1: ......
japo maambukizi ni yale yale kujamiana, kutiwa damu ya muathirika, michubuko n.k..Issue iko pale pale....
HIV haambukizwi kwa njia ya kujamiiana kwa kuwa HIV mwenyewe hayupo kiuhalisia.HIV amepata umaarufu kutokana na vipimo vinavyosemekana vinapima HIV na pia vyombo vya habari.
Ili kuthibitisha hili,fuatilia mwenyewe mitaani utagundua kuna ndoa nyingi sana ambazo mmoja ni HIV+ na mwingine ni HIV- na watoto ni HIV-,sasa umeshawahi kujiuliza kwanini inatokea hivi?Au ndio na wewe utasema ni mipango ya mungu?
Pia kuna watu walijidunga damu kabisa ambayo watu wanaamini kwamba ni ya mtu mwenye HIV,lakini kila wakipima wanaambiwa ni HIV-.Je,hawa watu pia mungu amewaokoa eenh!
2:..........
kama tatizo kukos lishe bora, kuna watu wenye pesa na wanatoka familia safi na wameugua hayo maradhi na unakuta baada ya kufa mume mke anafatwa.....
Kwenye reply yangu ya kwanza kabisa kwenye uzi huu nilishatoa angalizo kwamba,kula lishe bora hakuna uhusiano na mtu kuwa tajiri au mwenye pesa.Lishe bora ni vyakula rahisi sana na wala havihitaji pesa nyingi kuliko unavyofikiri,sasa nikwambie kwamba,kwa kifupi,matajiri ndio wanaokula vyakula vibovu zaidi ya masikini,tofauti ni kwamba wakati mwingine masikini huwa wanakosa kabisa pesa ya kununulia chakula,lakini wakipata utaona wananunu matembele(alkaline food),dona,dagaa(protein food),atachuma majani ya mchaichai,ataweka na bamia kidogo na nyanya chungu original,unaona mambo hayo?Sasa matajiri huwa hawali mambo haya mara nyingi,wao sanasana ni nyama(acidic food,mbaya sana hii),juisi za kwenye maboksi(aspartame=very acid food),atatumia microwave kupasha chakula=kuua virutubisho vyote vya chakula,atahifadhi chakula kwenye jokofu kwa muda mrefu=chakula mfu,na mambo mengi kama hayo.Hivyo kuwa na pesa sio kula chakula bora.
Suala la kufuatana kufa kwa ugonjwa mmoja au wenye dalili zinazofanana sio la ajabu kama unavyofikiria.Hebu tuliza ubongo na ufikiri tofauti na hapo utajua tu.
-Hivi kwani mme akiwa na TB halafu kila siku analala kitanda kimoja na mkewe kwa muda mrefu hata wewe unajua kwamba mkewe naye yuko hatarini kupata TB.Sasa mme akifa kwa TB halafu mkewe naye asipopata uangalizi naye baadaye atakufa kwa TB,hivyo watakufa kwa dalili zinazofanana.Je,unazijua dalili za TB?Dalili za TB ndio zilezile tulizoambiwa kwamba ni za ukimwi,nadhani sasa unapata picha,ndio maana nilishasema kwamba magonjwa haya ni ya zamani sana ila yamepewa majina mapya na nadharia mpya kwa lengo la kuuza ARVs.
-Hata ukifanya mapenzi na mtu mwenye TB mara moja tu unaweza kupata TB,unajua hilo?Sasa wewe utapata TB kwa njia ya hewa kutoka kwa mpenzi wako na utakuwa na dalili ambazo wewe umesharubuniwa kwamba ni za ukimwi na watakwambia kwamba ni ukimwi,halafu wewe utaamini hivyo kwamba mpenzi wako amekuambukiza kwa njia ya ngono wakati wewe umepata TB kwa njia ya hewa,he he heeee! haya mambo mazito kweli.
-Hivi wewe umeona wapi watu wanaugua ukimwi?Huwezi kuugua ukimwi kamwe,kama huamini basi muulize daktari yeyote yule atakwambia vivyo hivyo.Mtu hawezi kuugua ukimwi kwa kuwa ukimwi sio ugonjwa,ukimwi ni hali ya kinga tu kushuka na haisababishwi na HIV,bali watu huugua ugonjwa fulani unaofahamika tangu zamani baada ya kinga yake kushuka,na kama atapewa tiba sahihi lazima apone hata kama hatumii ARVs.Fanya utafiti wako utajua tu.
-Unajua nilichokiona kwa watu wengi ni kwamba,watu hawaelewi na hawatambui kile wanachokiona kwa macho yao.Wakiona mtu kakonda,anaharisha,ana homa mara kwa mara nk na mwenzi wa huyo mtu naye vivyo hivyo,basi watasema kwamba ni HIV bila kujua undani wake.Nilichokiona pia ni kwamba watu wengi hata hawafanyi uchunguzi zaidi ya kubeba kile walichokiona na kuambiwa tu,ukichunguza utagundua mambo mengi sana,hivyo nakushauri,ukiona mtu anaumwa sana basi nenda kafanye uchunguzi wako ujue anaumwa ugonjwa gani,lakini usikimbilie kusema tu kwamba anaumwa ukimwi,ukimwi sio ugonjwa.
