eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwasisi Wanaume wahangaikaji wa maisha kuna msemo wa kukumbushana unasema;
"Furaha yangu ni kurudi nyumbani bila maambukizi"
Tukumbuke Kuna vijana wadogo wanatutegemea kama Baba zao
Hebu tuchukue tahadhali katika mienendo yetu
Tanzania bila maambukizi mapya inawezekana 💪
Nimeependa hiyo moto.
"Furaha yangu ni kurudi nyumbani bila maambukizi"
Tuendelee kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunusurika miaka ya 80 mwishoni mpaka 90 mwishoni. Hali ilikuwa mbaya. Hata ukiwa baunsa vp, ukiupata lazima uondoke na kilo 2.
Gen Z haya yote hawayajui, ndiyo maana hawatulii.