UKIMWI jamani, UKIMWI!

Jina la hyo loji tafadhali na mahali ilipo
 
Kitaalamu inaitwa hepatitis B inasababishwa na kirusi kinachoitwa:-

Hepadnaviridae
(a family of viruses. Humans, apes, and birds serve as natural hosts. There are currently over 12 species in this family, divided among 5 genera. Its best-known member is hepatitis B virus) source Wikipedia

ilikuwepo muda mrefu lakini sahivi mahospitalini imeonekana kunawagonjwa wapya wengi mno..

Huwa inapelekea cancer ya Ini ukiipata hutegemea uwezo wa kinga yako ya mwili kama ipo vizuri utapona kupitia kinga ya mwili.

Huambukizwa kwa njia sawa na Ukimwi isipokuwa hii hata kwa mate unawezaipata..!
Kama unakinga ya mwili dhaifu inakuwa ni hatari maana kinga yako ndio kupona kwako.

Habari njema ni kwamba inachanjo, Inatolewa hospitali ya ocean road(ndio gharama nafuu tofauti na kwingine ninavyo fahamu...!)
hivi huwa inapatwaje hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante sana
 
Watu wakikimbiana na ukimwi kwishney. Corona ni hatari zaidi.
Ukimwi angalao una kamuda ka kuaga ndugu na marafiki kisha unakula na mtaji ili watoto wasije kuuwana kwenye urithi
Ila covid19 unakohoa kohoa tu kisha unavuta ndani ya wiki
 
Ni kumuomba MUNGU tu aieee, hizi ngono zinazofanyika ni za kiwango cha SGR hakuna cha kondomu wala vilainishi, watu wanatumia mate. Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…