3:....
ukiangalia chain za mitaani tu kila alielala na flani anakuwa nayo hayo maradhi, nadhani UAMBUKIZWAJI UKIMWI UKO PALE PALE....
Nilishajibu hili hapo juu,wewe hujafanya uchunguzi,fanya uchunguzi,usichukulie mazoea ya kile ulichoambiwa,haya mambo hayako hivyo kama unavyodhani,ukiangaziwa kukubali kufanya uchunguzi tu basi ujue umeshajua ukweli,tatizo la watu wengi ni wagumu kuamua kuchunguza.
Ukimwi sio tatizo,tatizo ni akili zetu/mindset zetu,hatuelewi kile tunachokiona kimesababishwa na nini.
Hata wewe unajua na unawafahamu watu wengi waliowahi kutembea na watu wanaosadikika kuwa na huyo HIV tena bila kutumia kinga lakini hawajapata huyo HIV.Lakini pamoja na hayo watu haohao bado wanaamini kwamba HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono ila wao mungu ndio amewaokoa,he he heee,hili ni tatizo kubwa kwa kweli,hawa jamaa wamejitahidi sana kuusuka uongo huu.
Mwisho,haya yote ninayoyasema nina ushahidi nayo,sizungumzi tu kutoka hewani,nimeshafanya uchunguzi/utafiti.
ANGALIZO:
Kwanini nasema ARVs(na si HIV) ndizo zinazowaua watu wanaozitumia?Yaani ilipaswa tuseme ARVs/AIDS badala ya HIV/AIDS.
-Zile zinazoitwa side effects za ARVs kiukweli sio side effects na badala yake ni direct effects,hii ni kwasababu waliotengeneza ARVs walidhamiria ARVs zisababishe matatizo hayo,ARVs ni DNA chain terminator,hakuna anayeweza kuishi kama atatumia ARVs kwa muda mrefu,mwishowe lazima zimuue.
-Ukitaka kujua madhara ya ARVs basi fanya yafuatayo:
1.Ingia kwenye website hii hapa,web hii sio yangu mimi,bali ni ya walewale waliotengeneza hizo ARVs,yaani hata wenyewe wanakubali kwamba ARVs zina madhara haya,na madhara haya ndio yanayoua,sasa ingia hapa halafu soma WARNING:Hapa wameelezea dawa moja tu,lakini ukifuatilia dawa zote za ARVs utakuta zina madhara hayohayo.
Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo
2.Fuatilia ndani ya kikopo cha ARVs kuna karatasi imekunjwa,kunjua karatasi hiyo na uisome kwa umakini mkubwa utaona madhara yake yanafana na ya kwenye website niliyoweka hapo juu.
3.Kama bado huamini,basi fuatilia mahospitalini au mitaani kwa wale wagonjwa waliozidiwa ambao wanatumia ARVs.Utakuta wana dalili hizohizo zilizotajwa hapo juu.
Sasa kama ulikuwa hujui,kile unachokiona kinadhoofisha watu na kuua watu wanaotumia ARVs ni ARVs zenyewe.Na kama mtu amedhoofika lakini hatumii ARVs basi ujue anaumwa ugonjwa unaofahamika na kama atapewa tiba sahihi lazima apone na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.
-Najua ulishawahi kuona mtu anayetumia ARVs ana matatizo yafutayo;
1.Matatizo ya moyo/presha,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
2.Matatizo ya Ini,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
3.Matatizo ya figo,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
4.Matatizo ya upungufu wa damu,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
5.Cancer yoyote ile,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
6.Kisukari,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
7.Nywele zimedhoofika au kunyonyoka,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
8.Ngozi kufubaa au kuwa na vipele au vidonda,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs....nk.
Sasa tumia werevu hapa,matatizo hayo yote hayasababishwi na vijidudu na hasa huyo HIV,hata madaktari wanajua hilo.Sasa jiulize,kila mgonjwa anayetumia ARVs mwisho wa siku anapata moja au kadhaa kati ya matatizo hayo,na matatizo hayo ndio yanayowaua.Sasa matatizo hayo yanasababishwa na nini?
Jibu lake ni,yanasababishwa na ARVs.
Watu wanachukia HIV na kukimbilia kula ARVs bila kujua kwamba ARVs ndio ugonjwa wenyewe.Tunaruka maji,tunakanyaga moto,yaani kama kenge anavyokimbia mvua na kuingia mtoni.Watu wakijua haya watajilaumua sana kwa nini hawakujua tangu mwanzo.
Hivyo basi,mtego mkubwa uko kwenye vipimo,kwa maana vipimo ndio hutafuta wateja wa ARVs.Halafu watu wakianza kutumia ARVs mwisho wa siku hufa kwa madhara yake halafu anasingiziwa HIV(ambaye ni hewa/hayupo),yaani kama wewe ukifanya dhambi kwa tamaa zako halafu unamsingizia shetani.
Tulia,dadisi,hoji,uliza,fanya utafiti.Huu ndio ukombozi wako pekee kwenye suala hili.