Ukimya wa Katiba ya JMT Kuhusu Kifo cha Mgombea Urais

Ukimya wa Katiba ya JMT Kuhusu Kifo cha Mgombea Urais

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Mada Fikirishi

Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-

1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?

2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?

3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?

4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?

5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?

6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?

7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
 
Mkuu kweli mada fikirishi!japo naona kama mpango wa kukatisha ndoto za hangaya 2025 ukawepo kwa wenye kinyongo cha kuondokewa na mpendwa wao!!kuna uzi humu uliletwa eti kanda ile italipa kisasi japo hatujui watalipa kwa nani!!!!!Labda ndio maana ulinzi wa hangaya umeimarishwa????!!!na hangaya kesha anza rasmi kampeni kule Arusha!!!!
 
Umeleta mada muhimu saaana. Nakumbuka kuwaza hili jambo kipindi cha Uchaguzi wa 2020.

Sheria kama hii haitakiwi kubagua akifariki 'fulani' itakuwaje. Inatakiwa iseme tu ikitokea amefariki mgombea urais wa chama chochote, awe ndiye anashikilia Urais wakati huo au wa chama kidogo sana asiye hata na jina, utaratibu unakuwaje.

Kwa utaratibu uliopo sasa, mfano angefariki mgombea Urais wa chama kidogo uchaguzi wa 2020, maana tulikuwa na wagombea zaidi ya 20, kuna uwezekano mkubwa kuwa uchaguzi ungeendelea. Ila kama ingekuwa inamuhusu mgombea wa CCM tena akiwa na upinzani mkali kama tuliokuwa nao wakati ule, uchaguzi ungeahirishwa. Hili linakuwa siyo sawa kisheria. Sheria haitakiwi kubagua nani amedhurika ifanyeje kazi. Ni moja ya sababu nyingine ya kuifumua upya Katiba yetu badala ya kuziba viraka.
 
Mkuu kweli mada fikirishi!japo naona kama mpango wa kukatisha ndoto za hangaya 2025 ukawepo kwa wenye kinyongo cha kuondokewa na mpendwa wao!!kuna uzi humu uliletwa eti kanda ile italipa kisasi japo hatujui watalipa kwa nani!!!!!Labda ndio maana ulinzi wa hangaya umeimarishwa????!!!na hangaya kesha anza rasmi kampeni kule Arusha!!!!
Mkuu, nadhani wenye mawazo kama hayo wanapoteza muda tu, utakumbuka siku moja nilipost hapa kuwa kura na katiba mpya hazimpeleki Rais Ikulu, rais anapelekwa Ikulu na dola. Kura na katiba mpya zinapeleka tu Wabunge, Madiwani na Wenyeviti wa SM. Yaani ni ngumu sana ukatoka Ubelgiji ukaja kugombea Urais alafu utegemee masanduku ya kura na katiba mpya vikuingize Ikulu. EL alikuwa tishio lakini bado masanduku ya kura hayakumpa Ikulu, ni vivyo hivyo kwa wengine waliojaribu kinyang'anyiro. Siko kwenye ushabiki wa kiitikiadi na mrengo na wala sina nia mbaya na mtu awaye yote ila tu naongelea Empiricism (uhalisia).

Empirical Facts:-
Kanda ya Ziwa ina Majimbo 42 tu dhidi ya Majimbo 222 ya Kanda zingine za nchi. Hivyo hata Kanda ya Ziwa ikifanya fitina bado koramu ya Majimbo 222 ipo kwenye Kanda zingine.

Tz ina Majimbo 264 (Bara 214 na Znz 50).

NB.
Siasa za fitina za Kikanda ziko nchi jirani, hapa Tz hazina washabiki kwasababu Watz hawako tayari kujinasib kwa Ukanda maana wanajuwa madhara yake.
 
Mkuu, nadhani wenye mawazo kama hayo wanapoteza muda tu, utakumbuka siku moja nilipost hapa kuwa kura na katiba mpya hazimpeleki Rais Ikulu, rais anapelekwa Ikulu na dola. Kura na katiba mpya zinapeleka tu Wabunge, Madiwani na Wenyeviti wa SM. Yaani ni ngumu sana ukatoka Ubelgiji ukaja kugombea Urais alafu utegemee masanduku ya kura na katiba mpya vikuingize Ikulu. EL alikuwa tishio lakini bado masanduku ya kura hayakumpa Ikulu, ni vivyo hivyo kwa wengine waliojaribu kinyang'anyiro. Siko kwenye ushabiki wa kiitikiadi na mrengo na wala sina nia mbaya na mtu awaye yote ila tu naongelea Empiricism (uhalisia).

