Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Ni kwa mujibu wa tafiti za kitaalamu hii ni kutokana na athari za virusi vya ukimwi na dawaHiyo ni kwa mujibu wa tafiti za kitaalam au hisia za watu?
Sawa mtafiti.Sasa kwa taarifa yako ukiwa na huo Ukimwi kupata Kansa na Kisukari ni rahisi zaidi
kuliko mtu asiyokuwa nao.
Kunywa dawa kwa mda mrefu hupelekea kuharibu ini na figo hasa kama mtumiaji hana kasumba ya kunywa maji mengi.Ni kwa mujibu wa tafiti za kitaalamu hii ni kutokana na athari za virusi vya ukimwi na dawa
za kufubaza virusi.
Ndio maana unasikia wanasema kafariki kwa kansa, ugonjwa wa moyo, kisukari au figo lakini
wengi wao wanakuwa na HIV muda mrefu tuu iliyopelekea kupata hayo magonjwa mengine.
Hivyo kwa mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi ili apunguze hatari hizo hapo juu
anapaswa afuatilie afya yake kwa umakini sana, kunywa dawa kwa usahihi,
kupima afya mara kwa mara na kutibu magonjwa kwa wakati.
Sasa kwanini usiwasanue vijana wenzio mkuu,huwaonei huruma ?Kuna dada mrembo mzuri mtaani anatumia mbaazi
Wanaume wajinga sana maana wamepangwa folen bila kujijua
Jmn mnapifka mjin ulizen wenyeji sio kuparamia tu mapori
kuupata sio rahisi kiivo vinginevo tungeshaisha wote adi sasa si unajua kuth0mbana ndo raha pekee iliyobakia kwa masikini mweusiKuna dada mrembo mzuri mtaani anatumia mbaazi
Wanaume wajinga sana maana wamepangwa folen bila kujijua
Jmn mnapifka mjin ulizen wenyeji sio kuparamia tu mapori
NaamTukiwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi duniani leo trh 1/12/ 2024, tusidanganyane, bado ugonjwa huu wa ukimwi ni hatari na tishio zaidi kuliko magonjwa mengine.
Ukimwi ni mateso hadi kifo, chanzo kikuu cha ukimwi ni ngono.
Serikali izuie/ishibiti vyanzo vya maambukizi ya VVU ambavyo ni; madanguro, macasino, vigodoro, n.k
Pole kwa wagonjwa wote wanao endelea kutumia dawa.
Sasa kwanini usiwasanue vijana wenzio mkuu,huwaonei huruma ?
HahahaKuna dada mrembo mzuri mtaani anatumia mbaazi
Wanaume wajinga sana maana wamepangwa folen bila kujijua
Jmn mnapifka mjin ulizen wenyeji sio kuparamia tu mapori
Ni kwa mujibu wa tafiti za kitaalamu hii ni kutokana na athari za virusi vya ukimwi na dawa
za kufubaza virusi.
Ndio maana unasikia wanasema kafariki kwa kansa, ugonjwa wa moyo, kisukari au figo lakini
wengi wao wanakuwa na HIV muda mrefu tuu iliyopelekea kupata hayo magonjwa mengine.
Hivyo kwa mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi ili apunguze hatari hizo hapo juu
anapaswa afuatilie afya yake kwa umakini sana, kunywa dawa kwa usahihi,
kupima afya mara kwa mara na kutibu magonjwa kwa wakati.