Kati (miongoni)ya UKIMWI,malaria,vita na njaa vipangilie kwa takwinu ni kipi kinaongoza kwa kuua.Tukiwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi duniani leo trh 1/12/ 2024, tusidanganyane, bado ugonjwa huu wa ukimwi ni hatari na tishio zaidi kuliko magonjwa mengine.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyamzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.
Njaa ndo huwapa Dada zetu umemeKati (miongoni)ya UKIMWI,malaria,vita na njaa vipangilie kwa takwinu ni kipi kinaongoza kwa kuua.
Pangilia kwa mtiririko tuone kipi ni nini!Njaa ndo huwapa Dada zetu umeme
Njaa ndio ugonjwa mbaya kuliko yote. Huyo ndio baba wa matatizo. Ikumbukwe njaa sio ya kula tu bali hata njaa ya kutomba ni hatari.Kati (miongoni)ya UKIMWI,malaria,vita na njaa vipangilie kwa takwinu ni kipi kinaongoza kwa kuua.
Bila nyege?Njaa ndo huwapa Dada zetu umeme
Yeah....Abstain unprotected.
izi ulizotaja ni biashara halali watu wanafanya na zina baraka za iyoiyo serikali uliyoitaja. ivo kamwe haziwezi kuwa vyanzo vya ukimwi.Serikali izuie/ishibiti vyamzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
kansa na kisukari ukiwahi matibabu unaweza kudhibiti ugonjwa ukawa fresh tu.Kuna magonjwa ya hatari zaidi ya huo ukimwi! Mfano ugonjwa wa kansa na kisukari. Ukimwi ulikuwa hatari miaka ya 1980's na 1990's kabla ya watengenezaji wa huo ugonjwa hawajatuletea haya mashudu yao yanayofubaza makali.
Enzi hizo ukiupata mjini, basi lazima urudishwe kijijini huku ukiwa na uzito wa kilo 2 tu, kwa ajili ya kusubiri siku yako ya kufa.
Na mwenge nao unachangia pale unapoenda kulazwa nao upigwe marufukuTukiwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi duniani leo trh 1/12/ 2024, tusidanganyane, bado ugonjwa huu wa ukimwi ni hatari na tishio zaidi kuliko magonjwa mengine.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyamzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.
Tukiwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi duniani leo trh 1/12/ 2024, tusidanganyane, bado ugonjwa huu wa ukimwi ni hatari na tishio zaidi kuliko magonjwa mengine.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyamzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.
Kwani ukiwa na UKIMWI huwezi kupata na kansa pia ?Kuna magonjwa ya hatari zaidi ya huo ukimwi! Mfano ugonjwa wa kansa na kisukari. Ukimwi ulikuwa hatari miaka ya 1980's na 1990's kabla ya watengenezaji wa huo ugonjwa hawajatuletea haya mashudu yao yanayofubaza makali.
Enzi hizo ukiupata mjini, basi lazima urudishwe kijijini huku ukiwa na uzito wa kilo 2 tu, kwa ajili ya kusubiri siku yako ya kufa.