Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Good morning! 🌞 🦁 ☕️ Created with @adobe_firefly.jpeg
 
Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!

Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!

Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!

Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!

Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!

Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,

Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
Daaa nimecheka sana
 
Yanga bwana kweli akili hamna yaani nusu fainali mlicheza na team iliyoshuka daraja south Africa ndio mnajisifu sasa wale zalan fc na marumo gallant ni team kweli za kusema zimeipa team upinzani mlibahatika na bahati haiji mara mbili.
 
Makundi FC... mezeni Asprin Jr. ... Motsepe anasema inasaidia kupunguza maumivu ya kuondolewa makundi.
 
Mliwai kuongoza kipindi watu wako lockdown ya corona unajisifu,,njoo uongoze na sasa uku klabu bingwa kama ubavu unao,,unadhani uku Kuna wakina majimaji wa Algeria!
Unasemaje unadhani "uku" kama na wewe uko huko wakati umeshatolewa

Ni kama vile unasifia nyumba ya bosi wako au shule uliyosoma majengo yake
It doesn't matter

Simba aliongoza kundi kukiwa na lockdown
Sawa
Wewe wakati wa lockdown ulikuwa unaongoza nini?
 
Kama Zamalek ni bora kuzidi zingine mbona CAF hawajamaliza mashindano na kuwapa ubingwa?

Kila match ina namna yake.

Ubora wa timu hauna mahusiano na ushindi.

Pengine hiyo timu yako unayoona bora isingiweza kutoboa hata preliminary stage.
 
Kumbe wewe hujaelewa kwa nini watu wanaicheka yanga na ukitaka kujua nenda kaangalie clip za Ali kamwe akifurahia baada ya makundi ya club bingea kupangwa,, mmetolewa kipumbavu na timu za kawaida mbaya zaidi Simba hajawahi kutolewa makundi misimu 6 mfululizo,, sasa kuwa kubwa jinga kwenye kundi unataka usichekwe?? **** WEWE
 
Kwa maana iyo kipindi kile ndio kipindi hiki? USM alger ya sasa ndio Ile ya kipindi kile kiubora? Kama wangekuwa na ubora wa kipindi kile basi wasingekuwa shirikisho msimu huu,,ilikuwa shirikisho but alimfunga yanga kwenye hatua gani,,je kwasasa ubora wake anaweza kusimama na yanga Tena akamfunga?
kwani TP mazembe ya zamani ndio ya sasa, mbona umeweza kuifunga
 
Back
Top Bottom