Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Hebu niambie wale wanaobakwa?? Je wamejishikisha hizo Mimba? na unashauri achukue uamuzi gani? aue mtoto asiye na hatia au aache mtoto akue akijua yeye ni mtoto wa mbakaji??

Hii issue ni ngumu sana ndugu yangu, huwezi kuhukumu kwa akili yako ya kibinadamu... Muombe Mungu akusaidie sana katika hili, una watoto pia na kama huna utakuja kuwa nao... Do u want to tell me u are that saint?? Before you point your fingers on anyone, make sure that your hands are clean...

Huyu aliyetajwa kwenye mwanzo wa hii thread alibakwa? Sijawahi kuona wala kumsikia mbakaji anayerudi kudai mwanae! Habari za kubakwa ni exceptions, hazihusiki hata kidogo na mjadala huu. Mimi napinga mnaodai ni haki yenu kuzaa bila kujali haki ya mtoto kulelewa na baba na mama katika mazingira ya staha.
 
Jamani naomba kidogo niangalie pande zote mbili za shilingi. Naona dada zetu wengi humu wanaongea kwa hisia zaidi which is understandable. Siku zote mtu aki pia kitu ulicho pitia wewe ni lazima my default uwe upande wake lakini pia tuangalie makosa ya huyu dada.

Huyu dada amekua na uhusiano na mume wa mtu tena mwenye watoto sita. Kwa hali ya kawaida sidhani kama huyu dada hakujua ana tembea na mume wa mtu. Sasa mtu kama tayari ana mkewe ukitembea nae lazima ujiulize intentions zake ni nini. Mawazo ya haraka na akili ya kawaida utajua tu huyu mwanaume hana mpango wa kujenga maisha na wewe.

Kwa hiyo kosa la kwanza limefanywa na dada. Under no circumstances alitakiwa kutembea na mume wa mtu. Labda nije kusikia hakuwa anajua lakini sidhani kama hilo lina wezekana. Baba mwenye watoto sita lazima umri utakua umeenda kiasi fulani na pia mume wa mtu utamjua tu kwa schedule zake.

Anyway twende sasa kwenye kosa la mwanaume. Japo ilitakiwa tokea mwanzo mwanamke ajue hapo ana tumika tu haikua haki baba huyu kumfanyia ushenzi huo. Sidhani kama mama ange mnyima huyo baba haki ya kuwa na uhusiano na mwanae. Sasa kumpora mtoto wa chini ya mwaka kwa mama yake na on top of that kumpeleka kwako kwa mwanamke mwingine ambae usha zaa nae si busara haswa uki zingatia mama wa kambo walivyo.

Alicho takiwa kufanya huyo baba ni kumuacha mtoto akue ajenge akili zake mwenyewe kisha amshawishi huyo mtoto aje kukaa nae.

In any case sakata lote hili ni matokeo ya dhambi. Ni matokeo ya mume kuzini na mwanamke kutoka na mali ya mwenzie iliyo halalishwa na Mungu. Hapa naongelea kesi hii tu na si hizo nyingine ambazo mtoto ni wa ndani ya ndoa. Jamani wakina dada/mama nawa sihi sana. SI BUSARA KUTEMBEA NA MUME WA MTU. IT WILL LEAD NOWHERE! Tafuta wa kwako wa halali ambae utakua na haki zote nae.

Kwa wale ambao jamani hamkuzaa na waume wa watu na mkajikuta mna chukuliwa watoto poleni sana. Hata huyu dada nampa pole.

MwanaFA1, asante kwa busara zako...
Huyu jamaa umri wake haijaenda hi-hivyo, seems alikuwa anazaa haraka haraka ili apate mtoto wa kiume, so kila akitoka wa kike anajaribu tena immediately

Hebu nieleweshe kitu hapa.... Ni wanawake wanatembea na waume za watu au waume za watu ndio wanajitembeza kwa wanawake??
 
MwanaFA1, asante kwa busara zako...
Huyu jamaa umri wake haijaenda hi-hivyo, seems alikuwa anazaa haraka haraka ili apate mtoto wa kiume, so kila akitoka wa kike anajaribu tena immediately

Hebu nieleweshe kitu hapa.... Ni wanawake wanatembea na waume za watu au waume za watu ndio wanajitembeza kwa wanawake??

Both ways inawezekana, lakini chondechonde kinamama nawasihi msichukue mimba katika mahusiano ya namna hii, mtawaumiza sana watoto mtakaowazaa
 
Yes I'm bitter, acheni hii tabia please! Nawashangaa sana mnaoishabikia.

