UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

You're delusional.
White skin will never sleep never rest, they are struggling to eliminate/vanish black skin.....

The secret they do not know is, melanin is valuable than Gold and Diamonds.... and they don't have one...

Wanapata tabu sana wakiona ngozi nyeusi inadunda kwenye kila majaribio ya maabara zao...

God's Love.
 
Duniani huko kwenye pesa tayari wanatumia tayari, imechelewa tu kufika kwenu maskini msio na shukrani mnolalamika muda wote[emoji16] kwasababu dawa yenyewe ni gharama kubwa hivyo inahitaji ufadhili au ruzuku.
Kwanin Afrika? Na Isiwe dunia nzima
 
Umesahau sababu nyingine
4) Hiyo dawa tayari ina mwaka mmoja ikitumika Ulaya na Marekani ila imechelewa tu Africa kwa sababu ni ya gharama sana hivyo walikuwa wanasubiria waipate kupitia msaada.
''Ataleta Dawa inayozuia Ukimwi Afrika'' inashangaza kwakweli....means kuna sababu moja kati ya hizi:-

1) Ukimwi upo tu Afrika

2) Ukimwi wa Afrika ni special na haufanani na wa mabara mengine

3) Kuna wagonjwa/waathirika wengi zaidi wa UKIMWI barani Afrika kuliko kwingine

Halafu tumefurahia na kukenua meno kuanzia Rais

Tuna Ujinga mkubwa sana watu wa bara hili.
 
Acha kujipa umuhimu usiokuwa nao, dawa tayari ilishafanyiwa majaribio Ulaya na Marekani na inatumika kwa mwaka mmoja sasa.
Bara la majaribio, huku huku Africa km unakumbuka ndio maabara ya virus ilipoanzia wakaanza na nyani kisha nyani akafanya yake ukaanza kuendelea kuenea kote, kwa hio wakimaliza Africa wamemaliza duniani, in short Africa ndio duniani Africa ndio bara lenye nguvu ila ndio bara masikini, bara lenye utajiri mwingi ulioanza kuchotwa karne na karne na watu wake kubakia masikini karne na karne,
 
Walishaanza muda mrefu, watu maskini wa Africa wasingekuwa na uwezo wa kupata ARV kwa bei yake halisi bila ufadhili au ruzuku[emoji16]
Wameanza Tena, Hata COVID 19 Walianza Hivi Watupige Cha Juu
 
Iko approved na inatumika mwaka sasa
Kwasababu we are the test subjects acha kututetea. Dawa haipo FDA approved nawewe bado unaitaka[emoji23][emoji23][emoji23], waAfrica tutakufa vibaya aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20221120-062804_Twitter.jpg
Screenshot_20221120-062528_Twitter.jpg
 
Kama huwa unafanya ngono bila CONDOM na malaya unaowanunua Buguruni sio rahisi usiwe nao mpaka sasa, tena na mke wako pia utakuwa tayari umemuambukiza.
Hints zako za ki-conspiracy hazitakusaidia chochote, wahi ukaanze dozi ya ARV.
Nichokoze uone! Unadhani siufahamu ujinga uliomo kwenye ugonjwa wa kutungwa?

Nikupe hints kwa kukuuliza maswali?
 
Aina hii ya vilaza ndio waliosababisha mamilioni ya watu kufa kama kuku Ukimwi ulipoanza kusambaa miaka ya 1980.
Wewe ndo unaonekana hujui kitu, kuporoja kwingi sna nyinyi ndo mnafanya wengi sna wanakufa na huu ugonjwa sabbu ya mitazamo yenu ya kipumbavu sna

Hizi ni zama za science na technology sio kuropoka tu
 
Haya maswali yanadhihirisha wewe ni ngumbaru kabisa katika basic biology. O-level biology ilikuwa ni option katika shule uliyosoma au hata sekondari hujakanyaga??
Jibu maswali yafuatayo;
Kuna vipimo hospitali vyenye uwezo wa kuona virusi?

Kama kuna dawa ya kufubaza virusi kwann hakuna dawa ya kutibu ukimwi?
 
Hata Waafrika, Wachina, Wahindi, Waisrael au Waarabu sio wa kuawaamini kwa 100%.
Wala huhitaji kufanya nao kazi kulijua hilo.
Hakuna. Vipimo vinapima antibodies

Swali lipo kitaaluma sana, kwann umehisi uwepo wa dawa za kufubaza bila kuwepo dawa ya kutibu ni kiashiria kuwa HIV ni fix. Mkuu mm sikupuuzi, wazungu si wa kuamini 100%, ukibahatika kufanya nao kazi katika taasisi kubwa huwezi dharau hofu yako.
 
Naenda na tone yake boss ili afunguke sababu zinazomfanya aamini HIV ni uongo huenda tukajifunza kitu. Watu kama hawa huwa napenda kujadiliana nao, wakati wote mnaenda kulia yeye anaenda kushoto. Inafurahisha kujua kwann wamechagua kuwa tofauti na dunia [emoji2]
Kama flat earthers pia[emoji16]
 
Uko sahihi kabisa, huyu itakuwa aliishia darasa la 7 au kama alifika sekondari biology alikuwa anaona makorokocho tu akiwa darasani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa nimeconclude ni wa form 7 au form 4
Haya maswali yako ni ya biology ya form 4

Anyway hakuna kipimo kinachoweza kuona kirusi bali kipimo kinatumia mechanism ya immunoeassy means....kinauwezo wa ku detect antibody against HIV virus

Yaani akiingia HIV virus mwilini mwako mwili una respond na kuzalisha antibody against antigen(HIV virus)
Hizo antibody haziwezi kuzalishwa na mwili mpaka pale tu iwe ni HIV virus kaingia

Kama utasema hivyo hata hivyo vipimo vyengine vya H-pylori, mrdt for malaria , homa ya ini huwezi kuona parasite au bacteria husika kwaiyo navyo havikubaliki?

Pili imekua ni ngumu kupata dawa inayotibu HIV sabbu ya mechanism ya virus in multiplication wanachofanya wanatumia cells zko to make their millions copy

Na hua ukiwa attack wanajificha in periferal organs zako(liver,kidney ) na kua dormant kwa mda then wanarudi tena thats why mtu akiwa anatumia dawa vzur kila sku basi hivi vimelea vinapotea kwenye blood circulation ndo maana tukumchukua mtu huyu damu kwa ajili ya kupima VRL tunakuta inasoma TND (target not detected) means no virus detected ila haimanishi tayar amekua HIV negative

Ni kwamba havipo tu kwenye circulation
 
Ukimwi upo kila mahali duniani, hata huko Ulaya, Australia na Marekani kwa wazungu upo sana tu.
Daaaah yaan mda wote huu nilikua najua hili gonjwa ngozi nyeupe hawana.. au virusi vimetofautiana makali...?
 
Back
Top Bottom