Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Kama ada yetu Wanamapenzi, Kila mtu hupenda Akipendacho lakini hapa sasa, Hata kama ni mgeni mwenye uzito gani huwa hapewi, kila mtu hupewa zawadi lkn hii katu haitolewi zawadi, Ukinasa wallah hunasuki, Ukigusa kamwe huachi, Ukichovya lazima ujenge hapo, Sio kama safari hii kiboko hata wa manane ukiitiwa lazima uifuate, haihitaji mapumziko kama kazi au masomo kila wakati huzingua wana adamu, kama ingekuwa inapandwa sidhani kama mwenye nguvu zake angelazimishwa kuipalilia, si zao lakini mwenye nalo akilitumia vilivyo huneemeka, haiwi used ili mradi itunzwe, dhahiri muonekano wake wa nje si sawa na wa ndani, kila mwenye utamani huitamani......IKO KAMA KAKA KUONA haina myoefu hii KITU....Nani kakutana nazo?