Kwamba virusi vya ukimwi havipo.
Ni kweli,hakuna virusi vya ukimwi.Nani mwenye uwezo wa kuthibitisha kwamba HIV kweli yupo?Aje hapa.
Inakuwaje mtu alishafiwa na mume wake baada ya miaka kadhaa nayeye anaanza kuumwa dalili zilezile?
He he hee,swali zuri sana,lakini wewe unaonekana husomi kwa bidii kilimo humu ndani.Maswali hayo yalishajibiwa mara kadhaa.
Hebu nikupe mfano;Najua unajua kwamba TB inaua na inaambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa njia ya hewa,yaani HEWA.Pia najua unajua kwamba mke na mume huwa wanalala kitanda kimoja karibu kila siku ya maisha yao wawapo pamoja,yaani wanapumuliana pumzi zao.Hawa wawili si ajabu wote wakaugua TB,hakuna anayepinga hili.
Sasa najua umeshapata picha,ukitaka kujifunza jambo sharti uwe tayari kusikiliza wakati mwenzako anazungumza.Tuendelee.....
Dalili za TB:
-Kukohoa mara kwa mara kwa muda mrefu,
-Kukonda sana,
-Kuishiwa nguvu,
-Kupungua uzito,
-Homa za mara kwa mara,
-Kuharisha au kutapika hasa kama ni GI TB,nk.
Nina uhakika kama kweli umejionea mwenye hao watu unaosema,yaani hujasikia,maana kusikia na kuona ni mambo 2 tofauti.Lazima uliona dalili hizo hapo juu hasa kama walikuwa hawatumii ARVs,lakini kama walikuwa wanatumia ARVs watakuwa na dalili za nyongeza kama zifuatavyo;
-Matatizo ya moyo au matatizo ya ini au matatizo ya figo au kisukari au upungufu wa damu(anaemia) au cancer/saratani yoyote ile au ngozi kuwasha au kutoka vipele au nywele kudhoofika au kunyonyoka.Sasa fanya uchunguzi wako halafu utarudi kutoa ushuhuda hapa,maneno mengi hayajengi,soma,elewa halafu fanya uchunguzi wako.
Hivyo basi,usikariri kama ulivyoambiwa mwanzo kwamba watu wanakufa kwa ukimwi,ukimwi hauui kwa kuwa ukimwi si ugonjwa,kinachoua ni magonjwa halisi kama vile malaria,TB nk,jitahidi kuindoa KASUMBA uliyonayo ili iwe rahisi kwako kuelewa somo hili.
ANGALIZO:
Ukiwa na TB una hatari ya kupimwa HIV+ na vipimo vya HIV bila kujali kama uliwahi kufanya ngono katika maisha yako au la,au ulichangia damu ya mtu yeyote au la.Ndio maana tunasema vipimo vya HIV ni feki kwasababu ni feki.
Sasa nadhani hutashangaa tena kuona watu wanafariki kwa kuongozana kwa dalili zilezile.Wengi wamekariri sana hili neno 'dalili zilezile',he he heee,siwalaumu,ni ukosefu wa uelewa tu ambao wengi tunao katika nyanja tofauti.
Kutokana na maelezo mmesema kwamba watu wanafariki kwa kufuatana kutokana na kuambukizana sasa je mbona akifa mume kwa ukimwi unakuta hafuatii dada wa kazi kufariki bali anafuatia mke wake? Na unakuta wanakaa nyumba moja.
Ni kweli,kutokana na mfano niliokupa,mke wake ndio analala naye kitanda kimoja na TB inaambukizwa kwa njia ya hewa,sasa kipi cha kushangaza hapo?
Pia,si lazima awe mke wake,hata kama ana hawara,utakuta pia hawara yake anafariki kwa 'dalili zilezile' hata kama haishi naye nyumba moja,ni suala la kupumuliana tu/exposure.
Unajua ili uelewe haya mambo kwanza inabidi kukubali kufuta yale ya zamani,yale ya zamani ndio kikwazo kwa wengi kuelewa ukweli huu.
Pia kuna suala la mtoto mchanga kuambukizwa,nitajibu hili baadaye.Wewe na wengine bado mnahitaji kusoma kwa bidii,mada hii ina mambo mengi sana.Ina nyanja kuu 4 ambazo ni lazima uelewe zote ili kuondoa utata wote,kama hujaelewa vizuri moja tu kati ya hizo 4,basi lazima bado utakuwa unashangaa shangaa tu,na ndio maana waliosuka uongo huu wanaendelea kula mafao ya uongo wao huku waliwaji mkiendelea kuwasifia 'eti wao ndio wakombozi wetu kwa kutuletea ARVs'.
Nyanja hizo ni;
1.Historia ya HIV/AIDS(feki),2.Nadharia feki ya HIV,3.Vipimo vya HIV,4.Dawa za ARVs.
Ukijua vizuri nyanja hizo 4 basi hutakuwa na swali tena linalokutatiza.Vinginevyo nikikujibu hili utauliza lile,nikijibu lile utauliza hili,yaani nitakuwa kama napiga viraka kwenye suruali iliyooza tu.