Hatushabikii... Ila mwacheni Mungu aitwe Mungu... Ningepewa one wish... ningeomba baiolojia yako igeuke ya kike kwa muda wa miaka miwili afu upate mimba ki-mbwa koko, uzae, unyang'anywe mtoto, then urudishiwe baiolojia yako ya mwanzo... Peace man...

Kwa hili ni gumu na linahitaji mawazo ya nguvu hasa la sivyo mnaweza mkauanaUchungu wa mwana aujuaye mzazi bana

:busu:busu:busu.... isingekuwa nimejialika kwenye besdei ya babu ningekupa ofa afu ningekulipia everising.... Be blessed
 
Both ways inawezekana, lakini chondechonde kinamama nawasihi msichukue mimba katika mahusiano ya namna hii, mtawaumiza sana watoto mtakaowazaa

Watu huwa hawalazimishi kubeba mimba mwingine mnaoana kwa ndoa then mnaachana kwa hiyo mama apo anakua mbwa?
 
Huyu aliyetajwa kwenye mwanzo wa hii thread alibakwa? Sijawahi kuona wala kumsikia mbakaji anayerudi kudai mwanae! Habari za kubakwa ni exceptions, hazihusiki hata kidogo na mjadala huu. Mimi napinga mnaodai ni haki yenu kuzaa bila kujali haki ya mtoto kulelewa na baba na mama katika mazingira ya staha.

Wote wanaolelewa na baba ba Mama wana STAHA??
 
Watu huwa hawalazimishi kubeba mimba mwingine mnaoana kwa ndoa then mnaachana kwa hiyo mama apo anakua mbwa?

Hiyo ni tofauti maana hata mtoto atakuelewa kuwa hukuwa na nia ovu, ni bahati mbaya ilitokea baada ya kuzaliwa. Si kama yule anayepanga kuzaa kwa kumkosesha mwanaye baba.
 
Hiyo ni tofauti maana hata mtoto atakuelewa kuwa hukuwa na nia ovu, ni bahati mbaya ilitokea baada ya kuzaliwa. Si kama yule anayepanga kuzaa kwa kumkosesha mwanaye baba.

Kwani umejitia mimba mwenyewe?? Baba yupo ndo maana mimba ikaingia na sio kwamba baba anazuiwa kuja kumuona mwanae...
 
Kwa muktadha wa kinachojadiliwa hapa, jibu ni NDIYO

Ulianza kwa ku-generalize issue.... hebu tuendelee kujadili % ya watoto wanaozaliwa katika ndoa na kulelewa na baba na mama kisha wakawa na staha. Na je, mfano baba na mama wameoana mmoja wao au wote wakiwa na watoto tayari, wakawalea kwa pamoja, inakuwa staha au sio staha?
 
MwanaFA1, asante kwa busara zako...
Huyu jamaa umri wake haijaenda hi-hivyo, seems alikuwa anazaa haraka haraka ili apate mtoto wa kiume, so kila akitoka wa kike anajaribu tena immediately

Hebu nieleweshe kitu hapa.... Ni wanawake wanatembea na waume za watu au waume za watu ndio wanajitembeza kwa wanawake??


Mkuu hilo swali lako halina clear answer. It varies from person to person. Kuna wanaume za watu wana jitembeza kwa wanawake na kuna wanawake wana jitembeza kwa wanaume wa watu. Sito penda kugeneralize because ni on a person to person basis. I'm sure unajua kuna wanawake wanaenda kwa waume za watu aidha kwa sababu wame tokea kumpenda au wana tafuta pesa or whatever. hata waume za watu wana sababu zao za kutafuta wanawake.

Ila my point is mwanamke akiwa approached na mwanaume she has the right to say know. Mwanamke yoyote haachi kutongozwa hata pale anapo kuwa mke wa mtu. Kwa hiyo ni jukumu lake au uamuzi wake kusema ndiyo au hapana. Kwa hiyo mwanamke akiwa approached na mume wa mtu si lazima amkubalie kwa sababu kawa approached.

In the case ya huyo dada hapo juu sijui kakutana na huyo mwanaume kwenye mazingira gani. Ila mtu kujificha kwamba ni mume/mke wa mtu kwa muda mrefu haiwezekani. Ita fika point tu utahisi something is not right. Kwa maana mwanaume aliye oa maisha yake si kama ya kapera.

