- Thread starter
- #21
USM alger uyu uyu niliyemuona kwenye mechi zake anapambana kuingia robo,,USM alger ya msimu uliopita aliyecheza fainali na yanga sio uyu wa sasa,,sijajua kama unafatilia mechi hizi za shirikisho,,ungekuwa unafatilia nadhani usingemtaja na ndio maana anacheza Tena shirikisho msimu huu na Mc alger ndio Yuko champions league!Mbona Bingwa mtetezi shirikisho hujamtaja USM algers hujamtaja na aliwafunga hapa hapa.