Ukininyima nakununia mwaka mzima

Mkuu wewe ndiye yule ambaye mkeo alikumbilia Dodoma?
 
Huyo muongo muongo si unajua story za jf 98% ni fiction? Huyu hata uandishi wake hajui mke ni nini …kwanza story za jf unatakiwa usizichukulie serious sana chai nyingi
Amefanya wanawake wapondwe mawe kwenye ule uzi wake. Kumbe kajitungia pambav kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…