Ukimwi: Mbeki atuhumiwa kupotosha umma

Ukimwi: Mbeki atuhumiwa kupotosha umma

1: ......japo maambukizi ni yale yale kujamiana, kutiwa damu ya muathirika, michubuko n.k..Issue iko pale pale....

HIV haambukizwi kwa njia ya kujamiiana kwa kuwa HIV mwenyewe hayupo kiuhalisia.HIV amepata umaarufu kutokana na vipimo vinavyosemekana vinapima HIV na pia vyombo vya habari.

Ili kuthibitisha hili,fuatilia mwenyewe mitaani utagundua kuna ndoa nyingi sana ambazo mmoja ni HIV+ na mwingine ni HIV- na watoto ni HIV-,sasa umeshawahi kujiuliza kwanini inatokea hivi?Au ndio na wewe utasema ni mipango ya mungu?

Pia kuna watu walijidunga damu kabisa ambayo watu wanaamini kwamba ni ya mtu mwenye HIV,lakini kila wakipima wanaambiwa ni HIV-.Je,hawa watu pia mungu amewaokoa eenh!

2:..........kama tatizo kukos lishe bora, kuna watu wenye pesa na wanatoka familia safi na wameugua hayo maradhi na unakuta baada ya kufa mume mke anafatwa.....

Kwenye reply yangu ya kwanza kabisa kwenye uzi huu nilishatoa angalizo kwamba,kula lishe bora hakuna uhusiano na mtu kuwa tajiri au mwenye pesa.Lishe bora ni vyakula rahisi sana na wala havihitaji pesa nyingi kuliko unavyofikiri,sasa nikwambie kwamba,kwa kifupi,matajiri ndio wanaokula vyakula vibovu zaidi ya masikini,tofauti ni kwamba wakati mwingine masikini huwa wanakosa kabisa pesa ya kununulia chakula,lakini wakipata utaona wananunu matembele(alkaline food),dona,dagaa(protein food),atachuma majani ya mchaichai,ataweka na bamia kidogo na nyanya chungu original,unaona mambo hayo?Sasa matajiri huwa hawali mambo haya mara nyingi,wao sanasana ni nyama(acidic food,mbaya sana hii),juisi za kwenye maboksi(aspartame=very acid food),atatumia microwave kupasha chakula=kuua virutubisho vyote vya chakula,atahifadhi chakula kwenye jokofu kwa muda mrefu=chakula mfu,na mambo mengi kama hayo.Hivyo kuwa na pesa sio kula chakula bora.

Suala la kufuatana kufa kwa ugonjwa mmoja au wenye dalili zinazofanana sio la ajabu kama unavyofikiria.Hebu tuliza ubongo na ufikiri tofauti na hapo utajua tu.

-Hivi kwani mme akiwa na TB halafu kila siku analala kitanda kimoja na mkewe kwa muda mrefu hata wewe unajua kwamba mkewe naye yuko hatarini kupata TB.Sasa mme akifa kwa TB halafu mkewe naye asipopata uangalizi naye baadaye atakufa kwa TB,hivyo watakufa kwa dalili zinazofanana.Je,unazijua dalili za TB?Dalili za TB ndio zilezile tulizoambiwa kwamba ni za ukimwi,nadhani sasa unapata picha,ndio maana nilishasema kwamba magonjwa haya ni ya zamani sana ila yamepewa majina mapya na nadharia mpya kwa lengo la kuuza ARVs.

-Hata ukifanya mapenzi na mtu mwenye TB mara moja tu unaweza kupata TB,unajua hilo?Sasa wewe utapata TB kwa njia ya hewa kutoka kwa mpenzi wako na utakuwa na dalili ambazo wewe umesharubuniwa kwamba ni za ukimwi na watakwambia kwamba ni ukimwi,halafu wewe utaamini hivyo kwamba mpenzi wako amekuambukiza kwa njia ya ngono wakati wewe umepata TB kwa njia ya hewa,he he heeee! haya mambo mazito kweli.

-Hivi wewe umeona wapi watu wanaugua ukimwi?Huwezi kuugua ukimwi kamwe,kama huamini basi muulize daktari yeyote yule atakwambia vivyo hivyo.Mtu hawezi kuugua ukimwi kwa kuwa ukimwi sio ugonjwa,ukimwi ni hali ya kinga tu kushuka na haisababishwi na HIV,bali watu huugua ugonjwa fulani unaofahamika tangu zamani baada ya kinga yake kushuka,na kama atapewa tiba sahihi lazima apone hata kama hatumii ARVs.Fanya utafiti wako utajua tu.

-Unajua nilichokiona kwa watu wengi ni kwamba,watu hawaelewi na hawatambui kile wanachokiona kwa macho yao.Wakiona mtu kakonda,anaharisha,ana homa mara kwa mara nk na mwenzi wa huyo mtu naye vivyo hivyo,basi watasema kwamba ni HIV bila kujua undani wake.Nilichokiona pia ni kwamba watu wengi hata hawafanyi uchunguzi zaidi ya kubeba kile walichokiona na kuambiwa tu,ukichunguza utagundua mambo mengi sana,hivyo nakushauri,ukiona mtu anaumwa sana basi nenda kafanye uchunguzi wako ujue anaumwa ugonjwa gani,lakini usikimbilie kusema tu kwamba anaumwa ukimwi,ukimwi sio ugonjwa.

3:....ukiangalia chain za mitaani tu kila alielala na flani anakuwa nayo hayo maradhi, nadhani UAMBUKIZWAJI UKIMWI UKO PALE PALE....

Nilishajibu hili hapo juu,wewe hujafanya uchunguzi,fanya uchunguzi,usichukulie mazoea ya kile ulichoambiwa,haya mambo hayako hivyo kama unavyodhani,ukiangaziwa kukubali kufanya uchunguzi tu basi ujue umeshajua ukweli,tatizo la watu wengi ni wagumu kuamua kuchunguza.

Ukimwi sio tatizo,tatizo ni akili zetu/mindset zetu,hatuelewi kile tunachokiona kimesababishwa na nini.

Hata wewe unajua na unawafahamu watu wengi waliowahi kutembea na watu wanaosadikika kuwa na huyo HIV tena bila kutumia kinga lakini hawajapata huyo HIV.Lakini pamoja na hayo watu haohao bado wanaamini kwamba HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono ila wao mungu ndio amewaokoa,he he heee,hili ni tatizo kubwa kwa kweli,hawa jamaa wamejitahidi sana kuusuka uongo huu.

Mwisho,haya yote ninayoyasema nina ushahidi nayo,sizungumzi tu kutoka hewani,nimeshafanya uchunguzi/utafiti.

ANGALIZO:
Kwanini nasema ARVs(na si HIV) ndizo zinazowaua watu wanaozitumia?Yaani ilipaswa tuseme ARVs/AIDS badala ya HIV/AIDS.

-Zile zinazoitwa side effects za ARVs kiukweli sio side effects na badala yake ni direct effects,hii ni kwasababu waliotengeneza ARVs walidhamiria ARVs zisababishe matatizo hayo,ARVs ni DNA chain terminator,hakuna anayeweza kuishi kama atatumia ARVs kwa muda mrefu,mwishowe lazima zimuue.

-Ukitaka kujua madhara ya ARVs basi fanya yafuatayo:
1.Ingia kwenye website hii hapa,web hii sio yangu mimi,bali ni ya walewale waliotengeneza hizo ARVs,yaani hata wenyewe wanakubali kwamba ARVs zina madhara haya,na madhara haya ndio yanayoua,sasa ingia hapa halafu soma WARNING:Hapa wameelezea dawa moja tu,lakini ukifuatilia dawa zote za ARVs utakuta zina madhara hayohayo.

http://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient

2.Fuatilia ndani ya kikopo cha ARVs kuna karatasi imekunjwa,kunjua karatasi hiyo na uisome kwa umakini mkubwa utaona madhara yake yanafana na ya kwenye website niliyoweka hapo juu.

3.Kama bado huamini,basi fuatilia mahospitalini au mitaani kwa wale wagonjwa waliozidiwa ambao wanatumia ARVs.Utakuta wana dalili hizohizo zilizotajwa hapo juu.

Sasa kama ulikuwa hujui,kile unachokiona kinadhoofisha watu na kuua watu wanaotumia ARVs ni ARVs zenyewe.Na kama mtu amedhoofika lakini hatumii ARVs basi ujue anaumwa ugonjwa unaofahamika na kama atapewa tiba sahihi lazima apone na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

-Najua ulishawahi kuona mtu anayetumia ARVs ana matatizo yafutayo;
1.Matatizo ya moyo/presha,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
2.Matatizo ya Ini,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
3.Matatizo ya figo,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
4.Matatizo ya upungufu wa damu,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
5.Cancer yoyote ile,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
6.Kisukari,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
7.Nywele zimedhoofika au kunyonyoka,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
8.Ngozi kufubaa au kuwa na vipele au vidonda,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs....nk.

Sasa tumia werevu hapa,matatizo hayo yote hayasababishwi na vijidudu na hasa huyo HIV,hata madaktari wanajua hilo.Sasa jiulize,kila mgonjwa anayetumia ARVs mwisho wa siku anapata moja au kadhaa kati ya matatizo hayo,na matatizo hayo ndio yanayowaua.Sasa matatizo hayo yanasababishwa na nini?

Jibu lake ni,yanasababishwa na ARVs.

Watu wanachukia HIV na kukimbilia kula ARVs bila kujua kwamba ARVs ndio ugonjwa wenyewe.Tunaruka maji,tunakanyaga moto,yaani kama kenge anavyokimbia mvua na kuingia mtoni.Watu wakijua haya watajilaumua sana kwa nini hawakujua tangu mwanzo.

Hivyo basi,mtego mkubwa uko kwenye vipimo,kwa maana vipimo ndio hutafuta wateja wa ARVs.Halafu watu wakianza kutumia ARVs mwisho wa siku hufa kwa madhara yake halafu anasingiziwa HIV(ambaye ni hewa/hayupo),yaani kama wewe ukifanya dhambi kwa tamaa zako halafu unamsingizia shetani.