Swali langu kwako ni je huyo mwanamke hakujua ana tembea na mume wa mtu? Just imagine wewe ni mke halali wa huyo baba na umefanyiwa hivyo na mwanamke mwenzako utajisikiaje? Kwa hiyo what I'm trying to say ni kwamba huyo dada ili takiwa ajue tokea mwanzo uhusiano na mume wa mtu mwisho wake si mzuri. Hai halalishi alicho fanya mwanaume, la hasha! Lakini Waswahili husema MUME/MKE WA MTU NI SUMU.

Tukubali jamani na huyu dada kakosea kutembea na mume wa mtu. Au dada angu wewe hauoni hilo ni kosa? Kwa sababu kosa lililo tangulia ni kutembea na mume wa mtu basi dada nae ni sehemu ya tatizo. Kama ikitokea huyu dada hakujua ana tembea na mali ya mtu basi Mungu ani samehe ila kama alikua anajua ni mume wa mtu basi na dada aji rekebishe. Think for a moment si kama mwanamke tu bali pia kama vile ungekua mke wa mtu.


But nakubaliana na kila mtu huyo mwanaume alicho kifanya si vizuri. Ana beba dhambi kwanza ya kutembea nje ya ndoa na pili kumfanyia huyo dada alicho mfanyia.
 
asikudanganye mtu hyu baba ni muuaji kabisaaaaaaaaaaa yani mtoto mdogo hvyo anampeleka wapi tena wababa wenyewe siku hizi awaaminiki wanabaka hata watoto wao , mwehu kweli i wish nione mwisho wake me ningemng'ata pua ili awe na kumbukumbu vizuri.
thanx
 
Mh hivi jamani hamna yoyote anaye muonea huruma mke wa ndoa ambae ndiyo kasalitiwa?
 


Mkuu hilo swali lako halina clear answer. It varies from person to person. Kuna wanaume za watu wana jitembeza kwa wanawake na kuna wanawake wana jitembeza kwa wanaume wa watu. Sito penda kugeneralize because ni on a person to person basis. I'm sure unajua kuna wanawake wanaenda kwa waume za watu aidha kwa sababu wame tokea kumpenda au wana tafuta pesa or whatever. hata waume za watu wana sababu zao za kutafuta wanawake.

Ila my point is mwanamke akiwa approached na mwanaume she has the right to say know. Mwanamke yoyote haachi kutongozwa hata pale anapo kuwa mke wa mtu. Kwa hiyo ni jukumu lake au uamuzi wake kusema ndiyo au hapana. Kwa hiyo mwanamke akiwa approached na mume wa mtu si lazima amkubalie kwa sababu kawa approached.

In the case ya huyo dada hapo juu sijui kakutana na huyo mwanaume kwenye mazingira gani. Ila mtu kujificha kwamba ni mume/mke wa mtu kwa muda mrefu haiwezekani. Itafika point tu utahisi something is not right. Kwa maana mwanaume aliye oa maisha yake si kama ya kapera.

Swali langu kwako ni je huyo mwanamke hakujua ana tembea na mume wa mtu? Just imagine wewe ni mke halali wa huyo baba na umefanyiwa hivyo na mwanamke mwenzako utajisikiaje? Kwa hiyo what I'm trying to say ni kwamba huyo dada ili takiwa ajue tokea mwanzo uhusiano na mume wa mtu mwisho wake si mzuri. Hai halalishi alicho fanya mwanaume, la hasha! Lakini Waswahili husema MUME/MKE WA MTU NI SUMU.

Tukubali jamani na huyu dada kakosea kutembea na mume wa mtu. Au dada angu wewe hauoni hilo ni kosa? Kwa sababu kosa lililo tangulia ni kutembea na mume wa mtu basi dada nae ni sehemu ya tatizo. Kama ikitokea huyu dada hakujua ana tembea na mali ya mtu basi Mungu ani samehe ila kama alikua anajua ni mume wa mtu basi na dada aji rekebishe. Think for a moment si kama mwanamke tu bali pia kama vile ungekua mke wa mtu.


But nakubaliana na kila mtu huyo mwanaume alicho kifanya si vizuri. Ana beba dhambi kwanza ya kutembea nje ya ndoa na pili kumfanyia huyo dada alicho mfanyia.

FA1, sina uhakika kama dada alijua kama huyo ni mume wa mtu au la? na inawezekana pia by the time anagundua tayari ana ujauzito... angefanyaje?? Simtetei mdada kwa hili, wapo wanaume wako singo and they behave in the same manner... Issue hapa ni kwa nini yule baba kwanza alijua ameoa, akamtongoza dada wa watu kwa malengo ya kutafuta mtoto wa kiume, aliposhika mimba akamtelekeza then alipojua mtoto ni wa kiume akaja kumu-abduct...

