Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Kumbe ana chromosome za Y sasa kwa nini ameshindwa kupanda mbegu hiyo kwa mkewe wa ndoa na zaidi yeye ni Dr. wa medicine?
 
Ndio hapo sasa kuvamia wana ndoa. Huwa mambo hayakai kueleweka hata kidogo. Mama azae mtoto mwingine tu

Kwa nini unahisi kuwa mdada ndo alivamia ndoa?? Inawezekana mwanaume hakumwambia kama alikuwa na mke mpaka alipopata ujauzito ndo akamtema pending result ya sex ya mtoto.... Halafu hata akizaa atazaa na nani jamani, yaani hata kabda kidonda cha mwanzo hakijapona? Aisee... Men..... They always stick together....

huo ni unyama unaofaa kukemewa

Mzazi yeyote angefanya hivyo...

Mmmmm, pole yake huyu dada, jamani mtoto wa mwaka mmoja na miezi mitatu huyu baba anampeleka wapi?? Anyway hebu ngoja nisubiri maoni ya watu wengine kwanza.

Manake kama neema ya Mungu haijakushika, unaweza ukajikuta unaua mwanaume wa style hii kabisaa.

Ni kweli

huyu Dr. ni mwenda wazimu.....kwani anafikiri Mama atakaa na mtoto hadi lini?? Ningekuwa mimi wala sijui ningefanyaje pamoja na kuwa sheria na haki zote nilikuwa ninazifahamu fika (inauma jamani asikwambie mtu) Nakumbuka kuna siku junior wangu alikuja chukuliwa .............tena mbele yangu si in my absence...nilichanganyikiwaje...hata hizo sheria sikuzikumbuka) acheni kabisa bana........... yaani mara kumi na ngapi sijui achukuliwe akiwa ashakuwa na akili yake lakini mwaka mmoja na kitu ...........acha kabisa

mimi nakumbuka T-shirt niliivalia chini kwenye ngazi....hapo ni saa nne usiku hata sijui nlikuwa naelekea wapi, ah acha kabisa bwana.

Hahahaaaaaaaa.... Dada umenifurahisha....
Kitu ambacho wababa hawajui ni kwamba we share our blood, our hearts our life with our little kids, they are part of us ambayo ukiitoa we get affected sana..... imagine nine months, then muda wote wa kunyonyesha, ndio maana mtoto akianguka unasikia uchungu wa kuzaa...

Mtoto wangu alipotea kanisani once.... nilivua viatu nikatoa watu kanisani kabla misa haijaisha kwenda kutafuta mtoto... kwa mwanaume hawezi jua feelings za ku-loose contact na mtoto na hujui alipo, anakula nini, anafanya nini.... we acha kabisa

Yani kaniudhi kweli!Tatizo wanaume wanadhani mapenzi yao kwa watoto ni sawa na aliyonayo mama!Hamna comparison aisee...huyo anastahili kipigo cha mbwa mwizi!

Haiwezi kuwa kabisa.... the feeling is unique

MJ1 pole mpendwa!Yani siwezi kuimagine!Mtu unaweza kujikuta unaua hivi hivi majuto baadae akili ikikaa sawa!

Kwa kweli

Uwiiiii, natamani tufanye maandamano tukamkomboe huyo mtoto, na huyo baba tumtundike juu ya mti ka yule HAMANI kwene kitabu cha Esta kwene biblia.

Luckily, alikuwepo hosp admin na baadhi ya doctors, wakamlazimisha akampe huyo mama mtoto wake... I hope alimpa. Nitarudi kumuuliza yule Dr kama yule mama alipewa mtoto wake

Kumbe ana chromosome za Y sasa kwa nini ameshindwa kupanda mbegu hiyo kwa mkewe wa ndoa na zaidi yeye ni Dr. wa medicine?

Ni Dr wa medicine, lakini kwa roho yake alitakiwa kuwa Dr wa miti
 
Kwa nini unahisi kuwa mdada ndo alivamia ndoa?? Inawezekana mwanaume hakumwambia kama alikuwa na mke mpaka alipopata ujauzito ndo akamtema pending result ya sex ya mtoto.... Halafu hata akizaa atazaa na nani jamani, yaani hata kabda kidonda cha mwanzo hakijapona? Aisee... Men..... They always stick together....