Tulia,dadisi,hoji,uliza,fanya utafiti.Huu ndio ukombozi wako pekee kwenye suala hili.
Kitendo cha Hawa Wagonjwa kuugua hayo maradhi yote ulosema nadhani ni kutokana na UKOSEFU WA KINGA MWILINI, Yani cell zao hazina nguvu ya kupambana na maradhi, kwasabab nishaona mgonjwa wa Ukimwi anagugua tb si chini ya mara 5 yani anapewa dozi anapona kabsaaaaaaa, anakaa hata miaka miwii au 3 anakuja kkuugua tena tb, wakati tb ya mtu wa kawaida akitibiwa anapona na inapotea kabsaa hairudi, akipona tb atatoka majipu jipu atayatibu yatakauka kabsaaa baadae anakuja ugua tena upele, NI WAZI MIILI YAO HAINA KINGA TENA NA HIWEZI PIGANA NA MARADHI, Ukimwi Upo, tena Upo ila tu hawajagundua hicho kirusi kinachosababisha hayo maradhi na ndo mana wameshindwa kupata tiba, mie nishashuhudia wagonwja wanaotumia hizo ARVs yani wako healthy kabsaa, ngozi nzuri miili imenona kiasi kwamba huwezi jua kama ni mgonjwa na pia nakubaliana na wewe watu kama hawa hufa ghafla kwa moyo n.k..lakini hapo ameshadunda kwa miaka hata 10 au 15, wale wasiotumia ARVs ndo wanakuwa na hali mbaya na hata wakitaka kumalizikia ndo wale wanaharisha na kutapika na kukondaaaaaaaaaaa mpaka wanakata roho, ila watumiaji wa ARVs huzikwa wakiwa wamenona kabsaa chunguza, hizo dawa kweli zina madhara kama unavyosema ila pia zinawasaidia waaathirika.
 
Kwahiyo kile kirusi cha HIV tulichokuwa tunakichora ktk biology form 2 chenye gamba gumu ni uongo?

Deception

He he heee!
Walichofanya ni sawasawa na wewe kuchora picha ya 'embe' halafu chini yake ukaandika neno 'chungwa'.Kila mtu anajua kwamba embe sio chungwa kwa kuwa embe halina sifa za chungwa,ila wewe umeamua tu kwa ridhaa yako kutokana na sababu unazozijua wewe kuliita embe chungwa.

Pia ukiniita mimi ng'ombe haina maana kwamba mimi ndio nimeshakuwa ng'ombe,hii ni kwa sababu mimi sina sifa za ng'ombe.

Hivyo basi,HIV ni jina tu na si zaidi ya hapo,lakini jina hili limeshavuruga akili za watu na watu wanaamini kwamba HIV yupo kweli na anaua na hana tiba na anaambukizwa kwa njia ya ngono,hii inatokana na kampeni nzito za muda mrefu zinazoambatana na picha za kutisha pamoja na ujanja wa hali ya juu walioutumia wale waliotudanganya.Yaani hata kama wewe ni HIV+ halafu mkeo ni HIV- na mmekaa kwa muda mrefu na mmezaa watoto na watoto wenu ni HIV- lakini bado utaendelea kuamini kwamba HIV yupo na anaambukizwa kwa njia ya ngono,hivi ndivyo akili za watu wengi zilivyorubuniwa kupitia kampeni hizo.

Hata kama utaona kwa macho yako mikanganyiko inayotokea mitaani na kwenye vituo vya afya,bado akili yako itaendelea kufikiria vilevile kama ulivyoambiwa kwenye kampeni hizo.

Ndio maana sisi tunasema ,HIV/AIDS is a MINDSET disease',na hakuna ugonjwa kama huo kiuhalisia,watu wanaumwa/kufa kwa magonjwa yaleyale ya zamani,na magonjwa hayo yote yana tiba zake,hakuna jipya.

Asikwambie mtu,ukijua ukweli huu utajisikia raha sana,utajiamini sana na hutaogopa kitu.Hata ukiona mtu wako wa karibu anaumwaumwa sana hutakuwa na hofu kwasababu utajua jinsi ya kumtibu na ataendelea na shughuli zake.

Ila usipojua haya,utakuwa mtumwa wa kudumu katika maisha yako,wewe utakuwa unashtukashtuka hata kama hujashtuliwa,he he heee,hatari sana hii.
 
..... nishaona mgonjwa wa Ukimwi anagugua tb si chini ya mara 5 ........., Ukimwi Upo, tena Upo .......lakini hapo ameshadunda kwa miaka hata 10 au 15, wale wasiotumia ARVs ndo wanakuwa na hali mbaya .......

Baada ya kusoma yale niliyokuandikia unatakiwa kufanya uchunguzi.Ndio maana nikakwambia tulia,dadisi,uliza,chunguza.Kuona na kuchunguza ni mambo mawili tofauti kabisa,nilishasema haya yote kwenye reply zilizopita,lakini ume bypass,hii ni hatari sana kwa uelewa wako.

1.Mimi nina ndugu yangu wa karibu kabisa aliugua TB mara 3,kipindi hicho nilikuwa sijui ukweli huu.Sasa wakampima na kumwambia ni HIV+,wakamwanzishia ARVs,ametuma ARVs kwa miaka 7,lakini tayari zilianza kumdhuru katika mfumo wa hewa.

Sasa tofauti na wewe,mimi nilichunguza kwanini alikuwa anaumwa sana TB,jibu ni kwamba alikuwa ni mnywaji sana wa pombe kali za kienyeji halafu sio mlaji sana wa chakula,pia kazi zake zinahusiana na vumbi.Ndio maana nikakwambia ukimwi unatokana na lifestyle tu.

Sasa cha ajabu,sasa hivi nimeshamuachisha ARVs na anaendelea na maisha yake na haumwiumwi zaidi ya madhara yaliyosababishwa na ARVs aliyopata katika mfumo wa hewa/allergy.Sasa kama kweli ARVs ndio suluhisho,mbona haumwi tena TB?

2.Unasisitiza kwamba ukimwi upo kama vile kuna mtu amesema hakuna ukimwi,inaonekana bado hujapata misingi ya hoja zangu kwenye suala hili.Hakuna aliyesema hakuna ukimwi,ukimwi kweli upo lakini si kitu cha kutisha kama ulivyoambiwa na ukimwi si ugonjwa na unapotea wakati mwingine bila hata mlengwa kujijua.Ukimwi ni lifestyle tu,ukibadili lifestyle mambo yanasonga.Fanya uchunguzi wako,narudia,fanya uchunguzi,ukipoteza muda mwingi kujadili humu JF bila kufanya uchunguzi tena wa kina,basi hiyo ni bure tu,hutaelewa kitu cha maana.

3.Unasema wanaotumia ARVs ndio wanapona na wale wasiotumia ndio wanakufa.Yaani hapandio umeharibu kabisa,unazungumza kinyume chake.
Mtu kutumia ARVs kwa miaka 10 au 15 haina maana kwamba ndio zinamsaidia.Hata mimi sikusema kwamba ARVs zinakuuwa ndani ya muda mfupi,ARVs zinakuua baada ya long term use/matumizi ya muda mrefu.Lakini fahamu kwamba madhara yake yanategemea na mlengwa anaishi vipi.

Kama mtu ana lifestyle duni/mbovu halafu anatumia ARVs,basi hatadumu kwa muda mrefu,ila kwa wale wanaotunza afya zao kwa chakula bora na mazoezi ndio wanadumu kwa miaka kadhaa wakitumia ARVs,lakini hii haimaanishi kwamba hawatadhurika,kudhurika ni suala la muda tu,lakini lipo palepale.

Cha kusikitisha ni kwamba,bado hujawahi kuwaona au kuwasikia watu walipimwa HIV+ lakini hawatumii ARVs na wako kwenye hali nzuri ya kiafya kwa zaidi ya miaka 20,watu hawa wako wengi sana,wewe hujawaona tu,pengine hutaki kuwaona,sikulazimishi,sasa hapa napo sijui utasemaje,labda mungu anawalinda.

Ukiona mtu hatumii ARVs halafu ana hali mbaya ujue kuna kitu kingine kinachomsababishia matatizo yake,na kitu hicho lazima kina tiba/usuluhisho wake,lakini sio HIV,ukifanya uchunguzi wako utajua tu,naendelea kusisitiza ufanye uchunguzi kwa kuwa nakupenda,sipendi nikupoteze,muda huu naopoteza kuandika haya ni kwa sababu ya kukuokoa wewe na watu wako wa karibu,hivyo chukulia kwa uzito haya ninayokwambia,usidharau hata kidogo.


ANGALIZO:
Hakuna mtu yeyote aliyedhoofika kwa ugonjwa fulani,mfano,TB,halafu akapona kwa kupewa ARVs.Ukiona mtu amerudi katika afya yake ya kawaida ujue kapewa dawa fulani ya kutibu ugonjwa wake mahsusi,lakini kama hujui utasema ARVs ndizo zimemsaidia.ARVs ni zuga tu,kinachotibu ni kingine kabisa.

Kama mtu anaumwa TB mara kwa mara,hebu chunguza style ya maisha yake kwanza kabla ya kumsingizia HIV,lazima utagundua kwamba kuna kitu fulani katika maisha yake hakiko sawa,sasa rekebisha hiko kitu halafu mtibu TB aliyonayo.Kitakachotokea ni kwamba mtu huyo hataumwa tena TB katika maisha yake hata kama hatumii ARVs.Fanya uchunguzi wako.

Narudia,kuona na kuchunguza ni mambo mawili tofauti.Ukihukumu kwa kuona au kusikia,hii ndio tunaita KASUMBA,yaani kuondoa kasumba iliyopo kwenye ubongo wa mtu ni jambo gumu sana,hii ni kwa sababu kasumba haina sifa ya kuhoji,kusikiliza,kuchunguza au kuuliza.Kasumba inaamini kilekile inachosikia na kuona hata bila kuchunguza.
 
Hii dunia kila kitu tunadanganywaa,sasa watu hicho kirusi huitwaje au maana Kuna ndungu yangu aliugua na hakutaka kabisa kutumia Arvs na alifariki au alikua anaumwa kingine hakujua,lakin alipimwa akaambiwa Ana HIV,kwa hiyo wanapunguza watu wafe ee
Dina,

Kwanini unashangaa huyo ndugu kufariki hata baada ya kukataa kutumia ARVs?