Makosa katika ndoa yapo and they are there to stay... wanawake wanajitembeza na wanaume wanajitembeza as well... lakini likitokea la kutokea, basi kuwe na maelewano... ila kama mmoja ana ill intentions ndo inakuwa kama hivi...
 
Mh hivi jamani hamna yoyote anaye muonea huruma mke wa ndoa ambae ndiyo kasalitiwa?

Hatuongelei usaliti, tunazungumzia mama ambaye amenyang'anywa mtoto wa mwaka mmoja bila ridhaa... na sio kwamba huyo jamaa alimpeleka kwa huyo mke, la hasha, alimficha mahali...

Huyu mama hata tukimuhurumia, huo ni mzigo wake, aumeuzoea... having 6 kids is no joke broda, inawezekama kaona mbivu na mbichi na amevumilia akitegemea mume atabadilika... anyway... Mungu atam-reward kwa uvumilivu wake
 
ila inabidi na sisi wanawake tuwe makini tunapenda pesa na tamaa ndo zinazotusababishia yote hayo so we unajua huyu ni mume wa mtu na unaamua kuzaa nae, inabidi muwe na CONTRACT, nadhan itasaidia hata baadae yakitokea maafa. Pole dada mwenzangu kwa yaliyokusibu
 
Hutafeel kitu maana hata husikii ka uchungu kokote lakini wakwako jamani mweweee


hapo napingana na wewe kidogo, inategemea na roho ya mtu au labda mwanamke uwe hujazaa ndio huta feel uchungu wa mtoto wa mwenzio, mie namlea na mtoto wa mr wa ujanani, mbona naendana nae sawa kabisa, inategemea na roho mbaya ya mtu jamani.
 
ila inabidi na sisi wanawake tuwe makini tunapenda pesa na tamaa ndo zinazotusababishia yote hayo so we unajua huyu ni mume wa mtu na unaamua kuzaa nae, inabidi muwe na CONTRACT, nadhan itasaidia hata baadae yakitokea maafa. Pole dada mwenzangu kwa yaliyokusibu

Justina, unakua kila binadamu yuko UNIQUE na hawawezi kufanana, mawazo yako ni tofauti kabisa na mawazo ya mtu mwingine... kwa maana hiyo hata mawazo ya mioyo yetu ni tofauti as well... Kila mtu anafanya kitu kwa uamuzi na utashi wake na malengo yake... wapo wanaofanya makusudi, wapo wanaokuwa victims na wapo wanaotaka revenge na kukomoana, so kila mtu anakuwa na malengo yake...
 
mmm ni ngumu kumwonea huruma mama wa ndoa bali tunamwombea tu mungu amfariji azidi kumpa nguvu na uvumilivu kwani mumewe ndo tabia yake maana kapata wa kiume mmoja nadhani anatafuta kwengine mwingine na huko ndo atatolewa shingo.
 
hapo napingana na wewe kidogo, inategemea na roho ya mtu au labda mwanamke uwe hujazaa ndio huta feel uchungu wa mtoto wa mwenzio, mie namlea na mtoto wa mr wa ujanani, mbona naendana nae sawa kabisa, inategemea na roho mbaya ya mtu jamani.

Nakubaliana na wewe kwa hili, mtoto ni mtoto especially ukiwa mama, lazima utamfeel mtoto yeyote...

Niliwahi kumzaba kibao mama mmoja pale saba saba... alikuwa na watoto wawili ambao wamepishana kama miezi tu au mwaka... ametoka nao ndani ya maonyesho, watoto wamechoka vibaya sana, it seems walikuwa na njaa pia, and it was late around 7pm, akawa amembeba yule mdogo na anamburuza yule mkubwa... kale katoto kakawa hakawezi ku-keep pace na mama yake, kakawa kanaumia na kanalia, yule mama akaanza kumfokea na kumpiga... aisee i felt a twinge, nikajikuta nimemzaba kibao... lakini kumbe wengi walikuwa wanamwangalia anavyofanya ndo wakaanza kumgombeza, kwanza kwa nini amekuja na watoto wadogo hivyo kwenye fair grounds wakati anajua hali halisi ya pale... kwa kweli niliumia...

So, sio wamama wote wako hivyo, if a mother can desert his/her child then hashindwi kumfanyia mtoto wa mwenzie... inategemeana na roho ya mtu!! Ndio maana kuna malaika na shetani
 
Back
Top Bottom