Empirical Facts:-
Kanda ya Ziwa ina Majimbo 42 tu dhidi ya Majimbo 222 ya Kanda zingine za nchi. Hivyo hata Kanda ya Ziwa ikifanya fitina bado koramu ya Majimbo 222 ipo kwenye Kanda zingine.

Tz ina Majimbo 264 (Bara 214 na Znz 50).

NB.
Siasa za fitina za Kikanda ziko nchi jirani, hapa Tz hazina washabiki kwasababu Watz hawako tayari kujinasib kwa Ukanda maana wanajuwa madhara yake.
Issue sio majimbo issue ni population ya wakazi wake hiyo kanda ina theluthi ya wakazi wote na wanasiasa hawezi kupuuza hilo.
Zanzibar ina majimbo mengi lakin population yake kama wiilaya moja ya dar ambayo ni jimbo moja.
Siasa za majimbo zipo Marekani kila jimbo linapewa nguvu ya kupiga kura baada ya kura za wananchi ndio maana Trump alishinda.
 
Mkuu, nadhani wenye mawazo kama hayo wanapoteza muda tu, utakumbuka siku moja nilipost hapa kuwa kura na katiba mpya hazimpeleki Rais Ikulu, rais anapelekwa Ikulu na dola. Kura na katiba mpya zinapeleka tu Wabunge, Madiwani na Wenyeviti wa SM. Yaani ni ngumu sana ukatoka Ubelgiji ukaja kugombea Urais alafu utegemee masanduku ya kura na katiba mpya vikuingize Ikulu. EL alikuwa tishio lakini bado masanduku ya kura hayakumpa Ikulu, ni vivyo hivyo kwa wengine waliojaribu kinyang'anyiro. Siko kwenye ushabiki wa kiitikiadi na mrengo na wala sina nia mbaya na mtu awaye yote ila tu naongelea Empiricism (uhalisia).

Empirical Facts:-
Kanda ya Ziwa ina Majimbo 42 tu dhidi ya Majimbo 222 ya Kanda zingine za nchi. Hivyo hata Kanda ya Ziwa ikifanya fitina bado koramu ya Majimbo 222 ipo kwenye Kanda zingine.

Tz ina Majimbo 264 (Bara 214 na Znz 50).

NB.
Siasa za fitina za Kikanda ziko nchi jirani, hapa Tz hazina washabiki kwasababu Watz hawako tayari kujinasib kwa Ukanda maana wanajuwa madhara yake.
Hayo majimbo 42 yameenea kila jimbo nchini ni sawa na kaskazini!!!Huwezi tenganisha majimbo hayo na idadi ya wakazi wa huko kuenea nchini kote!!!LABDA DOLA NAKUBALI!!!
 
Mada Fikirishi

Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-

1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?

2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?

3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?

4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?

5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?

6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?

7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
Mkuu sheria ya uchaguzi imetoa maelekazo ya hili. Ikitokea mgombea wa urais au Makamu kufariki tume ya uchaguzi itatoa nafasi kwa chama kuteua mgombea mwingine ndani ya wiki mbili na tarehe ya uchaguzi kutangazwa
 
Mkuu, nadhani wenye mawazo kama hayo wanapoteza muda tu, utakumbuka siku moja nilipost hapa kuwa kura na katiba mpya hazimpeleki Rais Ikulu, rais anapelekwa Ikulu na dola. Kura na katiba mpya zinapeleka tu Wabunge, Madiwani na Wenyeviti wa SM. Yaani ni ngumu sana ukatoka Ubelgiji ukaja kugombea Urais alafu utegemee masanduku ya kura na katiba mpya vikuingize Ikulu. EL alikuwa tishio lakini bado masanduku ya kura hayakumpa Ikulu, ni vivyo hivyo kwa wengine waliojaribu kinyang'anyiro. Siko kwenye ushabiki wa kiitikiadi na mrengo na wala sina nia mbaya na mtu awaye yote ila tu naongelea Empiricism (uhalisia).

Empirical Facts:-
Kanda ya Ziwa ina Majimbo 42 tu dhidi ya Majimbo 222 ya Kanda zingine za nchi. Hivyo hata Kanda ya Ziwa ikifanya fitina bado koramu ya Majimbo 222 ipo kwenye Kanda zingine.

Tz ina Majimbo 264 (Bara 214 na Znz 50).