Mtu anaweza kufa hata akikataa kutumia tiba ya Malaria tu dada yangu.....

Huyo hakutibu alichokuwa anaumwa ndio maana alifariki....
 
Baada ya kusoma yale niliyokuandikia unatakiwa kufanya uchunguzi.Ndio maana nikakwambia tulia,dadisi,uliza,chunguza.Kuona na kuchunguza ni mambo mawili tofauti kabisa,nilishasema haya yote kwenye reply zilizopita,lakini ume bypass,hii ni hatari sana kwa uelewa wako.

1.Mimi nina ndugu yangu wa karibu kabisa aliugua TB mara 3,kipindi hicho nilikuwa sijui ukweli huu.Sasa wakampima na kumwambia ni HIV+,wakamwanzishia ARVs,ametuma ARVs kwa miaka 7,lakini tayari zilianza kumdhuru katika mfumo wa hewa.

Sasa tofauti na wewe,mimi nilichunguza kwanini alikuwa anaumwa sana TB,jibu ni kwamba alikuwa ni mnywaji sana wa pombe kali za kienyeji halafu sio mlaji sana wa chakula,pia kazi zake zinahusiana na vumbi.Ndio maana nikakwambia ukimwi unatokana na lifestyle tu.

Sasa cha ajabu,sasa hivi nimeshamuachisha ARVs na anaendelea na maisha yake na haumwiumwi zaidi ya madhara yaliyosababishwa na ARVs aliyopata katika mfumo wa hewa/allergy.Sasa kama kweli ARVs ndio suluhisho,mbona haumwi tena TB?

2.Unasisitiza kwamba ukimwi upo kama vile kuna mtu amesema hakuna ukimwi,inaonekana bado hujapata misingi ya hoja zangu kwenye suala hili.Hakuna aliyesema hakuna ukimwi,ukimwi kweli upo lakini si kitu cha kutisha kama ulivyoambiwa na ukimwi si ugonjwa na unapotea wakati mwingine bila hata mlengwa kujijua.Ukimwi ni lifestyle tu,ukibadili lifestyle mambo yanasonga.Fanya uchunguzi wako,narudia,fanya uchunguzi,ukipoteza muda mwingi kujadili humu JF bila kufanya uchunguzi tena wa kina,basi hiyo ni bure tu,hutaelewa kitu cha maana.

3.Unasema wanaotumia ARVs ndio wanapona na wale wasiotumia ndio wanakufa.Yaani hapandio umeharibu kabisa,unazungumza kinyume chake.
Mtu kutumia ARVs kwa miaka 10 au 15 haina maana kwamba ndio zinamsaidia.Hata mimi sikusema kwamba ARVs zinakuuwa ndani ya muda mfupi,ARVs zinakuua baada ya long term use/matumizi ya muda mrefu.Lakini fahamu kwamba madhara yake yanategemea na mlengwa anaishi vipi.

Kama mtu ana lifestyle duni/mbovu halafu anatumia ARVs,basi hatadumu kwa muda mrefu,ila kwa wale wanaotunza afya zao kwa chakula bora na mazoezi ndio wanadumu kwa miaka kadhaa wakitumia ARVs,lakini hii haimaanishi kwamba hawatadhurika,kudhurika ni suala la muda tu,lakini lipo palepale.

Cha kusikitisha ni kwamba,bado hujawahi kuwaona au kuwasikia watu walipimwa HIV+ lakini hawatumii ARVs na wako kwenye hali nzuri ya kiafya kwa zaidi ya miaka 20,watu hawa wako wengi sana,wewe hujawaona tu,pengine hutaki kuwaona,sikulazimishi,sasa hapa napo sijui utasemaje,labda mungu anawalinda.

Ukiona mtu hatumii ARVs halafu ana hali mbaya ujue kuna kitu kingine kinachomsababishia matatizo yake,na kitu hicho lazima kina tiba/usuluhisho wake,lakini sio HIV,ukifanya uchunguzi wako utajua tu,naendelea kusisitiza ufanye uchunguzi kwa kuwa nakupenda,sipendi nikupoteze,muda huu naopoteza kuandika haya ni kwa sababu ya kukuokoa wewe na watu wako wa karibu,hivyo chukulia kwa uzito haya ninayokwambia,usidharau hata kidogo.


ANGALIZO:
Hakuna mtu yeyote aliyedhoofika kwa ugonjwa fulani,mfano,TB,halafu akapona kwa kupewa ARVs.Ukiona mtu amerudi katika afya yake ya kawaida ujue kapewa dawa fulani ya kutibu ugonjwa wake mahsusi,lakini kama hujui utasema ARVs ndizo zimemsaidia.ARVs ni zuga tu,kinachotibu ni kingine kabisa.

Kama mtu anaumwa TB mara kwa mara,hebu chunguza style ya maisha yake kwanza kabla ya kumsingizia HIV,lazima utagundua kwamba kuna kitu fulani katika maisha yake hakiko sawa,sasa rekebisha hiko kitu halafu mtibu TB aliyonayo.Kitakachotokea ni kwamba mtu huyo hataumwa tena TB katika maisha yake hata kama hatumii ARVs.Fanya uchunguzi wako.

Narudia,kuona na kuchunguza ni mambo mawili tofauti.Ukihukumu kwa kuona au kusikia,hii ndio tunaita KASUMBA,yaani kuondoa kasumba iliyopo kwenye ubongo wa mtu ni jambo gumu sana,hii ni kwa sababu kasumba haina sifa ya kuhoji,kusikiliza,kuchunguza au kuuliza.Kasumba inaamini kilekile inachosikia na kuona hata bila kuchunguza.
Mkuu nimesoma maelezo yako kwa kina tokea jana. Na najitahidi sana nielewe unachoelezea na kiukweli kuna mantiki ndani yake.

Kama ulivosema ukimwi ni lifestyle je nataka kujua je mtu anaweza kukuambukiza huo upungufu wa kinga mwilini kupitia ngono?

Nimesema hivo kutokana na maelezo yako kwamba hiv ni propaganda tu.
 
Mkuu nimesoma maelezo yako kwa kina tokea jana. Na najitahidi sana nielewe unachoelezea na kiukweli kuna mantiki ndani yake.

Kama ulivosema ukimwi ni lifestyle je nataka kujua je mtu anaweza kukuambukiza huo upungufu wa kinga mwilini kupitia ngono?

Nimesema hivo kutokana na maelezo yako kwamba hiv ni propaganda tu.
Mkuu hakuna upungufu wa kinga mwilini unaoweza kuambukizwa....

Yaani unaanzaje kumuambukiza mwenzako upungufu wa kinga mkuu?
 
1: ......japo maambukizi ni yale yale kujamiana, kutiwa damu ya muathirika, michubuko n.k..Issue iko pale pale....

HIV haambukizwi kwa njia ya kujamiiana kwa kuwa HIV mwenyewe hayupo kiuhalisia.HIV amepata umaarufu kutokana na vipimo vinavyosemekana vinapima HIV na pia vyombo vya habari.

Ili kuthibitisha hili,fuatilia mwenyewe mitaani utagundua kuna ndoa nyingi sana ambazo mmoja ni HIV+ na mwingine ni HIV- na watoto ni HIV-,sasa umeshawahi kujiuliza kwanini inatokea hivi?Au ndio na wewe utasema ni mipango ya mungu?

Pia kuna watu walijidunga damu kabisa ambayo watu wanaamini kwamba ni ya mtu mwenye HIV,lakini kila wakipima wanaambiwa ni HIV-.Je,hawa watu pia mungu amewaokoa eenh!

2:..........kama tatizo kukos lishe bora, kuna watu wenye pesa na wanatoka familia safi na wameugua hayo maradhi na unakuta baada ya kufa mume mke anafatwa.....

Kwenye reply yangu ya kwanza kabisa kwenye uzi huu nilishatoa angalizo kwamba,kula lishe bora hakuna uhusiano na mtu kuwa tajiri au mwenye pesa.Lishe bora ni vyakula rahisi sana na wala havihitaji pesa nyingi kuliko unavyofikiri,sasa nikwambie kwamba,kwa kifupi,matajiri ndio wanaokula vyakula vibovu zaidi ya masikini,tofauti ni kwamba wakati mwingine masikini huwa wanakosa kabisa pesa ya kununulia chakula,lakini wakipata utaona wananunu matembele(alkaline food),dona,dagaa(protein food),atachuma majani ya mchaichai,ataweka na bamia kidogo na nyanya chungu original,unaona mambo hayo?Sasa matajiri huwa hawali mambo haya mara nyingi,wao sanasana ni nyama(acidic food,mbaya sana hii),juisi za kwenye maboksi(aspartame=very acid food),atatumia microwave kupasha chakula=kuua virutubisho vyote vya chakula,atahifadhi chakula kwenye jokofu kwa muda mrefu=chakula mfu,na mambo mengi kama hayo.Hivyo kuwa na pesa sio kula chakula bora.

Suala la kufuatana kufa kwa ugonjwa mmoja au wenye dalili zinazofanana sio la ajabu kama unavyofikiria.Hebu tuliza ubongo na ufikiri tofauti na hapo utajua tu.

-Hivi kwani mme akiwa na TB halafu kila siku analala kitanda kimoja na mkewe kwa muda mrefu hata wewe unajua kwamba mkewe naye yuko hatarini kupata TB.Sasa mme akifa kwa TB halafu mkewe naye asipopata uangalizi naye baadaye atakufa kwa TB,hivyo watakufa kwa dalili zinazofanana.Je,unazijua dalili za TB?Dalili za TB ndio zilezile tulizoambiwa kwamba ni za ukimwi,nadhani sasa unapata picha,ndio maana nilishasema kwamba magonjwa haya ni ya zamani sana ila yamepewa majina mapya na nadharia mpya kwa lengo la kuuza ARVs.

-Hata ukifanya mapenzi na mtu mwenye TB mara moja tu unaweza kupata TB,unajua hilo?Sasa wewe utapata TB kwa njia ya hewa kutoka kwa mpenzi wako na utakuwa na dalili ambazo wewe umesharubuniwa kwamba ni za ukimwi na watakwambia kwamba ni ukimwi,halafu wewe utaamini hivyo kwamba mpenzi wako amekuambukiza kwa njia ya ngono wakati wewe umepata TB kwa njia ya hewa,he he heeee! haya mambo mazito kweli.

