Itategemea na utashi wa muhusika. Ndiyo maana tuna wakuu wa vyuo ambao wamewahi kuwa marais wa nchi yetu.Mada Fikirishi
5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?
Yani jamaa.hawaamini kuwa kuna kifo na kuna MunguMkuu kweli mada fikirishi!japo naona kama mpango wa kukatisha ndoto za hangaya 2025 ukawepo kwa wenye kinyongo cha kuondokewa na mpendwa wao!!kuna uzi humu uliletwa eti kanda ile italipa kisasi japo hatujui watalipa kwa nani!!!!!Labda ndio maana ulinzi wa hangaya umeimarishwa????!!!na hangaya kesha anza rasmi kampeni kule Arusha!!!!
Mbona haya ni rahisi Sana.1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?
2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?
Nakumbuka ilishatokea, nadhani uchaguzi wa 2010 mgombea urais wa chama fulani alifariki uchaguzi ukasimama.Hamna mada fikirishi hapa ni uvivu tu wenu wa kutafuta maarifa....mgombea urais akifariki kwenye kampeni zoezi zima linaitishwa upya Chama kitatakiwa kuteua mtu ambaye atakuja na mwenza wake.
Akifa nafasi ya Rais itajazwa na Makamu na swala la ugombea wake litasimamiwa na sheria ya tume ya Uchaguzi ambapo chama kitateua mwingine na siku za kampeni kuongezwaMada Fikirishi
Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-
1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?
2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?
3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?
4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?
5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?
6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?
7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
Kwa upande wangu hili suala nililifikiria baada ya kuona nguvu kubwa Rais alikuwa nayo wakati na yeye pia ni mgombea. Mizani haikuwa sawa, nakumbuka kuna watu wakaibua hoja humu ya ulinzi na hata magari ya serikali yalipokuwa yanatumika kwenye kampeni. Hoja za wengine zilikuwa kwamba bado ni Rais!Mkuu, naomba nikusaidie maana unachanganya mambo mawili. Mambo unayochanganya moja linahusu kumpata Rais endapo Rais amefariki, pili ni kumpata mgombea wa kiti cha Rais endapo mgombea amefariki wakati wa Kampeni.
Ikiwa Rais mfano Magufuri angefariki wakati wa Kampeni ( wakati wa kugombea muhala wake wa pili) ,yafuatayo yangefanyika. Kwa kuwa kiti cha Rais kingebaki wazi utaratibu wa kujaza nafasi ya Rais ungefanyika yahani makamu wa Rais angeapishwa kuwa Rais wa nchi.
Pili,kwa kuwa chama cha mapinduzi (CCM) kingekuwa kimepoteza mgombea sharia ya uchaguzi inataka chama kilichopoteza mgombea kujaza ( kuteua) mgombea ndani ya wiki mbili,alafu mchakato wa uchaguzi ungeendelea.
Kutokana na utaratibu huo, ingebaki utashi wa CCM kuamua kama Samia S.Hassan ateuliwe kuwa mgombea au wateue mwingine. Hivyo katiba katika hilo haijanyamaza, tatizo ni wewe na watu wa aina yako kutokutofautisha mambo ya serikali na yale ya CCM kama chama.
Baada ya ufafanuzi huu wa chumla nitakuwa najibu hoja zako mojamoja.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Kww msingi huu hata wanaodai katiba wanafuata tu mkumbo maana hata hii iliyoo hawaifahamu kabisaMkuu, naomba nikusaidie maana unachanganya mambo mawili. Mambo unayochanganya moja linahusu kumpata Rais endapo Rais amefariki, pili ni kumpata mgombea wa kiti cha Rais endapo mgombea amefariki wakati wa Kampeni.
Ikiwa Rais mfano Magufuri angefariki wakati wa Kampeni ( wakati wa kugombea muhala wake wa pili) ,yafuatayo yangefanyika. Kwa kuwa kiti cha Rais kingebaki wazi utaratibu wa kujaza nafasi ya Rais ungefanyika yahani makamu wa Rais angeapishwa kuwa Rais wa nchi.
Pili,kwa kuwa chama cha mapinduzi (CCM) kingekuwa kimepoteza mgombea sharia ya uchaguzi inataka chama kilichopoteza mgombea kujaza ( kuteua) mgombea ndani ya wiki mbili,alafu mchakato wa uchaguzi ungeendelea.
Kutokana na utaratibu huo, ingebaki utashi wa CCM kuamua kama Samia S.Hassan ateuliwe kuwa mgombea au wateue mwingine. Hivyo katiba katika hilo haijanyamaza, tatizo ni wewe na watu wa aina yako kutokutofautisha mambo ya serikali na yale ya CCM kama chama.
Baada ya ufafanuzi huu wa chumla nitakuwa najibu hoja zako mojamoja.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Point of correctionKigoma na Tabora ziko Kanda ya Magharibi.