NB.
Siasa za fitina za Kikanda ziko nchi jirani, hapa Tz hazina washabiki kwasababu Watz hawako tayari kujinasib kwa Ukanda maana wanajuwa madhara yake.
Kanda ya Ziwa ina Majimbo 42, ni Mika gani inayoiita kanda ya Ziwa? Geita tu ina majimbo 7, kagera, mwanza, Mara, shinyanga, simiyu, katavi, kigoma, tabora.
 
Issue sio majimbo issue ni population ya wakazi wake hiyo kanda ina theluthi ya wakazi wote na wanasiasa hawezi kupuuza hilo.
Zanzibar ina majimbo mengi lakin population yake kama wiilaya moja ya dar ambayo ni jimbo moja.
Siasa za majimbo zipo Marekani kila jimbo linapewa nguvu ya kupiga kula baada ya kula za wananchi ndio maana Trump alishinda.
Mkuu, nilimaanisha Mjimbo kwa maana ya Constituencies, siyo Majimbo kwa maana ya States. Ila pia, idadi ya watu wa mikoa 6 ya Kanda ya Ziwa naamini bado ni ndogo kwa idadi ya watu wa mikoa 25 iliyosalia pia wakiwemo watu wa Znz. Aidha, ninajuwa kuwa Wasukuma pekee ni 16% ya watu wa nchi, mkoa wa Mara pekee unaongoza kwa kuwa na makabila/dialects 22. Tupe maarifa zaidi mkuu.
 
Mada Fikirishi

Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-

1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?

2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?

3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?

4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?

5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?

6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?

7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
Hamna mada fikirishi hapa ni uvivu tu wenu wa kutafuta maarifa....mgombea urais akifariki kwenye kampeni zoezi zima linaitishwa upya Chama kitatakiwa kuteua mtu ambaye atakuja na mwenza wake.
 
Mkuu, nilimaanisha Mjimbo kwa maana ya Constituencies, siyo Majimbo kwa maana ya States. Ila pia, idadi ya watu wa mikoa 6 ya Kanda ya Ziwa naamini bado ni ndogo kwa idadi ya watu wa mikoa 25 iliyosalia pia wakiwemo watu wa Znz. Aidha, ninajuwa kuwa Wasukuma pekee ni 16% ya watu wa nchi, mkoa wa Mara pekee unaongoza kwa kuwa na makabila/dialects 22. Tupe maarifa zaidi mkuu.
Theluthi moja 1/3 sio ndogo.
 
Hamna mada fikirishi hapa ni uvivu tu wenu wa kutafuta maarifa....mgombea urais akifariki kwenye kampeni zoezi zima linaitishwa upya Chama kitatakiwa kuteua mtu ambaye atakuja na mwenza wake.
Mkuu dah, utajiitaje chura? Kamoooonn bro. Kuna mwengine anajiita dubu mwengine jibwa mwengine Kenge (Eng) Mbwa dume . Halafu ni ma GT wanashusha nondo na madini ya hatarii wanapochangia na kuposti . Yani unabaki kushangaa tu WTF!
 
ikitokea mgombea urais kutoka chama chochote akafariki dunia, sheria za NEC zipo wazi na chama kinaruhusiwa kuleta jina jingine baada ya kumaliza michakato yao ya ndani

Ikitokea aliyefariki ni incumbent president, sheria na taratibu za NEC zinabaki (zinapaswa kubaki) kama zilivyo. Whether chama kitaamua kumteua aliyekuwa VP (sasa Rais) kupeperusha bendera au kuchagua mwingine, hilo ni jambo tofauti kabisa

All in all, kifo cha JPM kinapaswa kuwa kimetoa somo zuri sana to the powers that be na hatupaswi tena kutick box linapokuja suala la kusimamisha running mate
 
Mada Fikirishi

Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-

1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?

2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?

3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?

4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?

5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?

6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?

7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
Kama ni wa upinzani, moja kwa moja anakuwa amejitoa kwenye kampeni na kama ni wa CCM kampeni zinasitishwa na mgombea mwenza anakuwa mshindi ili kumfariji kwa kufiwa.
 
Bro usikalili maisha mi nipo Ofsini hapa na mbele ya ofisi yangu kuna picha ya mama yenu.
Dah Dogo hivi viporo vya kande iliyochacha unavyofakamia na kuparamia hadi kuvimbiwa vina kufanya unaota ukiwa umelala hapo sofani sebuleni kwa shemeji yako ukidhani huko ofisini.

Sasa sicheki ni amri amka mara moja ukachakarike vibaruani huko.
 
Back
Top Bottom