-Hivi wewe umeona wapi watu wanaugua ukimwi?Huwezi kuugua ukimwi kamwe,kama huamini basi muulize daktari yeyote yule atakwambia vivyo hivyo.Mtu hawezi kuugua ukimwi kwa kuwa ukimwi sio ugonjwa,ukimwi ni hali ya kinga tu kushuka na haisababishwi na HIV,bali watu huugua ugonjwa fulani unaofahamika tangu zamani baada ya kinga yake kushuka,na kama atapewa tiba sahihi lazima apone hata kama hatumii ARVs.Fanya utafiti wako utajua tu.

-Unajua nilichokiona kwa watu wengi ni kwamba,watu hawaelewi na hawatambui kile wanachokiona kwa macho yao.Wakiona mtu kakonda,anaharisha,ana homa mara kwa mara nk na mwenzi wa huyo mtu naye vivyo hivyo,basi watasema kwamba ni HIV bila kujua undani wake.Nilichokiona pia ni kwamba watu wengi hata hawafanyi uchunguzi zaidi ya kubeba kile walichokiona na kuambiwa tu,ukichunguza utagundua mambo mengi sana,hivyo nakushauri,ukiona mtu anaumwa sana basi nenda kafanye uchunguzi wako ujue anaumwa ugonjwa gani,lakini usikimbilie kusema tu kwamba anaumwa ukimwi,ukimwi sio ugonjwa.

3:....ukiangalia chain za mitaani tu kila alielala na flani anakuwa nayo hayo maradhi, nadhani UAMBUKIZWAJI UKIMWI UKO PALE PALE....

Nilishajibu hili hapo juu,wewe hujafanya uchunguzi,fanya uchunguzi,usichukulie mazoea ya kile ulichoambiwa,haya mambo hayako hivyo kama unavyodhani,ukiangaziwa kukubali kufanya uchunguzi tu basi ujue umeshajua ukweli,tatizo la watu wengi ni wagumu kuamua kuchunguza.

Ukimwi sio tatizo,tatizo ni akili zetu/mindset zetu,hatuelewi kile tunachokiona kimesababishwa na nini.

Hata wewe unajua na unawafahamu watu wengi waliowahi kutembea na watu wanaosadikika kuwa na huyo HIV tena bila kutumia kinga lakini hawajapata huyo HIV.Lakini pamoja na hayo watu haohao bado wanaamini kwamba HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono ila wao mungu ndio amewaokoa,he he heee,hili ni tatizo kubwa kwa kweli,hawa jamaa wamejitahidi sana kuusuka uongo huu.

Mwisho,haya yote ninayoyasema nina ushahidi nayo,sizungumzi tu kutoka hewani,nimeshafanya uchunguzi/utafiti.

ANGALIZO:
Kwanini nasema ARVs(na si HIV) ndizo zinazowaua watu wanaozitumia?Yaani ilipaswa tuseme ARVs/AIDS badala ya HIV/AIDS.

-Zile zinazoitwa side effects za ARVs kiukweli sio side effects na badala yake ni direct effects,hii ni kwasababu waliotengeneza ARVs walidhamiria ARVs zisababishe matatizo hayo,ARVs ni DNA chain terminator,hakuna anayeweza kuishi kama atatumia ARVs kwa muda mrefu,mwishowe lazima zimuue.

-Ukitaka kujua madhara ya ARVs basi fanya yafuatayo:
1.Ingia kwenye website hii hapa,web hii sio yangu mimi,bali ni ya walewale waliotengeneza hizo ARVs,yaani hata wenyewe wanakubali kwamba ARVs zina madhara haya,na madhara haya ndio yanayoua,sasa ingia hapa halafu soma WARNING:Hapa wameelezea dawa moja tu,lakini ukifuatilia dawa zote za ARVs utakuta zina madhara hayohayo.

http://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient

2.Fuatilia ndani ya kikopo cha ARVs kuna karatasi imekunjwa,kunjua karatasi hiyo na uisome kwa umakini mkubwa utaona madhara yake yanafana na ya kwenye website niliyoweka hapo juu.

3.Kama bado huamini,basi fuatilia mahospitalini au mitaani kwa wale wagonjwa waliozidiwa ambao wanatumia ARVs.Utakuta wana dalili hizohizo zilizotajwa hapo juu.

Sasa kama ulikuwa hujui,kile unachokiona kinadhoofisha watu na kuua watu wanaotumia ARVs ni ARVs zenyewe.Na kama mtu amedhoofika lakini hatumii ARVs basi ujue anaumwa ugonjwa unaofahamika na kama atapewa tiba sahihi lazima apone na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

-Najua ulishawahi kuona mtu anayetumia ARVs ana matatizo yafutayo;
1.Matatizo ya moyo/presha,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
2.Matatizo ya Ini,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
3.Matatizo ya figo,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
4.Matatizo ya upungufu wa damu,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
5.Cancer yoyote ile,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
6.Kisukari,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
7.Nywele zimedhoofika au kunyonyoka,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
8.Ngozi kufubaa au kuwa na vipele au vidonda,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs....nk.

Sasa tumia werevu hapa,matatizo hayo yote hayasababishwi na vijidudu na hasa huyo HIV,hata madaktari wanajua hilo.Sasa jiulize,kila mgonjwa anayetumia ARVs mwisho wa siku anapata moja au kadhaa kati ya matatizo hayo,na matatizo hayo ndio yanayowaua.Sasa matatizo hayo yanasababishwa na nini?

Jibu lake ni,yanasababishwa na ARVs.

Watu wanachukia HIV na kukimbilia kula ARVs bila kujua kwamba ARVs ndio ugonjwa wenyewe.Tunaruka maji,tunakanyaga moto,yaani kama kenge anavyokimbia mvua na kuingia mtoni.Watu wakijua haya watajilaumua sana kwa nini hawakujua tangu mwanzo.

Hivyo basi,mtego mkubwa uko kwenye vipimo,kwa maana vipimo ndio hutafuta wateja wa ARVs.Halafu watu wakianza kutumia ARVs mwisho wa siku hufa kwa madhara yake halafu anasingiziwa HIV(ambaye ni hewa/hayupo),yaani kama wewe ukifanya dhambi kwa tamaa zako halafu unamsingizia shetani.

Tulia,dadisi,hoji,uliza,fanya utafiti.Huu ndio ukombozi wako pekee kwenye suala hili.
Kiongozi upo?

Endelea kuitoa elimu uokoe watu...

Huku uraiani na sisi tunaendelea kuokoa wengine....

Mkuu kimya sana.....
 
Mkuu hakuna upungufu wa kinga mwilini unaoweza kuambukizwa....

Yaani unaanzaje kumuambukiza mwenzako upungufu wa kinga mkuu?
Anhaa ndio nilitaka kujua hapo.

Je na wale watoto wanaozaliwa na upungufu wa kinga mwilini inakuwaje hapo? Maana hiv si tumesema ni dhahania

Nimeshashuhudia alikufa baba, akafuata mama na akamalizikia mtoto.
 
Anhaa ndio nilitaka kujua hapo.

Je na wale watoto wanaozaliwa na upungufu wa kinga mwilini inakuwaje hapo? Maana hiv si tumesema ni dhahania

Nimeshashuhudia alikufa baba, akafuata mama na akamalizikia mtoto.
Nkuu nimesoma hapo juu umesema kwamba umefuatilia post za Deception tangu jana....

Ninachokiona hapa ni kwamba inaonekana hujasoma au ulisoma na hukuelewa....

Hebu pitia haya maelezo hapa chini ya Deception kisha uone kama hakuna majibu ya swali lako mkuu.....





1: ......japo maambukizi ni yale yale kujamiana, kutiwa damu ya muathirika, michubuko n.k..Issue iko pale pale....

HIV haambukizwi kwa njia ya kujamiiana kwa kuwa HIV mwenyewe hayupo kiuhalisia.HIV amepata umaarufu kutokana na vipimo vinavyosemekana vinapima HIV na pia vyombo vya habari.

Ili kuthibitisha hili,fuatilia mwenyewe mitaani utagundua kuna ndoa nyingi sana ambazo mmoja ni HIV+ na mwingine ni HIV- na watoto ni HIV-,sasa umeshawahi kujiuliza kwanini inatokea hivi?Au ndio na wewe utasema ni mipango ya mungu?

Pia kuna watu walijidunga damu kabisa ambayo watu wanaamini kwamba ni ya mtu mwenye HIV,lakini kila wakipima wanaambiwa ni HIV-.Je,hawa watu pia mungu amewaokoa eenh!

2:..........kama tatizo kukos lishe bora, kuna watu wenye pesa na wanatoka familia safi na wameugua hayo maradhi na unakuta baada ya kufa mume mke anafatwa.....

Kwenye reply yangu ya kwanza kabisa kwenye uzi huu nilishatoa angalizo kwamba,kula lishe bora hakuna uhusiano na mtu kuwa tajiri au mwenye pesa.Lishe bora ni vyakula rahisi sana na wala havihitaji pesa nyingi kuliko unavyofikiri,sasa nikwambie kwamba,kwa kifupi,matajiri ndio wanaokula vyakula vibovu zaidi ya masikini,tofauti ni kwamba wakati mwingine masikini huwa wanakosa kabisa pesa ya kununulia chakula,lakini wakipata utaona wananunu matembele(alkaline food),dona,dagaa(protein food),atachuma majani ya mchaichai,ataweka na bamia kidogo na nyanya chungu original,unaona mambo hayo?Sasa matajiri huwa hawali mambo haya mara nyingi,wao sanasana ni nyama(acidic food,mbaya sana hii),juisi za kwenye maboksi(aspartame=very acid food),atatumia microwave kupasha chakula=kuua virutubisho vyote vya chakula,atahifadhi chakula kwenye jokofu kwa muda mrefu=chakula mfu,na mambo mengi kama hayo.Hivyo kuwa na pesa sio kula chakula bora.