Mzazi yeyote angefanya hivyo...



Ni kweli



Hahahaaaaaaaa.... Dada umenifurahisha....
Kitu ambacho wababa hawajui ni kwamba we share our blood, our hearts our life with our little kids, they are part of us ambayo ukiitoa we get affected sana..... imagine nine months, then muda wote wa kunyonyesha, ndio maana mtoto akianguka unasikia uchungu wa kuzaa...

Mtoto wangu alipotea kanisani once.... nilivua viatu nikatoa watu kanisani kabla misa haijaisha kwenda kutafuta mtoto... kwa mwanaume hawezi jua feelings za ku-loose contact na mtoto na hujui alipo, anakula nini, anafanya nini.... we acha kabisa



Haiwezi kuwa kabisa.... the feeling is unique



Kwa kweli



Luckily, alikuwepo hosp admin na baadhi ya doctors, wakamlazimisha akampe huyo mama mtoto wake... I hope alimpa. Nitarudi kumuuliza yule Dr kama yule mama alipewa mtoto wake



Ni Dr wa medicine, lakini kwa roho yake alitakiwa kuwa Dr wa miti

Darlingtone pole duh hiyo ya kutoa watu misa haijaisha imenibidi tu nicheke.......samahani.
Ah we bwana we acha kabisa......Lakini ninamshukuru MUNGU kwangu baba mtu alikuja kuelewa na sasa hivi akitaka kumwone anaomba na kumrudisha mapema kwa adabu.
 
Duuh nilikuwa napima presha...wanawake wote wangekuwa hivyo tungezaa sana na kuijaza Dunia. Tatizo wengine hata hujawazalisha wanakuja kukubwagia watoto. Eeeh nani anataka presha

Pole Ndahani...

Mkuu, hata kama walikubaliani kitu gani, haiwezekani mama huyo abebe mimba miezi tisa, akubali kumzaa huyo mtoto, akubali kumlea peke yake hadi hapo ambapo anasema sasa afadhali nakaona kanatembea, halafu aje jambazi kumuiba kisa baba ake?? Noooo kama pana amani hapa kwa nn amwibe mtoto??? Unadhani anampenda huyu mtoto huyu kumtenga na mama ake. Nahisi ujinga na upumbavu ndo unamtuma afanye hivo.
Halafu watu wakitoa mimba mnawalaumu kwa kiburi kabisa. Ni kwa sababu ya mambo kama haya pia.

Kama walikubaliana kwa nini alimtosa aliposhika mimba, akaja baada ya mtoto kuzaliwa wa KIUME, angekuwa wa kike ina maana dada angeona vumbi tu

MJ1 Tatizo hawa watu wanadhani ile methali ya uchungu wa mwana ni maneno tu!Kuna zaidi ya ukweli ndani yake!Yani mtu akitaka kunikomoa mimi sio aninyime chakula wala pa kulala..naweza kulala kwa jirani ila mtoto hapana aisee!

Natamani siku moja Mungu a-switch wao washike mimba kisha wazae then waone inavyokuwa

Yaani tangu nimeingia hapa inaonyesha wachangia mada wote wanasumu ndani ya mioyo yao kwa wanaume je umejiuliza kua kesho yakikupata utafanyeje?je huyo ulie nae amekuoa au ndo vle mwisho wa cku anakuja kumwiba handsome/beautiful wako?ooh sory kweli akiwa ke hana shida nae c ndio.
Nawasilisha hoja.

Sio sumu kwa wanaume, ni mapenzi kwa watoto

Kiukweli hapa mimi,wewe na yule ha2wezi kujua makubaliano ya hawa w2.wote ni wazazi iliwapasa wakae chni wajadili jinsi ya kumlea mtoto 7bu ya kumuiba cjaiona kwani mtoto ni wako 2 hata kma atalelewa na mama.But mama nae why acngemsubli sehemu nyingne amfate ofcn?Upande wangu wote wajinga kuku wako mwenyewe manati ya nini?

