Tukiwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi duniani leo trh 1/12/ 2024, tusidanganyane, bado ugonjwa huu wa ukimwi ni hatari na tishio zaidi kuliko magonjwa mengine.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyanzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyanzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.