TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Je Wajua?
Number Plate(Plate Number) Kwa mujibu wa kiswahili fasaha huitwa KIBANA?
Chukua hiyo,huishi nayo!
Kabla ya ndoa mara nyingi wanaume wanataka kupima kama yaliyomo yamo,siyo mtu anaingia kwenye ndoa halafu anakuja kukuta YALIYOMO YAMO hamna bali Kuna YAMO YALIYOMO!
Haya mambo yamesababishwa na wanawake wenyewe Kwa kutokuwa waaminifu,ndiyo maana kabla ya ndoa wanaume wengi wanataka kupima kwanza kina Cha maji kama kitawezakana kuchumpika!
Hivyo basi niwaombe dada zangu,hakikisha unapo ing'ang'ania ndoa hilo lango la Yerusalemu liwe limefungwa,siyo unakomaa halafu mwisho wa siku mnaingia kwenye ndoa,jamaa anakuta lango la Yerusalemu liko wazi kila mtu alikuwa akiingia na kutoka!
Number Plate(Plate Number) Kwa mujibu wa kiswahili fasaha huitwa KIBANA?
Chukua hiyo,huishi nayo!
Kabla ya ndoa mara nyingi wanaume wanataka kupima kama yaliyomo yamo,siyo mtu anaingia kwenye ndoa halafu anakuja kukuta YALIYOMO YAMO hamna bali Kuna YAMO YALIYOMO!
Haya mambo yamesababishwa na wanawake wenyewe Kwa kutokuwa waaminifu,ndiyo maana kabla ya ndoa wanaume wengi wanataka kupima kwanza kina Cha maji kama kitawezakana kuchumpika!
Hivyo basi niwaombe dada zangu,hakikisha unapo ing'ang'ania ndoa hilo lango la Yerusalemu liwe limefungwa,siyo unakomaa halafu mwisho wa siku mnaingia kwenye ndoa,jamaa anakuta lango la Yerusalemu liko wazi kila mtu alikuwa akiingia na kutoka!