Ni mawazo ya kimasikini,, kwasababu pia hata nchi yetu bado ni masikini....
Michango ni scam,,, ni tumewekewa utamaduni flani ambao nafikiri dhamira yake ni kutufanya tubakie na umasikini wetu...
Kanye west aliwahi kusema "Black people wa USA wamezongwa na utamaduni wakifanikiwa kununua vitu vya thamani,, magari,na ambavyo sio vya msingi,,, LAKINI hawanunui vitu kama ardhi...
Sisi utamaduni wa michango pia unarudisha sana watu nyuma kwa sababu una involve hisia"nisipochanga hawatanichangia",,, na imekuwa mbaya mtu hujachanga unaweza hata urafiki ukaisha kabisa.,, au hujachanga harusi,,basi hakuna jambo jamii hio itakusaidia hata kama ni tatizo la ghafla...
But all in all kila mtu afanye vile nafsi yake inamtuma... Usiwe forced na external factors...