Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

Kama vyote vinategemeana niambie hakuna timu yenye vyote na bado ikawa shirikisho?

Na hakuna timu ambazo hazina vyote na bado ikashiriki Club Bingwa?
 
Nikukumbushe tu, MC Algiers na Al Hilal ndio walikuwa vibonde wa kundi.
 
Yanga is out and done

Tulizeni vitovu
 
Pumbavu
 
Matapu tapu ya mwiko nyuma....
Mmefeli sasa hivi subirini miaka 25 mingine mfuzu club Bingwa..
 
Hii ni point ya kufungua Uzi👏👏👏👏
 
Mpira unachezwa kwa macho au uwanjani? Yes back then walikuwa on form na wakaeatandika vizur
 
Kwahio nyie kipindi kile mnatamba kufika final si lilikua kombe hili hili la vilema
 
Basi ngoja Simba tuandike barua tuwaachie nyie, maana mlishachukua haya makombe mara nyingi na hiwa mnazifunga timu zote afrika
 
Kama maendeleo yangekua pesa tu leo trump asingekuwa anaspishwa kuwa Rais. Kaacha pesa yake kaenda ikulu kuwatumikia Watu. Acha na sisi tuwatumikie watanzania pesa kuleni nyie.
 
Gusa achia mwarabu robo fainali. Imeisha hiyo. Justification zako hazitabadilisha chochote. Cha msingi pelekeni timu kambini hapo Avic town kwa ajili ya maandalizi ya kucheza na GAPCO FC daraja la pili ngazi ya wilaya Mwanza. Over
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…