Toa elimu kuhusu stem cell kwa kirefu zaidi tafadhaliWaambie hao wote hakuna kufa tena kwa Cancer, sukari, pressure au failure yoyote ya organ, TIBA ya stem cell inamaliza kila ugonjwa au tatizo lolote na mfumo wa mwili
Hata sasa licha ya arvs kuja bado wanauguza tena mbaya zaidi wa sasa hv wagonjwa wanajiuguza magonjwa mengine ya kuathirika kwa organs.... Kwa vile lengo la wanaohamasisha matumizi ya arvs yako kibiashara zaidi.... Leo hii huwezi sikia mtu kaumwa ukimwi kachoka tena but kisukari,kansa, uvimbe tumbo, kufail kwa ini magonjwa yote haya ynahitaji pesa ndo hapo pharmaceutical industries zinakokuwa zimepata wateja kwa kuugeuza mwili wako income source. https://www.google.com/amp/amp.ewn.co.za/2015/08/21/Effects-of-ARVs-in-whoonga-are-worse-than-heroinna sie tulioguza na kuzika ndugu zetu kabla hata ya kuja hizo ARV unatuambiaje
mkuu nimeuliza hivyo sababu mletw uzi kasema ukimwi haupo sasa nataka kujua ndugu yangu aliyeugua na kufa kwa ukimwi mwishoni mwa miaka ya tisini kama hakuwa na ukimwi alikuwa na ugonjwa gani?Hata sasa licha ya arvs kuja bado wanauguza tena mbaya zaidi wa sasa hv wagonjwa wanajiuguza magonjwa mengine ya kuathirika kwa organs.... Kwa vile lengo la wanaohamasisha matumizi ya arvs yako kibiashara zaidi.... Leo hii huwezi sikia mtu kaumwa ukimwi kachoka tena but kisukari,kansa, uvimbe tumbo, kufail kwa ini magonjwa yote haya ynahitaji pesa ndo hapo pharmaceutical industries zinakokuwa zimepata wateja kwa kuugeuza mwili wako income source. ‘Effects of ARVs in whoonga are worse than heroin’
Nimekuwa nikiwaambia wagonjwa wangu kuwa waachane na hizi dawa kwani haziwasaidii chochote zaidi ya kuwageuza watumwa wa dawa za magonjwa mengine...... Kama ni kweli zingekuwa zinasaidia ukiumwa tb ungezitumia tu ukae sawa lakini ili upone hiyo tb ni lazima utumie dawa specific za Tb ili upone TB....
Kinga ya mwili inaposhuka unakuwa hatarini zaidi kupata cancer. Kheri ujue status yako mapema uitunze afya yako na uanze kubugia ARV”s.
Mbona una comment Mara nyingi zaidi kwenye huu Uzi...au ww ni mlengwa WA Maada usikaKinga ya mwili inaposhuka unakuwa hatarini zaidi kupata cancer. Kheri ujue status yako mapema uitunze afya yako na uanze kubugia ARV”s.
Kwann madam,utakufa earlier,Siku nikikutwa na hao HIV sitakaa nikatumia ARV.
Kuna mtu alikutwa na huu ugonjwa alivyoenda clinic kupima, alijikubali na hali akaanza dawa cha ajabu anachanganyikiwa !!
mwisho familia yake imemkatisha dozi karudi katika hali ya uzima wanasubiri matokeo maana hawana jinsi!!
Juzi tu mwezi wa sitaAcha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo ya kizazi stage ya kwanza halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.
Hapa kwenye sukari napingamkuu hilo halipingiki, na ndo maana tunahimizana kupima zaidi kuliko kuchukua hadhari dhidi ya tatizo hili, pia maleria nayo ni biashara ya mabeberu maana wanatuletea net ila kunadawa za kuweza kuangamiza mbu wote na mazalia ila hawafanyi hivyo ili wazidi kuuza dawa za maleria, pia kitu ka sukari na presha si vitu ambavyo haviepukiki ila ni biashara za watu hasa mababeru
Seriouslysiyo kweli niko kwenye sector ya virology mwaka wa 10 huu...... Nikiwa nna degree ya microbiology... Nimeshinda lab na damu za hiv sana....
Nna ndugu yangu nilimkataza kabisa kutumia kabisa arvs baada ya kugundua ziko kibiashara zaidi..... Mpk kesho ananishukuru hakuingia kwenye mtego... Na amekuwa balozi mzuri wa kimyakimya wa kushauri watu wasidumbukie kwenye huu mtego.....
Research it!!!!!!! Unachojaribu kukielezea hapa ndo kinachofundishwa kwenye taaluma ya LIFE SCIENCE kuhusiana na huu ugonjwa fake..... But siyo reality...
Na kama kwenye maisha ako ulishawahi mshauri mtu atumie ARVs trust me umemgeuza mtumwa wa dawa.... Umemuua na unapaswa ujilaumu mpk uingie kaburini.......
Samahani, hivi wewe ni nesi au daktari? Uko very useful ktk kutoa elimu ya huu ugonjwa. Big up sana.HIV imepewa kipaumbele na serikali za dunia kwaku infectious disease ambayo mpaka sasa hivi haina tiba ingawaje inaweza kuwa controllable.
HIV husabsbisha upungufu wa kinga na si kweli kuwa ARV’s huleta upungufu wa kinga mwilini.
Unapotumia ARV unaangaliwa kidney function levels kila mara na unabadilishiwa dawa kama levels zinashuka.
Ni muhimu kujitunza usipate HIV
Pole sana kwa Msiba.Juzi tu mwezi wa sita
Nimemzika kipenzi changu Dada yangu mpendwa kwa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi
Acha ni hatari miaka 3 ni mingi
Ahsante DadaPole sana kwa Msiba.
Bila samahani mkuu, ni mwanamke yes...hapana anaanzia na 'J'.Sorry my dada, huyo mtajwa... ni mwanamke? jina lake halisi linaanza na 'P'?
Kuna a lot of cases (HIV related) mtaani watu wanaotumia ARVs kuishia kuchanganyikiwa akili. Hatari sana!
-Kaveli-