Ebwana mie mwenyewe sijajua... Ebu watu watupe maujanja.hivi huwa inapatwaje hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana mie mwenyewe sijajua... Ebu watu watupe maujanja.hivi huwa inapatwaje hiyo?
Jina la hyo loji tafadhali na mahali ilipoNenda sinza pale kati kuna loji moja ya waiti hivi ukiingia apo watu wamejitoa loki. Ni kama dunia hii hamna hili gonjwa maana watu wanajilia tu. Ukipita korido ni fulu mishindo inakitwa apo au nenda pale chama buguruni kuna baa ya ovyoovyo karibu na stendi ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
naipata ile bar, ni kama 2 in 1 maana ziko mbili pale. halafu kituo cha polisi kipo karibu tu pale
😂 😂 😂 😂 😂, achana na ngoma aisee , silent killerBwana mdogo Corona ataondoka, lakini bado atamuacha kaka yake Ukimwi akiendelea kutamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
miti hatutaacha kutandaza tena peku hadi tunashushwa chiniBwana mdogo Corona ataondoka, lakini bado atamuacha kaka yake Ukimwi akiendelea kutamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi itaanzia kwa mawaziri na wakurugenzi?juzi naibu waziri wa Afya kasema wenye ukimwi wapo hatarini kufa kwa corona pamoja na wenye visukali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nipe link ya telgrm na mimi nikashike pachuchuwabongo hatuuchukulii serious ukimwi, vijana huko telegram wanachakata tu papuchi za wadada poa peku peku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ukimwi tu kwa kuchakatanahivi huwa inapatwaje hiyo?
tusisahau pia virusi vya H.I.V havijapata tiba wala kinga....
tuchukue tahadhari kama ilivyo corona, na itapendeza kama tukiwa na ujasiri wa kujitangaza ili kupunguza mambukizi mapya
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi huwa inapatwaje hiyo?
ahsante sanaKitaalamu inaitwa hepatitis B inasababishwa na kirusi kinachoitwa:-
Hepadnaviridae
(a family of viruses. Humans, apes, and birds serve as natural hosts. There are currently over 12 species in this family, divided among 5 genera. Its best-known member is hepatitis B virus) source Wikipedia
ilikuwepo muda mrefu lakini sahivi mahospitalini imeonekana kunawagonjwa wapya wengi mno..
Huwa inapelekea cancer ya Ini ukiipata hutegemea uwezo wa kinga yako ya mwili kama ipo vizuri utapona kupitia kinga ya mwili.
Huambukizwa kwa njia sawa na Ukimwi isipokuwa hii hata kwa mate unawezaipata..!
Kama unakinga ya mwili dhaifu inakuwa ni hatari maana kinga yako ndio kupona kwako.
Habari njema ni kwamba inachanjo, Inatolewa hospitali ya ocean road(ndio gharama nafuu tofauti na kwingine ninavyo fahamu...!)
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje?wabongo hatuuchukulii serious ukimwi, vijana huko telegram wanachakata tu papuchi za wadada poa peku peku
Sent using Jamii Forums mobile app
mi napafahamu hapo buguruni, sio sinza
akituma nitag
Watu wangeogelea kwenye njia ya haja kubwaJust imagine life without H.I.v ingekuwaje??? Ingekuwa zaidi ya sodoma
Ukimwi angalao una kamuda ka kuaga ndugu na marafiki kisha unakula na mtaji ili watoto wasije kuuwana kwenye urithiWatu wakikimbiana na ukimwi kwishney. Corona ni hatari zaidi.
tusisahau pia virusi vya H.I.V havijapata tiba wala kinga....
tuchukue tahadhari kama ilivyo corona, na itapendeza kama tukiwa na ujasiri wa kujitangaza ili kupunguza mambukizi mapya
Sent using Jamii Forums mobile app