UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

Hutayapata yote kwa mara moja, unaweza kupata mmoja, au miwili au idadi yoyote ile.., kwahiyo tibiwa kadri utakavyoyapata huku ukipandisha kinga ya mwili..
kinga utaipandishaje wakati hiv wanazaliana na kuishambulia kwa kasi kubwa zaidi ?
 
haiwezi kukaa muda wote na hiv bila kuumwa, kiumwa ni swala la muda tuu

ukipata hiv unaweza ukadunda miaka mitano ya mwanzo bila kuona shida yoyote

ila baada ya hapo vinakua vimesha zaliana kwa wingi vinaibuka na kusababisha AIDS, hapo ndo utaamdamwa na kila ugonjwa na mdo utaanza kuumwa rasmi
 
kinga utaipandishaje wakati hiv wanazaliana na kuishambulia kwa kasi kubwa zaidi ?
Kwa kula mbogamboga na matunda, kulala vya kutosha na kufanya mazoezi, haya yote yanashindikana kibongo bongo sababu ya umasikini, ila nchi zilizoendelea hiki kirusi hakiwasumbui kabisa.
wakishusha kinga wewe unapandisha, wakishusha we unapandisha, hadi mwili unatenheneza total immunity dhidi yao, na hii ndio njia waliyotumia wale waliopona. Ila ARV inakuuwa for sure kupitia Liver na Heart failure, guaranteed death!!
 
Elewa kwanza nilichokuwa najadiliana nae, niliongelea ‘A hypothetical sterile environment’, sio mazingira halisi.

Unaelewa maana ya neno ‘Hypothetical’?
 
Dalili ya kupungua kinga ya mwili siyo ugonjwa ? ....wewe ni nani kakuambia kuwa dalili ni zile tu za nje ya mwili au ni zile tu unazo zihisi ....wapo watu wanapima afya zao bila ya kuwa na dalili zozote za magonjwa kisha wanakutwa na ugonjwa je waseme awana ugonjwa kwa sababu dalili bado kujitokeza.....kwa hiyo siku dalili zikijitokeza ndiyo siku waanze kuhesabu kuwa wao wanahuo ugonjwa mfano cancer ya hatua ya kwanza au hata ya pili ...wewe unacho sema ni sawa na mtu kusema bomu siyo bomu hadi lilipuke ndiyo linakuwa bomu ila ukweli ni kwamba bomu ni bomu tu aijalishi limelipuka au halija lipuka ....dalili uja baadae sana baada ya mtu kuwa alisha pata ugonjwa hivyo ugonjwa unatangulia kukupata kabla ya dalili ...hata dalili za ukimwi zipo siyo kama unavyo sema wewe ...mfano ukipata Malaria unaweza kuugua mwezi mzima tofauti na zamani ulikuwa unapona hata kwa siku 3 kwa sababu ukimwi unasababisha dawa kuto kufanya kazi vizuri.
 
hauwezi ukashinana na kasi yao ya kuharibu hata ukikesha kufanya hayo yote namna inavyopanda bado ni ndogo sana ukilinganisha na wenyewe wanavyoiahusha

wanazaliana mamilioni na kadri wanavyokua wengi wanazidi kizaliana kwa wingi

arv sio tu inapandisha kinga, bali inafanya hiv washindwe kuzaliana kwa wingi

kwaiyo wewe ulajiwako wa majani na kilakitu unachosema, hata ukeshe unakula na kufanya mazoezi usiku na mchana bado hautaishinda rate yao ya uharibifu ni kubwa mno
 
Je, ukapata huo upungufu wa kinga mwilini na ‘hypothetically’ usipate maambukizi yeyote yale ukiacha yale ya HIV, utapata shida yeyote ile katika utendaji wa mwili wako? Yeyote ile?
 
ARV haipandishi kinga, unabisha?
 
Je, ukapata huo upungufu wa kinga mwilini na ‘hypothetically’ usipate maambukizi yeyote yale ukiacha yale ya HIV, utapata shida yeyote ile katika utendaji wa mwili wako? Yeyote ile?
Kupungua kinga sio lazima uwe na ukimwi, watu ambao kinga zao zipo chini kama watu wa ukimwi ni kama wafuatao...
1.Wagonjwa wenye magonjwa sugu na ya muda mrefu kama kisukari, wasiozingatia dawa

2. Watu wanaotumia dawa za corticosteroids kwa muda mrefu

3. Watu waliofanya upandikizaji wa viungo kama figo
 
Sasa mbona unarudia nilichosema kwenye uzi. Hapa najadiliana nae kama ni ugonjwa au sio ugonjwa
 
ARV haipandishi kinga, unabisha?
ARV inawapa shida HIV kizaliana, hicho ndo cha kwanza cha msingi kinachotakiwa

ila wewe kama unajitutumua kupandisha lakini bado HIV wanazaliana kwa wingi, hauwezi kutoboa hata kidogo

wanazaliana kwa rate kubwa mno haielezeki ambazo process za kawaida za mwili kupandisha kinga hata ufanye hayo yote haiwezi kufikia hata robo ya rate yao ya kuharibu

kwaiyo ndo maana hapo inakuja umuhimu wa ARV, yenyewe inawapa tabu kuzaliana kisha wewe ukifanya hayo yote kula vizuri kufanya mazoezi

wanazidiwa hadi wanakua wachache
hadi mnoo

ila bila ARV hautoboi, kwaiyo hata kama unasema ukiamwi sio ugonjwa ila ujue una virusi ambavyo vinashambulia kinga ya mwili kwa kasi

itakuaje unaviacha tu vizaliane alafu wewe unapandisha kinga ya mwili hapo ni kujaza maji kwenye gunia
 
Elewa kwanza nilichokuwa najadiliana nae, niliongelea ‘A hypothetical sterile environment’, sio mazingira halisi.

Unaelewa maana ya neno ‘Hypothetical’?
Kwa ukiangazia hii hypothetical sterile environment, kama mtu anazingatia dose atakuwa na kinga madhubuti na atakuwa free from opportunistic diseases lakini bado kuna shida inakuja...matumizi ya arv kwa mrefu at some extent inapelekea drug resistance, kwahiyo itabidi mgonjwa aende kwa wataalamu ili atafutiwe alternative formulations ambazo zitafanya kazi kwake, suala ambalo linaweza chukua mda kwa baadhi ya watu, na hii ndio sababu kubwa ya watu kufariki anyway ingawa walitumia arv, hata hivo matumizi sahihi ya arv bado ni muhimu

Kitu kingine ni kwamba hio unayosema hypothetical sterile environment, sawa tunaweza assume ipo externally kwenye mazingira lakini pia kwenye mwili wa binadamu kuna bacteria ambao wanapatikana ndani ya mwili, wanakazi mbalimbali, microbiota, hawa wakizidi wanaweza kuleta shida, mfano; microbiota wanaopatikana ukeni wakizidi, wanaleta magonjwa kama bacterial vaginosis BV, mdomoni ndio kuna bacteria wakutosha, akina staphylococcus aureus, streptococcus mutans, treponema denticola, poorphyromona gingivalis etc.

Hawa wakizidi, wanaweza kusambaa kupitia njia ya hewa au GI tract, wakifika huko wanaweza kuingia kwenye damu, unapata sepsis, hii sepsis ndio hatari sasa, inakuua chap tu.

Kwa kusema haya bado uzingatiaji wa arv ni muhimu hata kama utakuwa kwenye ideal sterile environment..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…