Suala la kufuatana kufa kwa ugonjwa mmoja au wenye dalili zinazofanana sio la ajabu kama unavyofikiria.Hebu tuliza ubongo na ufikiri tofauti na hapo utajua tu.

-Hivi kwani mme akiwa na TB halafu kila siku analala kitanda kimoja na mkewe kwa muda mrefu hata wewe unajua kwamba mkewe naye yuko hatarini kupata TB.Sasa mme akifa kwa TB halafu mkewe naye asipopata uangalizi naye baadaye atakufa kwa TB,hivyo watakufa kwa dalili zinazofanana.Je,unazijua dalili za TB?Dalili za TB ndio zilezile tulizoambiwa kwamba ni za ukimwi,nadhani sasa unapata picha,ndio maana nilishasema kwamba magonjwa haya ni ya zamani sana ila yamepewa majina mapya na nadharia mpya kwa lengo la kuuza ARVs.

-Hata ukifanya mapenzi na mtu mwenye TB mara moja tu unaweza kupata TB,unajua hilo?Sasa wewe utapata TB kwa njia ya hewa kutoka kwa mpenzi wako na utakuwa na dalili ambazo wewe umesharubuniwa kwamba ni za ukimwi na watakwambia kwamba ni ukimwi,halafu wewe utaamini hivyo kwamba mpenzi wako amekuambukiza kwa njia ya ngono wakati wewe umepata TB kwa njia ya hewa,he he heeee! haya mambo mazito kweli.

-Hivi wewe umeona wapi watu wanaugua ukimwi?Huwezi kuugua ukimwi kamwe,kama huamini basi muulize daktari yeyote yule atakwambia vivyo hivyo.Mtu hawezi kuugua ukimwi kwa kuwa ukimwi sio ugonjwa,ukimwi ni hali ya kinga tu kushuka na haisababishwi na HIV,bali watu huugua ugonjwa fulani unaofahamika tangu zamani baada ya kinga yake kushuka,na kama atapewa tiba sahihi lazima apone hata kama hatumii ARVs.Fanya utafiti wako utajua tu.

-Unajua nilichokiona kwa watu wengi ni kwamba,watu hawaelewi na hawatambui kile wanachokiona kwa macho yao.Wakiona mtu kakonda,anaharisha,ana homa mara kwa mara nk na mwenzi wa huyo mtu naye vivyo hivyo,basi watasema kwamba ni HIV bila kujua undani wake.Nilichokiona pia ni kwamba watu wengi hata hawafanyi uchunguzi zaidi ya kubeba kile walichokiona na kuambiwa tu,ukichunguza utagundua mambo mengi sana,hivyo nakushauri,ukiona mtu anaumwa sana basi nenda kafanye uchunguzi wako ujue anaumwa ugonjwa gani,lakini usikimbilie kusema tu kwamba anaumwa ukimwi,ukimwi sio ugonjwa.

3:....ukiangalia chain za mitaani tu kila alielala na flani anakuwa nayo hayo maradhi, nadhani UAMBUKIZWAJI UKIMWI UKO PALE PALE....

Nilishajibu hili hapo juu,wewe hujafanya uchunguzi,fanya uchunguzi,usichukulie mazoea ya kile ulichoambiwa,haya mambo hayako hivyo kama unavyodhani,ukiangaziwa kukubali kufanya uchunguzi tu basi ujue umeshajua ukweli,tatizo la watu wengi ni wagumu kuamua kuchunguza.

Ukimwi sio tatizo,tatizo ni akili zetu/mindset zetu,hatuelewi kile tunachokiona kimesababishwa na nini.

Hata wewe unajua na unawafahamu watu wengi waliowahi kutembea na watu wanaosadikika kuwa na huyo HIV tena bila kutumia kinga lakini hawajapata huyo HIV.Lakini pamoja na hayo watu haohao bado wanaamini kwamba HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono ila wao mungu ndio amewaokoa,he he heee,hili ni tatizo kubwa kwa kweli,hawa jamaa wamejitahidi sana kuusuka uongo huu.

Mwisho,haya yote ninayoyasema nina ushahidi nayo,sizungumzi tu kutoka hewani,nimeshafanya uchunguzi/utafiti.

ANGALIZO:
Kwanini nasema ARVs(na si HIV) ndizo zinazowaua watu wanaozitumia?Yaani ilipaswa tuseme ARVs/AIDS badala ya HIV/AIDS.

-Zile zinazoitwa side effects za ARVs kiukweli sio side effects na badala yake ni direct effects,hii ni kwasababu waliotengeneza ARVs walidhamiria ARVs zisababishe matatizo hayo,ARVs ni DNA chain terminator,hakuna anayeweza kuishi kama atatumia ARVs kwa muda mrefu,mwishowe lazima zimuue.

-Ukitaka kujua madhara ya ARVs basi fanya yafuatayo:
1.Ingia kwenye website hii hapa,web hii sio yangu mimi,bali ni ya walewale waliotengeneza hizo ARVs,yaani hata wenyewe wanakubali kwamba ARVs zina madhara haya,na madhara haya ndio yanayoua,sasa ingia hapa halafu soma WARNING:Hapa wameelezea dawa moja tu,lakini ukifuatilia dawa zote za ARVs utakuta zina madhara hayohayo.

http://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient

2.Fuatilia ndani ya kikopo cha ARVs kuna karatasi imekunjwa,kunjua karatasi hiyo na uisome kwa umakini mkubwa utaona madhara yake yanafana na ya kwenye website niliyoweka hapo juu.

3.Kama bado huamini,basi fuatilia mahospitalini au mitaani kwa wale wagonjwa waliozidiwa ambao wanatumia ARVs.Utakuta wana dalili hizohizo zilizotajwa hapo juu.

Sasa kama ulikuwa hujui,kile unachokiona kinadhoofisha watu na kuua watu wanaotumia ARVs ni ARVs zenyewe.Na kama mtu amedhoofika lakini hatumii ARVs basi ujue anaumwa ugonjwa unaofahamika na kama atapewa tiba sahihi lazima apone na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

-Najua ulishawahi kuona mtu anayetumia ARVs ana matatizo yafutayo;
1.Matatizo ya moyo/presha,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
2.Matatizo ya Ini,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
3.Matatizo ya figo,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
4.Matatizo ya upungufu wa damu,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
5.Cancer yoyote ile,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
6.Kisukari,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
7.Nywele zimedhoofika au kunyonyoka,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
8.Ngozi kufubaa au kuwa na vipele au vidonda,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs....nk.

Sasa tumia werevu hapa,matatizo hayo yote hayasababishwi na vijidudu na hasa huyo HIV,hata madaktari wanajua hilo.Sasa jiulize,kila mgonjwa anayetumia ARVs mwisho wa siku anapata moja au kadhaa kati ya matatizo hayo,na matatizo hayo ndio yanayowaua.Sasa matatizo hayo yanasababishwa na nini?

Jibu lake ni,yanasababishwa na ARVs.

Watu wanachukia HIV na kukimbilia kula ARVs bila kujua kwamba ARVs ndio ugonjwa wenyewe.Tunaruka maji,tunakanyaga moto,yaani kama kenge anavyokimbia mvua na kuingia mtoni.Watu wakijua haya watajilaumua sana kwa nini hawakujua tangu mwanzo.

Hivyo basi,mtego mkubwa uko kwenye vipimo,kwa maana vipimo ndio hutafuta wateja wa ARVs.Halafu watu wakianza kutumia ARVs mwisho wa siku hufa kwa madhara yake halafu anasingiziwa HIV(ambaye ni hewa/hayupo),yaani kama wewe ukifanya dhambi kwa tamaa zako halafu unamsingizia shetani.

Tulia,dadisi,hoji,uliza,fanya utafiti.Huu ndio ukombozi wako pekee kwenye suala hili.
 
Mkuu nimesoma maelezo yako kwa kina tokea jana. Na najitahidi sana nielewe unachoelezea na kiukweli kuna mantiki ndani yake.

Kama ulivosema ukimwi ni lifestyle je nataka kujua je mtu anaweza kukuambukiza huo upungufu wa kinga mwilini kupitia ngono?

Nimesema hivo kutokana na maelezo yako kwamba hiv ni propaganda tu.

Msingi wa mada hii na nadharia nzima ya HIV/AIDS ni kupingana na usemi kwamba HIV ndiye anasababisha AIDS/ukimwi.

Sasa sikiliza:
Ukimwi=upungufu wa kinga mwilini.Fahamu kwamba ukimwi unaonekana kuwa ni kitu cha kutisha sana akilini kwa watu wengi,lakini ukimwi ni kitu cha kawaida sana,ukimwi ulikuwapo tangu enzi za binadamu wa kwanza duniani lakini umepata umaarufu kutokana na kampeni nzito kwenye vyombo vya habari zilizoambatana na picha za kutisha ili wale waliofanya kampeni hizi(viwanda vya madawa ya ARVs) waweze kunufaika na uuzaji wa madawa hayo,ni hivyo tu.

Sasa kila mtu aliwahi na atawahi kuwa na ukimwi katika muda mbalimbali wa maisha yake,hata Bush na Obama waliwahi kuwa na ukimwi.Ukimwi ni hali ya kinga YAKO WEWE au MIMI kushuka/kupungua,na hii inatokana na style ya maisha kama vile lishe duni,msongo,pombe kali,madawa ya hospitali,mionzi mikali,magonjwa yanayojirudia nk.Ukiwa na ukimwi yaani kinga YAKO,narudia,KINGA YAKO,inakuwa imeshuka,na hapa HIV hahusiki kabisa.

Sasa kwa mantiki hiyo wala hauhitaji kutumia akili nyingi kujua kwamba KINGA YAKO ni KINGA YAKO wewe mwenyewe,huwezi kumwambukiza mtu mwingine,watu wanaambukiza magonjwa yanayosababishwa na vijidudu kama vile TB nk,lakini huwezi kumwambukiza mtu ugonjwa usiosababishwa na kijidudu.Mfano kisukari,saratani,vitiligo,ukilema nk hayaambukizwi kwa sababu hayasababishwi na vijidudu.Vivyo hivyo ukimwi hausababishwi na vijidudu na ndio maana hauwezi kuambukizwa.

Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi hapo mtaani kwenu,maana mifano iko mingi sana ila watu hawataki kuiona,na wanapoiona huwa wanasema kwamba ni mpango wa mungu.Nakuuliza,hivi hapo mtaani kwenu au popote pale,hujawahi kuona au hata kusikia tu kwamba kuna ndoa ambayo mke/mme amepimwa HIV+ lakini mwenzake hana na wamezaa watoto na watoto pia hawana HIV?

Mifano hii ni uthibitisho tosha kwamba HIV hayupo kiuhalisia,lakini watu hawalioni hili kwa kuwa hawana tabia ya kujihoji na kuchunguza.

Hivyo basi,hata ukifanya ngono bila kinga na wanawake 100 waliopimwa HIV+ kwa siku moja hutapata HIV,labda utaishiwa nguvu na kudhoofisha mwili wako tu.

Haya mambo yako wazi sana kwa wale wanaojihoji tu,yaani hata leo hii watu wenye nia mbaya wakinipeleka mahakamani kwa kesi ya kupotosha umma kwenye suala hili nina uhakika 100% nitashinda kesi,hii ni kwasababu nina vithibitisho vya kutosha.Kithibitisho cha kwanza ni mimi kujidunga damu ya mtu ambaye wao wanaamini kwamba ni HIV+ halafu wakinipima watanikuta mimi ni HIV- baada ya hiyo 'eti window period' yao kupita,huu ni uthibitisho wa wazi kabisa mbele ya hakimu.

Ukijua ukweli huu utaishi kwa raha sana,hutakuwa mtumwa tena.Tangu wamtangaze HIV(feki) watu hata wale walio kwenye ndoa wanafanya tendo la ndoa huku wanaogopana,sasa huu kama sio utumwa ni nini?
 
Nkuu nimesoma hapo juu umesema kwamba umefuatilia post za Deception tangu jana....

Ninachokiona hapa ni kwamba inaonekana hujasoma au ulisoma na hukuelewa....

Hebu pitia haya maelezo hapa chini ya Deception kisha uone kama hakuna majibu ya swali lako mkuu.....





1: ......japo maambukizi ni yale yale kujamiana, kutiwa damu ya muathirika, michubuko n.k..Issue iko pale pale....

HIV haambukizwi kwa njia ya kujamiiana kwa kuwa HIV mwenyewe hayupo kiuhalisia.HIV amepata umaarufu kutokana na vipimo vinavyosemekana vinapima HIV na pia vyombo vya habari.

Ili kuthibitisha hili,fuatilia mwenyewe mitaani utagundua kuna ndoa nyingi sana ambazo mmoja ni HIV+ na mwingine ni HIV- na watoto ni HIV-,sasa umeshawahi kujiuliza kwanini inatokea hivi?Au ndio na wewe utasema ni mipango ya mungu?

Pia kuna watu walijidunga damu kabisa ambayo watu wanaamini kwamba ni ya mtu mwenye HIV,lakini kila wakipima wanaambiwa ni HIV-.Je,hawa watu pia mungu amewaokoa eenh!

2:..........kama tatizo kukos lishe bora, kuna watu wenye pesa na wanatoka familia safi na wameugua hayo maradhi na unakuta baada ya kufa mume mke anafatwa.....

Kwenye reply yangu ya kwanza kabisa kwenye uzi huu nilishatoa angalizo kwamba,kula lishe bora hakuna uhusiano na mtu kuwa tajiri au mwenye pesa.Lishe bora ni vyakula rahisi sana na wala havihitaji pesa nyingi kuliko unavyofikiri,sasa nikwambie kwamba,kwa kifupi,matajiri ndio wanaokula vyakula vibovu zaidi ya masikini,tofauti ni kwamba wakati mwingine masikini huwa wanakosa kabisa pesa ya kununulia chakula,lakini wakipata utaona wananunu matembele(alkaline food),dona,dagaa(protein food),atachuma majani ya mchaichai,ataweka na bamia kidogo na nyanya chungu original,unaona mambo hayo?Sasa matajiri huwa hawali mambo haya mara nyingi,wao sanasana ni nyama(acidic food,mbaya sana hii),juisi za kwenye maboksi(aspartame=very acid food),atatumia microwave kupasha chakula=kuua virutubisho vyote vya chakula,atahifadhi chakula kwenye jokofu kwa muda mrefu=chakula mfu,na mambo mengi kama hayo.Hivyo kuwa na pesa sio kula chakula bora.

Suala la kufuatana kufa kwa ugonjwa mmoja au wenye dalili zinazofanana sio la ajabu kama unavyofikiria.Hebu tuliza ubongo na ufikiri tofauti na hapo utajua tu.

-Hivi kwani mme akiwa na TB halafu kila siku analala kitanda kimoja na mkewe kwa muda mrefu hata wewe unajua kwamba mkewe naye yuko hatarini kupata TB.Sasa mme akifa kwa TB halafu mkewe naye asipopata uangalizi naye baadaye atakufa kwa TB,hivyo watakufa kwa dalili zinazofanana.Je,unazijua dalili za TB?Dalili za TB ndio zilezile tulizoambiwa kwamba ni za ukimwi,nadhani sasa unapata picha,ndio maana nilishasema kwamba magonjwa haya ni ya zamani sana ila yamepewa majina mapya na nadharia mpya kwa lengo la kuuza ARVs.

-Hata ukifanya mapenzi na mtu mwenye TB mara moja tu unaweza kupata TB,unajua hilo?Sasa wewe utapata TB kwa njia ya hewa kutoka kwa mpenzi wako na utakuwa na dalili ambazo wewe umesharubuniwa kwamba ni za ukimwi na watakwambia kwamba ni ukimwi,halafu wewe utaamini hivyo kwamba mpenzi wako amekuambukiza kwa njia ya ngono wakati wewe umepata TB kwa njia ya hewa,he he heeee! haya mambo mazito kweli.

-Hivi wewe umeona wapi watu wanaugua ukimwi?Huwezi kuugua ukimwi kamwe,kama huamini basi muulize daktari yeyote yule atakwambia vivyo hivyo.Mtu hawezi kuugua ukimwi kwa kuwa ukimwi sio ugonjwa,ukimwi ni hali ya kinga tu kushuka na haisababishwi na HIV,bali watu huugua ugonjwa fulani unaofahamika tangu zamani baada ya kinga yake kushuka,na kama atapewa tiba sahihi lazima apone hata kama hatumii ARVs.Fanya utafiti wako utajua tu.

-Unajua nilichokiona kwa watu wengi ni kwamba,watu hawaelewi na hawatambui kile wanachokiona kwa macho yao.Wakiona mtu kakonda,anaharisha,ana homa mara kwa mara nk na mwenzi wa huyo mtu naye vivyo hivyo,basi watasema kwamba ni HIV bila kujua undani wake.Nilichokiona pia ni kwamba watu wengi hata hawafanyi uchunguzi zaidi ya kubeba kile walichokiona na kuambiwa tu,ukichunguza utagundua mambo mengi sana,hivyo nakushauri,ukiona mtu anaumwa sana basi nenda kafanye uchunguzi wako ujue anaumwa ugonjwa gani,lakini usikimbilie kusema tu kwamba anaumwa ukimwi,ukimwi sio ugonjwa.

3:....ukiangalia chain za mitaani tu kila alielala na flani anakuwa nayo hayo maradhi, nadhani UAMBUKIZWAJI UKIMWI UKO PALE PALE....

Nilishajibu hili hapo juu,wewe hujafanya uchunguzi,fanya uchunguzi,usichukulie mazoea ya kile ulichoambiwa,haya mambo hayako hivyo kama unavyodhani,ukiangaziwa kukubali kufanya uchunguzi tu basi ujue umeshajua ukweli,tatizo la watu wengi ni wagumu kuamua kuchunguza.

Ukimwi sio tatizo,tatizo ni akili zetu/mindset zetu,hatuelewi kile tunachokiona kimesababishwa na nini.

Hata wewe unajua na unawafahamu watu wengi waliowahi kutembea na watu wanaosadikika kuwa na huyo HIV tena bila kutumia kinga lakini hawajapata huyo HIV.Lakini pamoja na hayo watu haohao bado wanaamini kwamba HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono ila wao mungu ndio amewaokoa,he he heee,hili ni tatizo kubwa kwa kweli,hawa jamaa wamejitahidi sana kuusuka uongo huu.

Mwisho,haya yote ninayoyasema nina ushahidi nayo,sizungumzi tu kutoka hewani,nimeshafanya uchunguzi/utafiti.

ANGALIZO:
Kwanini nasema ARVs(na si HIV) ndizo zinazowaua watu wanaozitumia?Yaani ilipaswa tuseme ARVs/AIDS badala ya HIV/AIDS.

-Zile zinazoitwa side effects za ARVs kiukweli sio side effects na badala yake ni direct effects,hii ni kwasababu waliotengeneza ARVs walidhamiria ARVs zisababishe matatizo hayo,ARVs ni DNA chain terminator,hakuna anayeweza kuishi kama atatumia ARVs kwa muda mrefu,mwishowe lazima zimuue.

-Ukitaka kujua madhara ya ARVs basi fanya yafuatayo:
1.Ingia kwenye website hii hapa,web hii sio yangu mimi,bali ni ya walewale waliotengeneza hizo ARVs,yaani hata wenyewe wanakubali kwamba ARVs zina madhara haya,na madhara haya ndio yanayoua,sasa ingia hapa halafu soma WARNING:Hapa wameelezea dawa moja tu,lakini ukifuatilia dawa zote za ARVs utakuta zina madhara hayohayo.

http://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient

2.Fuatilia ndani ya kikopo cha ARVs kuna karatasi imekunjwa,kunjua karatasi hiyo na uisome kwa umakini mkubwa utaona madhara yake yanafana na ya kwenye website niliyoweka hapo juu.

3.Kama bado huamini,basi fuatilia mahospitalini au mitaani kwa wale wagonjwa waliozidiwa ambao wanatumia ARVs.Utakuta wana dalili hizohizo zilizotajwa hapo juu.