Kanda ya Ziwa na idadi ya Majimbo yake:-
1. Mara - 7
2. Mwanza - 7
3. Geita - 6
4. Kagera - 9
5. Shinyanga - 6
6. Simiyu - 7
Hii ni mada fikirishi ila katiba imetoa mwongozo mzuri, na tunaweza kuchukua two cases kama rejea.Mada Fikirishi
Katiba yetu inaongelea kifo cha Rais akiwa madarakani lakini haiongelei Mgombea Urais ambaye tayari ni Rais akifa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Natoa mfano ili uelewe kwa urahisi kwamba JPM angekufa akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu Katiba haisemi kitu gani kifanyike zaidi tu ya kusema nafasi ya Rais itachukuliwa na Makamu wa Rais. Sasa yafuatayo hayana majibu ya Katiba:-
1. Je, kama Mgeombea Urais akifa kwenye kampeni za uchaguzi nafasi yake itajazwaje?
2. Je, Makamu wa Rais anayerithi kiti cha Rais ndiye atakuwa Mgombea nafasi ya Urais?
3. Je, atateuliwa mwingine na chama kujaza nafasi ya Mgombea Urais? Au atajaza nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa Makamu wa Rais aliyekuwepo tayari amerithi kiti cha Rais na kuwa Rais?
4. Kama Makamu anayerithi kiti cha Rais siyo strong kushinda uchaguzi yaani siyo kipenzi cha wapiga kura wengi na kwamba akipewa kurithi pia nafasi ya Mgombea Urais aliyekufa kwenye kampeni huenda chama kikapoteza ushindi je, hapa chama au serikali iliyoko madarakani itamshusha Rais huyu (ambaye alikuwa Makamu zamani) toka kwenye kiti cha Rais ili arudi aendelee kugombea nafasi yake ile ile ya awali ya Makamu wa Rais aliyokuwa akigombea kabla Mgombea Urais (ambaye alikuwa Rais) kufa wakati wa kampeni za uchaguzi?
5. Je, hiyo siyo demotion/kushushwa cheo kwa Rais?
6. Je, Katiba inatoa maelekezo yoyote kuhusu demotion ya Rais toka kuwa Rais na kurudi kuwa Makamu wa Rais?
7. Japokuwa iko wenye Katiba kuhusu kifo cha Rais akiwa madarakani lakini kama taifa hatukujiandaa na kifo cha Rais akiwa madarakani, ni vivyo hivyo kumbe kwamba hata sasa kama taifa hatujajiandaa na kifo cha Rais ambaye ni Mgombea nafasi ya Urais; kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Kipi kifanyike? Au tuige Katiba ya Urusi ambayo Rais anaweza kuondoka Ikulu na akawa Waziri Mkuu na kurudi kuwa tena Rais Ikulu?
Ni ibara ipi unarejea ili twende tukasome nasi tupate maarifa.Katiba inaelekeza/ndiyo iliyoweka hiyo demotion kwani imesema huyo Rais ambaye alikuwa Makamu kabla kifo cha Rais, kwamba ANAWEZA kuteuliwa kugombea.
Your point of correction taken. Kwahiyo ni Majimbo 43 kwa 222.Point of correction
Mkoa wa Mwanza majimbo yake ya uchaguzi ni 9 na sio 7. Wilaya ndio 7.
Hapa chini nimeainisha majimbo ya uchaguzi mkoani Mwanza.
1. Nyamagana
2. Ilemela
3. Magu
4. Sengerema
5. Buchosa (Wilayani Sengerema)
6. Ukerewe
7. Kwimba
8. Sumve (Wilayani Kwimba)
9. Misungwi
Ikumbukwe, Mwanza ina Wilaya 7 kati ya hizo Sengerema na Kwimba zina majimbo mawili kila mmoja..
Kama Zanzibar wanaingiza wabunge 50; kwa size ya eneo na idadi ya wakazi wa Z'bar, hao jamaa wanapiga bao kweli kweli
Good solution kichama, ila Katiba ya nchi iko silent.Makamu wa Rais angekula kiapo kuwa Rais, baada ya hapo kwa kushauriana na chama chake angemteua makamu wa Rais.
Chama cha mgombea aliyefariki ambaye pia alikuwa Rais,kingependekeza mgombea mwingine wa kiti cha Urais. Kwa utashi wa chama husika wangeweza kumpendekeza Rais aliyekula kiapo ( yahani aliyekuwa makamu wa Rais) ama wangependekeza jina la mwanachama mwingine kuwa mgombea wao.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu, majibu yako yana mashiko. Rais mstaafu anaweza kushika nyadhifa zingine lakini siyo za ndani ya Ikulu au Cabinet siyo?.Hili litabaki utashi wa chama na mgombea wanayemtaka wao. Wanaweza kuamua kumpendekeza Rais aliyerithi kiti cha Urais kilichoachwa wazi au kumpendekeza mwanachama Mwingine.Katiba yetu haijamzuia Mtu yeyote aliyewahi kuwa rais, kushikilia Wadhifa au nyadhifa zingine. Imeweka ukomo tu wa kuwa Rais Kwa muda husiozidi mihula miwili ya miaka mitano Kitano.Ndiyo maana tuna marais wastaafu anbao ni wakuu wa vyuo.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu, akishaonja utamu wa asali atakubali kuachia kirahisi bila shinikizo la Katiba? Ukumbuke amepewa mamlaka ya kuamuru majeshi.Mbona haya ni rahisi Sana.
