walifanya usajili kwaiyo usajili wako wa ovyo usitake kutake advantage kigezo cha. Ubora wa wachezaji wako kwamba ndio walikufanya uishie robo robo ata shirikisho?
 
Wewe ndio Bure kabisa,,kaongoza wakina nani kwenye michuano ipi? Mbona unajitoa ufahamu aisee? Angekuwa mzuri si angecheza klabu bingwa,,Algeria imetoa timu 4, Mc alger na belouzdad ndio wako klabu bingwa uyo USM alger na Constantine wako shirikisho unasemaje kuongoza kundi lake ndio ubora? Darasani ata kama wote amna akili lazima awepo mwenye kaunafuu kuliko wenzake ndio icho unachokisemea kuongoza kundi!
 
Unakwepa nini,,viongozi wako na kocha wako ndio walifanya usajili kwaiyo usajili wako wa ovyo usitake kutake advantage kigezo cha. Ubora wa wachezaji wako kwamba ndio walikufanya uishie robo robo ata shirikisho?
Basi hoja ya kusema umetolewa kwenye mashindano fulani itabaki kuwa ni hoja ya kipumbavu kama haipo supported na ubora wa timu
 
Hata wakati anawafunga alikua Shirikisho, hakuwafungeni champions league
 
Kipindi Usma anaifunga Yanga ilikuwa ni michuano gani?
 
Lakini unakubali usma alikufunga akiwa huko huko shirikisho alipo sasa na wewe ukiwa bingwa wa ligi kama ilivyo sasa?
 
Kipindi Usma anaifunga Yanga ilikuwa ni michuano gani?
Kwa maana iyo kipindi kile ndio kipindi hiki? USM alger ya sasa ndio Ile ya kipindi kile kiubora? Kama wangekuwa na ubora wa kipindi kile basi wasingekuwa shirikisho msimu huu,,ilikuwa shirikisho but alimfunga yanga kwenye hatua gani,,je kwasasa ubora wake anaweza kusimama na yanga Tena akamfunga?
 
1.DJOLIBA~HAIJASHINDA MECHI HATA MOJA.

2.STADE D'ABDJAN~ HAIJAISHINDA MECHI HATA MOJA

3.MANIEMA~HAIJASHINDA MECHI HATA MOJA

4.TP MAZEMBE IMESHINDA MECHI MOJA TU.

HIZO TIMU ZOTE HAPO JUU ZINAZIDIWA UBORA NA BRAVOS DO MARQUIS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…