FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #281
Upo sahihi, lakini wenyewe sio ugonjwa..Ukimwi ni kisababishi cha magonjwa mengine Kwa kuwa Kinga ya mwili inakuwa chini hivyo unakuwa katika hatari ya kupata magonjwa mengine Kwa urahisi
Ni kisababishiUpo sahihi, lakini wenyewe sio ugonjwa..
Vya ugonjwa upi? TB? Bacteria wa T.B si wanajulikana au?Ni kisababishi
Magonjwa mengi kwasababu Kinga ya mwili inakuwa na mushkeliVya ugonjwa upi? TB? Bacteria wa T.B si wanajulikana au?
Hayo Magonjwa mengi kila ugonjwa vimelea vinavyousababisha si vinafahamika? Mfano T.B, hata wasio na Upungufu wa Kinga mwilini wanaupata, wanapewa dawa na wanapona.., sivyo?Magonjwa mengi kwasababu Kinga ya mwili inakuwa na mushkeli