Sasa kama ulikuwa hujui,kile unachokiona kinadhoofisha watu na kuua watu wanaotumia ARVs ni ARVs zenyewe.Na kama mtu amedhoofika lakini hatumii ARVs basi ujue anaumwa ugonjwa unaofahamika na kama atapewa tiba sahihi lazima apone na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

-Najua ulishawahi kuona mtu anayetumia ARVs ana matatizo yafutayo;
1.Matatizo ya moyo/presha,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
2.Matatizo ya Ini,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
3.Matatizo ya figo,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
4.Matatizo ya upungufu wa damu,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
5.Cancer yoyote ile,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
6.Kisukari,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
7.Nywele zimedhoofika au kunyonyoka,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs.
8.Ngozi kufubaa au kuwa na vipele au vidonda,wewe utaambiwa ni HIV lakini ukweli ni kwamba ni ARVs....nk.

Sasa tumia werevu hapa,matatizo hayo yote hayasababishwi na vijidudu na hasa huyo HIV,hata madaktari wanajua hilo.Sasa jiulize,kila mgonjwa anayetumia ARVs mwisho wa siku anapata moja au kadhaa kati ya matatizo hayo,na matatizo hayo ndio yanayowaua.Sasa matatizo hayo yanasababishwa na nini?

Jibu lake ni,yanasababishwa na ARVs.

Watu wanachukia HIV na kukimbilia kula ARVs bila kujua kwamba ARVs ndio ugonjwa wenyewe.Tunaruka maji,tunakanyaga moto,yaani kama kenge anavyokimbia mvua na kuingia mtoni.Watu wakijua haya watajilaumua sana kwa nini hawakujua tangu mwanzo.

Hivyo basi,mtego mkubwa uko kwenye vipimo,kwa maana vipimo ndio hutafuta wateja wa ARVs.Halafu watu wakianza kutumia ARVs mwisho wa siku hufa kwa madhara yake halafu anasingiziwa HIV(ambaye ni hewa/hayupo),yaani kama wewe ukifanya dhambi kwa tamaa zako halafu unamsingizia shetani.

Tulia,dadisi,hoji,uliza,fanya utafiti.Huu ndio ukombozi wako pekee kwenye suala hili.
Aisee haya mambo inabidi utulie kwwli ndio utaelewa.

Inakuwaje mtu akiwa hiv positive (kulingana na vipimo vyao) na akianza dose hata cd4 zake zikipanda mbona akipimwa bado anakuwa positive??
 
Msingi wa mada hii na nadharia nzima ya HIV/AIDS ni kupingana na usemi kwamba HIV ndiye anasababisha AIDS/ukimwi.

Sasa sikiliza:
Ukimwi=upungufu wa kinga mwilini.Fahamu kwamba ukimwi unaonekana kuwa ni kitu cha kutisha sana akilini kwa watu wengi,lakini ukimwi ni kitu cha kawaida sana,ukimwi ulikuwapo tangu enzi za binadamu wa kwanza duniani lakini umepata umaarufu kutokana na kampeni nzito kwenye vyombo vya habari zilizoambatana na picha za kutisha ili wale waliofanya kampeni hizi(viwanda vya madawa ya ARVs) waweze kunufaika na uuzaji wa madawa hayo,ni hivyo tu.

Sasa kila mtu aliwahi na atawahi kuwa na ukimwi katika muda mbalimbali wa maisha yake,hata Bush na Obama waliwahi kuwa na ukimwi.Ukimwi ni hali ya kinga YAKO WEWE au MIMI kushuka/kupungua,na hii inatokana na style ya maisha kama vile lishe duni,msongo,pombe kali,madawa ya hospitali,mionzi mikali,magonjwa yanayojirudia nk.Ukiwa na ukimwi yaani kinga YAKO,narudia,KINGA YAKO,inakuwa imeshuka,na hapa HIV hahusiki kabisa.

Sasa kwa mantiki hiyo wala hauhitaji kutumia akili nyingi kujua kwamba KINGA YAKO ni KINGA YAKO wewe mwenyewe,huwezi kumwambukiza mtu mwingine,watu wanaambukiza magonjwa yanayosababishwa na vijidudu kama vile TB nk,lakini huwezi kumwambukiza mtu ugonjwa usiosababishwa na kijidudu.Mfano kisukari,saratani,vitiligo,ukilema nk hayaambukizwi kwa sababu hayasababishwi na vijidudu.Vivyo hivyo ukimwi hausababishwi na vijidudu na ndio maana hauwezi kuambukizwa.

Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi hapo mtaani kwenu,maana mifano iko mingi sana ila watu hawataki kuiona,na wanapoiona huwa wanasema kwamba ni mpango wa mungu.Nakuuliza,hivi hapo mtaani kwenu au popote pale,hujawahi kuona au hata kusikia tu kwamba kuna ndoa ambayo mke/mme amepimwa HIV+ lakini mwenzake hana na wamezaa watoto na watoto pia hawana HIV?

Mifano hii ni uthibitisho tosha kwamba HIV hayupo kiuhalisia,lakini watu hawalioni hili kwa kuwa hawana tabia ya kujihoji na kuchunguza.

Hivyo basi,hata ukifanya ngono bila kinga na wanawake 100 waliopimwa HIV+ kwa siku moja hutapata HIV,labda utaishiwa nguvu na kudhoofisha mwili wako tu.

Haya mambo yako wazi sana kwa wale wanaojihoji tu,yaani hata leo hii watu wenye nia mbaya wakinipeleka mahakamani kwa kesi ya kupotosha umma kwenye suala hili nina uhakika 100% nitashinda kesi,hii ni kwasababu nina vithibitisho vya kutosha.Kithibitisho cha kwanza ni mimi kujidunga damu ya mtu ambaye wao wanaamini kwamba ni HIV+ halafu wakinipima watanikuta mimi ni HIV- baada ya hiyo 'eti window period' yao kupita,huu ni uthibitisho wa wazi kabisa mbele ya hakimu.

Ukijua ukweli huu utaishi kwa raha sana,hutakuwa mtumwa tena.Tangu wamtangaze HIV(feki) watu hata wale walio kwenye ndoa wanafanya tendo la ndoa huku wanaogopana,sasa huu kama sio utumwa ni nini?
Lakini mkuu vipi kuhusu yule mtoto mchanga aliyezaliwa??

Inakuwaje anakuwa anadhoofu mpaka kupelekea kifo ikiwa amezaliwa na maambukizi?

Au ndio anakuwa ameambukizwa magonjwa na mama toka akiwa tumboni hivo kumpeleka kinga yake kushuka?
 
Aisee haya mambo inabidi utulie kwwli ndio utaelewa.

Inakuwaje mtu akiwa hiv positive (kulingana na vipimo vyao) na akianza dose hata cd4 zake zikipanda mbona akipimwa bado anakuwa positive??

Usikate tamaa,jifunze zaidi na zaidi,hata mimi najua kwamba suala hili ni pana sana,unahitaji kutuliza akili,na ndio maana watu wengi wenye uvivu wa kusoma/kujifunza bado wako gizani,hawataki kujifunza na badala yake huishia kupinga tu kutokana na uvivu huo.Mada ni pana sana kwa kweli.

Sasa kuhusu CD4 nilishawahi kuelezea hili.Kumbuka kwamba CD4 sio kinga nzima ya mwili,CD4 ni kijisehemu kidogo sana katika kinga ya mwili wa mwanadamu,hadi sasa ninavyozungumza hakuna mwanasayansi yeyote anayejua undani kwanini CD4 hupanda na kushuka,sanasana wanatumia co relation tu.

Kupandisha CD4 sio ishu kubwa,hata mbegu za mlonge zinapandisha CD4,lakini watu wengi hawajui huu ukweli,badala yake wamekaririshwa tu kwamba ARVs hupandisha CD4.Sasa angalia,kikopo kimoja cha ARVs kinauzwa takribani Tshs 100,000,lakini mbegu za mlonge ni bure kabisa,kama huna omba kwa jirani,kama jirani hana kanunue,mfuko mmoja ni Tshs 5000 tu.Najua watu watasema ARVs zinatolewa bure,hata mimi najua kama zinatolewa bure,lakini serikali inanunua kutoka kwenye viwanda vya madawa,nani hajui kama serikali inadaiwa MSD.


Suala la kuwa HIV+ au HIV- sio suala halisia,bali ni suala la vipimo tu.Wewe hujui,lakini nakwambia kwamba vipimo hivi havipimi HIV bali hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ndani ya damu.Protini hizo huweza kujitokeza hata kwa mama mjamzito,kama mtu ana malaria kali,kama mtu ana TB nk.Ndio maana nasema HIV ni changa la macho,hajawahi kuonekana kutoka kwenye damu ya mtu kwa kutumia chombo chochote kile.Kama huamini muulize daktari yeyote yule unayemfahamu kama aliwahi kumwona HIV kwa njia yoyote ile kutoka kwenye damu ya mtu waliyempima,Doctor mkweli atakwambia hajawahi kumwona,lakini doctor mwongo atakuletea siasa.

Hivyo kuwa HIV+ maisha yako yote au kuwa HIV- katika maisha yako yote sio jambo la maana yoyote ile ya kutilia mkazo.Kuwa HIV+ au HIV- ni upuuzi tu unaoletwa na vipimo vyao feki.Hata wewe,ikitokea umepiwa HIV+ cheka sana,na ukipimwa HIV- pia cheka sana tu kwa sababu ni upuuzi tu.
 
Msingi wa mada hii na nadharia nzima ya HIV/AIDS ni kupingana na usemi kwamba HIV ndiye anasababisha AIDS/ukimwi.

Sasa sikiliza:
Ukimwi=upungufu wa kinga mwilini.Fahamu kwamba ukimwi unaonekana kuwa ni kitu cha kutisha sana akilini kwa watu wengi,lakini ukimwi ni kitu cha kawaida sana,ukimwi ulikuwapo tangu enzi za binadamu wa kwanza duniani lakini umepata umaarufu kutokana na kampeni nzito kwenye vyombo vya habari zilizoambatana na picha za kutisha ili wale waliofanya kampeni hizi(viwanda vya madawa ya ARVs) waweze kunufaika na uuzaji wa madawa hayo,ni hivyo tu.