Katiba yetu inasema "mtu atakoma kuwa rais siku ambayo rais mwingine atakpokula kiapo.
Sasa endapo JPM angekufa wakati wa kampeni 2020, Samia angechukua nafasi yake. Chama chake kingemtafuta VP kama walichofanya JPM alipokufa kweli.
Kuhusu nani angekuwa mgombea. Kampeni husitishwa kwa miezi mitatu. Halafu chama chake kingefanya mchakato wa kumpata mgombea kwa mujibu wa utaratibu wa chama chake
Mkuu umekurupuka kujibu kitu ambacho hakijaulizwa na mfano wako hauna mzani mlinganyoAkifa nafasi ya Rais itajazwa na Makamu na swala la ugombea wake litasimamiwa na sheria ya tume ya Uchaguzi ambapo chama kitateua mwingine na siku za kampeni kuongezwa
2010 Mgombea Mwenza wa Dr Slaa Mzee Jumbe alifariki tarehe ya Uchaguzi ikasogezwa mbele kwa siku kadhaa
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mkuu, atakubali kuwa rais kwa siku hizo chache tu? Wakati anaamuru majeshi? Na pia anayo mamlaka ya kufuta/kuahirisha uchaguzi? Hapa ndiyo maana tunatafuta kujuwa Katiba inasema nini ili haya yasije kutokea.Akifa nafasi ya Rais itajazwa na Makamu na swala la ugombea wake litasimamiwa na sheria ya tume ya Uchaguzi ambapo chama kitateua mwingine na siku za kampeni kuongezwa
2010 Mgombea Mwenza wa Dr Slaa Mzee Jumbe alifariki tarehe ya Uchaguzi ikasogezwa mbele kwa siku kadhaa
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mwaka 2005 mgombea mwenza wa Freeman Mbowe alifariki dunia zikiwa zimebaki siku 15 uchaguzi kufanyika.Umeleta mada muhimu saaana. Nakumbuka kuwaza hili jambo kipindi cha Uchaguzi wa 2020.
Sheria kama hii haitakiwi kubagua akifariki 'fulani' itakuwaje. Inatakiwa iseme tu ikitokea amefariki mgombea urais wa chama chochote, awe ndiye anashikilia Urais wakati huo au wa chama kidogo sana asiye hata na jina, utaratibu unakuwaje.
Kwa utaratibu uliopo sasa, mfano angefariki mgombea Urais wa chama kidogo uchaguzi wa 2020, maana tulikuwa na wagombea zaidi ya 20, kuna uwezekano mkubwa kuwa uchaguzi ungeendelea. Ila kama ingekuwa inamuhusu mgombea wa CCM tena akiwa na upinzani mkali kama tuliokuwa nao wakati ule, uchaguzi ungeahirishwa. Hili linakuwa siyo sawa kisheria. Sheria haitakiwi kubagua nani amedhurika ifanyeje kazi. Ni moja ya sababu nyingine ya kuifumua upya Katiba yetu badala ya kuziba viraka.
Mwaka 2005 mgombea mwenza wa Freeman Mbowe alifariki dunia zikiwa zimebaki siku 15 uchaguzi kufanyika.Umeleta mada muhimu saaana. Nakumbuka kuwaza hili jambo kipindi cha Uchaguzi wa 2020.
Sheria kama hii haitakiwi kubagua akifariki 'fulani' itakuwaje. Inatakiwa iseme tu ikitokea amefariki mgombea urais wa chama chochote, awe ndiye anashikilia Urais wakati huo au wa chama kidogo sana asiye hata na jina, utaratibu unakuwaje.
Kwa utaratibu uliopo sasa, mfano angefariki mgombea Urais wa chama kidogo uchaguzi wa 2020, maana tulikuwa na wagombea zaidi ya 20, kuna uwezekano mkubwa kuwa uchaguzi ungeendelea. Ila kama ingekuwa inamuhusu mgombea wa CCM tena akiwa na upinzani mkali kama tuliokuwa nao wakati ule, uchaguzi ungeahirishwa. Hili linakuwa siyo sawa kisheria. Sheria haitakiwi kubagua nani amedhurika ifanyeje kazi. Ni moja ya sababu nyingine ya kuifumua upya Katiba yetu badala ya kuziba viraka.