UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

Kuha hizi taarifa sijui zina ukweli?
 
Haya mambo yapo kote kote, ukute Baba akiwa active [emoji3] alikuwa mbabe hatari sasa siku ikiwa hivyo unazani mkewe afanyaje [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza lazima iangaziwe jamii isiyositarabika japokua hofu lazima iangaziwe Sana, maana kwa majaribio ya kisayansi tumosana pia
Wangeanzana wao huko kwao ndio ambao hawajastaarabika

Mpaka kufikia kuoana wanaume kwawanaume na kinyume chake

Afrika naumaskini wao na dhiki zao (zetu) ila ndio bara linaloongoza ama lapili kwaustaarabu

Hao wazungu hata maana yakustaarabika hawajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa inaisha sio kwa sababu Mke kakutwa na Ukimwi LA hasha,sababu ni kiwa hamna Mwanaume anayeweza kuvumilia kuishi na Mwanamke malaya.-hadi kapata ukimwi maana yake hiyo mwanamke hajatulia.
Ila ukimwi haupatikani kwaajili yaumalaya tu MKUU

Nahisi ndoa inavunjika sababu UKIMWI sio MALARIA kwamba utatumia dawa ama sindano upone baada ya kuupata

Mfano kenya UTI kuna muda ilikua inaweza kuvunja ndoa ila Tanzania UTI gonjwa lakawaida sanaaa

Ila kwaukimwi nadhani ishu tofauti MKUU ingawaje wanaoupata huo UKIMWI sio wote kwamba ni malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna Ujinga mkubwa sana watu wa bara hili.



Nakazia MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka minne wakati muda huu tu watu wapo kuutafuta kwa bed,kwa kitchen,kwa swimming pool, kwa nk....
 
Nakusalimia mrembo wa kinyamwezi,habar yako binti Kasie
 
Kwanin Afrika? Na Isiwe dunia nzima

Mpuuzi sana huyu jamaa, kwa nini hasianzie huko kwao Merikani ambako ugonjwa huu ulihibukia kwa mara ya kwanza Duniani - Afrika inapaswa kuwa makini na jamaa huyu, kaona chanjo zake za kovidi zimebuma sasa anakuja na plan 'B' akiwa na lengo lile lile la kudhibiti ongezeko la watu Duniani especially third World Nation, group lake la watu wenye mawazo ya ajabu bado wako determined kutekeleza malengo yao kwa kutumia njia tofauti za kisayansi ambazo watawala wengi barani Afrika na Asia wala hawawashtukii!! Wana wajia na chango za vijana wadogo wa jinsia ya kike wakidai ni kinga dhidi ya cervicle cancer kumbe wanaongezea virutubisho vya kuzuia wasichana wasitunge mimba kirahisi na wakipata mimba ina haribika mapema, tatizo hilo liligunduliwa na wataalamu wa Malaysia na Ufilipino wakai tahadhalisha Dunia kuhusu chanjo anazo zipigia debe Bill Gates.

Simsemi vibaya Bill Gates, nisicho kitaka mimi ni imani zake hatarishi za kupinga ongezeko la idadi ya watu Duniani akilenga continent la Afrika na baadhi ya mataifa barani Asia - pamoja na umaskini wetu barani Afrika tuqw makini sana na nyenendo za jamaa huyu ambaye yeye na wenzake wenye imani hatarishi wana ajenda zao za siri huku wakijifanya kutoa misaada mingi ya kibinadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…