Sasa kila mtu aliwahi na atawahi kuwa na ukimwi katika muda mbalimbali wa maisha yake,hata Bush na Obama waliwahi kuwa na ukimwi.Ukimwi ni hali ya kinga YAKO WEWE au MIMI kushuka/kupungua,na hii inatokana na style ya maisha kama vile lishe duni,msongo,pombe kali,madawa ya hospitali,mionzi mikali,magonjwa yanayojirudia nk.Ukiwa na ukimwi yaani kinga YAKO,narudia,KINGA YAKO,inakuwa imeshuka,na hapa HIV hahusiki kabisa.

Sasa kwa mantiki hiyo wala hauhitaji kutumia akili nyingi kujua kwamba KINGA YAKO ni KINGA YAKO wewe mwenyewe,huwezi kumwambukiza mtu mwingine,watu wanaambukiza magonjwa yanayosababishwa na vijidudu kama vile TB nk,lakini huwezi kumwambukiza mtu ugonjwa usiosababishwa na kijidudu.Mfano kisukari,saratani,vitiligo,ukilema nk hayaambukizwi kwa sababu hayasababishwi na vijidudu.Vivyo hivyo ukimwi hausababishwi na vijidudu na ndio maana hauwezi kuambukizwa.

Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi hapo mtaani kwenu,maana mifano iko mingi sana ila watu hawataki kuiona,na wanapoiona huwa wanasema kwamba ni mpango wa mungu.Nakuuliza,hivi hapo mtaani kwenu au popote pale,hujawahi kuona au hata kusikia tu kwamba kuna ndoa ambayo mke/mme amepimwa HIV+ lakini mwenzake hana na wamezaa watoto na watoto pia hawana HIV?

Mifano hii ni uthibitisho tosha kwamba HIV hayupo kiuhalisia,lakini watu hawalioni hili kwa kuwa hawana tabia ya kujihoji na kuchunguza.

Hivyo basi,hata ukifanya ngono bila kinga na wanawake 100 waliopimwa HIV+ kwa siku moja hutapata HIV,labda utaishiwa nguvu na kudhoofisha mwili wako tu.

Haya mambo yako wazi sana kwa wale wanaojihoji tu,yaani hata leo hii watu wenye nia mbaya wakinipeleka mahakamani kwa kesi ya kupotosha umma kwenye suala hili nina uhakika 100% nitashinda kesi,hii ni kwasababu nina vithibitisho vya kutosha.Kithibitisho cha kwanza ni mimi kujidunga damu ya mtu ambaye wao wanaamini kwamba ni HIV+ halafu wakinipima watanikuta mimi ni HIV- baada ya hiyo 'eti window period' yao kupita,huu ni uthibitisho wa wazi kabisa mbele ya hakimu.

Ukijua ukweli huu utaishi kwa raha sana,hutakuwa mtumwa tena.Tangu wamtangaze HIV(feki) watu hata wale walio kwenye ndoa wanafanya tendo la ndoa huku wanaogopana,sasa huu kama sio utumwa ni nini?


Mkuu Deception heshima kwako. Huwa unatoa elimu muhimu sana ambayo bado haipo open kwenye jamii yetu.

"... Kithibitisho cha kwanza ni mimi kujidunga damu ya mtu ambaye wao wanaamini kwamba ni HIV+ halafu wakinipima watanikuta mimi ni HIV-..."

Hahahaa Mkuu, hivo vipimo ni ramli aisee. Si ajabu majibu yakatoka upo HIV + !
 
Mkuu Deception heshima kwako. Huwa unatoa elimu muhimu sana ambayo bado haipo open kwenye jamii yetu.

"... Kithibitisho cha kwanza ni mimi kujidunga damu ya mtu ambaye wao wanaamini kwamba ni HIV+ halafu wakinipima watanikuta mimi ni HIV-..."

Hahahaa Mkuu, hivo vipimo ni ramli aisee. Si ajabu majibu yakatoka upo HIV + !

Ha ha haaa,mkuu usiogope.Kama nina uwezo wa kumfanya mtu aliyepimwa HIV+ aje kupimwa tena HIV- basi ujue hata mimi nina uwezo wa kufanya damu yangu ipimwe HIV-.Ninajua vipimo vinapima nini hasa,hivyo nina uwezo wa kuiweka damu yangu sawa mahsusi ili nipimwe HIV-.

Ni kweli kwamba vipimo hivi ni kama ramli,lakini u-ramli wake unategemea kilichomo ndani ya damu ya mtu,yaani variable ni kile kilichomo kwenye damu.Kama variable ipo ndani ya kipimo hii ingekuwa hatari kwangu,lakini kwa kuwa variable iko katika damu yangu,basi nina uwezo wa ku control damu yangu na kuilazimisha ipimwe HIV-.Pia najua kuna errors chache zinazosababishwa na mpimaji,hali ya joto nk,lakini haya ni mambo madogo sana.

Unakumbuka yule daktari Robert Willner?Yeye alikuwa akijidunga kila alipotoa semina kuhusu uongo huu na kila alipoenda kupima alikuwa ni HIV-.Jamaa wenye hati miliki ya HIV walishindwa kumvumilia,wakamwua.Haya mambo tunaelimisha tu watu,lakini ni hatari sana kwa maisha yetu.Thabo Mbeki ilikuwa tu bahati yake na ndio maana hazungumzii tena hadharani suala hili.
 
Mi nimesoma mara nyingi maelezo ya Deception lakini jambo moja ambalo nadhani hajaweza kutoa maelezo ya kuniridhisha ni mbona tunashuhudia mtu anapimwa anakutwa kaathirika anaweza kukaa bila kuumwa for sometime lakini baadae ataugua ukimwi na kufa. Yaani ingekuwa ni kitu hakipo isingekuwa inajirudia hivyo hivyo kwa watu wengi kiasi hicho. Labda uniambie kuna vimelea vingine ambavyo sio HIV vinavyosababisha ukimwi. lakini kusema hakuna kabisa na watu wanakufa tunawaona, ndugu jamaa marafiki na hata watoto wanazaliwa wameathirika tunawafahamu na wanaishi afya mgogoro hadi wanakufa. Family anaanza mume afya mgogoro anakuja anafuata mama dalili zilezile za ukimwi anakufa Kama hakuna vimelea vyovyote vimewapata basi ni nini?
 
Ha ha haaa,mkuu usiogope.Kama nina uwezo wa kumfanya mtu aliyepimwa HIV+ aje kupimwa tena HIV- basi ujue hata mimi nina uwezo wa kufanya damu yangu ipimwe HIV-.Ninajua vipimo vinapima nini hasa,hivyo nina uwezo wa kuiweka damu yangu sawa mahsusi ili nipimwe HIV-.

Ni kweli kwamba vipimo hivi ni kama ramli,lakini u-ramli wake unategemea kilichomo ndani ya damu ya mtu,yaani variable ni kile kilichomo kwenye damu.Kama variable ipo ndani ya kipimo hii ingekuwa hatari kwangu,lakini kwa kuwa variable iko katika damu yangu,basi nina uwezo wa ku control damu yangu na kuilazimisha ipimwe HIV-.Pia najua kuna errors chache zinazosababishwa na mpimaji,hali ya joto nk,lakini haya ni mambo madogo sana.

Unakumbuka yule daktari Robert Willner?Yeye alikuwa akijidunga kila alipotoa semina kuhusu uongo huu na kila alipoenda kupima alikuwa ni HIV-.Jamaa wenye hati miliki ya HIV walishindwa kumvumilia,wakamwua.Haya mambo tunaelimisha tu watu,lakini ni hatari sana kwa maisha yetu.Thabo Mbeki ilikuwa tu bahati yake na ndio maana hazungumzii tena hadharani suala hili.


Kwakweli Mkuu haya mambo ni hatari sana. Thambo Mbeki wamesha-msilence kiaina.

Dr. R Willner yule ndo alikuwa anaivua nguo kabsa hii theory ya HIV/AIDS bila chenga. Waliona atapata rapid followers worldwide. Na naamini huyu docta kama wasingemuua, leo hii aitha soko la ARVs duniani lingekufa kibudu ama historia mpya juu ya HIV/AIDS ingekuwa ishaandikwa!
 
Dina,

Kwanini unashangaa huyo ndugu kufariki hata baada ya kukataa kutumia ARVs?

Mtu anaweza kufa hata akikataa kutumia tiba ya Malaria tu dada yangu.....

Huyo hakutibu alichokuwa anaumwa ndio maana alifariki....

jamanii,kwa hiyo ukimwi haupo na hauambukizi kwa kujamiiana wala kuchangia damu,na watu wanaumwaga vitu vingine Tu sio ukimwi,sasa hawa madaktari wetu wanatudanganya au nao hawajui kitu?
 
Deception naomba unipe ufafanuzi juu ya suala la kipimo cha UKIMWI. Unasema vipimo vya ukimwi havipimi presence of viruses in the blood, right? Na hakuna aliyewahi kuona kirusi cha UKIMWI. I agree

Lakini je, unakijua kipimo cha VDRL na wilder (correct if wrong) tests? VDRL inatumika kujua kama mgonjwa ana syphilis kwa kuangalia hizo hizo antibodies lkn mbona hiki kipimo kinaaminika na ni cha kweli? Hata cha typhoid, hawapimi uwepo wa salmonella typhi kwa kuhakikisha wamemuona bali kwa kupima antibodies hizo hizo.

Na unisaidie hapa pia, nilishawahi kwenda hospital kwa sababu ya non-itching rashes kwenye ngozi. Docta akaniandikia nipime VDRL, nakumbuka ilikua mwaka 2011. Majibu yakatoka "active" kwamba nina syphilis!!! Niligombana na daktari kwamba vipimo vyao vya uongo coz nilikua sijashiriki kitendo chochote kati ya vile vinavyosababisha syphilis. Na hizo rashes ninazo tangu 2008, nishatumia dawa nyingi bila matokeo mazuri.

Utata ulikua mkubwa lkn mwisho wa siku nikakubali nidungwe sindano za penadu. Nikamaliza dozi, rashes ninazo mpaka leo hii hapa ninapoandika hii reply. Ninashiriki mapenzi bila kinga na partner wangu na wala yeye hajawahi kuugua chochote. Na kama ilikua ni syphilis saa hizi ningekua nishakufa. Hii nayo ni nn?
 
Back
Top Bottom