Ukikubaliana na mtu si unatekeleza part of your deal, mbona alimkimbia? Ofisini ndio kuzuri, unadhani angempata wapi, barabarani?? Staff wote walikuwa wanajua issue ya huyo Dr, seems alishatia wadada wengine mimba walipozaa watoto wa kike akawatema... he was trying his luck anajulikana na tabia yake ndo maana hata wenzake walikuwa against na yeye, walikuwa upande wa yule mama

Na kwanini alelewe na mama mwingine kama mama yake yupo??

Nashanga!!! Kama mama yake alifanikiwa kulea Mimba, akamlea mtoto mpaka akafikisha mwaka na miezi mitatu, angeshindwa nini tena??

Kokudo, haiingii akilini hata kidogo, mtoto nikubali kumzaa mwenyewe halafu akalelewe na mama mwingine wakati mimi nipo hai na ninaweza kumlea.

Hapo sasa...

It depends LD......kuna wanawake wangine hawana uwezo wa kuwa mama.....
Katika kesi hii nadhani huyu jamaa alimtumia tu huyo dada kupata akipendacho....and he used a very wrong approach...
BTW: Hivi watu wa ustawi wa jamii bado wanapatikana?

Ndio kina nani hawa??

Yaani wamama leo mmenifurahishaje? MJ1 nimecheka mpaka basi yaani nimeanza asubuhi vizuri eti skinjinz ilikua inakupwaya lol jamii forums ni kiboko. Mimi yaani nashindwa hata cha kuchangia kwanza huyo sijui babake mtoto yaani sijui atatoa wapi uthubutu wa kuja ninyang'anya mrembo wangu huyo mama big up zake kwa sana baba mshenzi sana huyo, kudadadeki zake yaaani nikandwe maji ya bure, maziwa yawe lapa bure achilia mbali kitambi, tisa kumi ule uchunguuuuuuuuuuuuu yaani nimemtamani huyo dk. Ngoja tu niishie hapa nna hasira!!!!

Meza hasira mama...

Jamani LD,LIZZY,MATY angalie bwana mi nadhni huyu jamaa alimpata huyu dada kule kwenye 1000 au 1500 na km ujuavyo wbongo kondom kwe2 mwiko wakajkuta wamepata goli bila kutegemea ss coz yle mdada duu ile ndo kaz yake mtoto anakua hapati malez bora ndo maana dr akaona amchakachue.naungana na ST. RR sio wote waliozaa wanajua kulea wengi 2mewaona wakishazaa watoto wanapelekwa kwa nyanya zao kijijini wao wanaludi kutafuta mimba nyingne mtoa hoja angepata nafac ya kumuuliza yule dada anajishughulisha na nini?tatizo wanawake wa Dar kiswahli kireeeeefu.mm cmooo

I thought the same in the first place, lakini nikaeleweshwa... mdada ana kazi yake nzuri tu na analea mtoto kama kawaida... Kama MJ1 vile, kwani ye alishindwa kumlea mwanae??

Halafu hii tabia ya kusema eti nataka mtoto wa kiume sijui inakuwa ni kitu gani mtoto wa kiume ana nini cha ajabu ambacho mtoto wa kike hana??? Huyo dakitari feki huyoooo ana bahati sana hakunipata mimi ningemnyongelea mbali mshenzi sana halafu nahisi kama si dakitari ni wale RMA maana angekuwa dakitari wa ukweli asingekuwa na ujinga kama huu ameniudhi mimi!!!

Mi huwa hii kitu inanisikitisha sana.... Watoto wa kike wanaweza kuwa na msaada mkubwa sana kwa wazazi kuliko hao wa kiume

Kweli kabisa angesubiri mtoto akue amtafute baba ake

Hii ndio point
 
Mimi ninaye mama na amenizaa kwa heshima kubwa kabisa wakiwa na baba yangu katika ndoa takatifu, nawapenda sana wazazi wangu. Na nimeshuhudia watoto waliozaliwa kwa mtindo unaofanana na ule wa mbuzi aliyekutana na beberu machungani, watoto hao hawaipendi hata kidogo hali hiyo na inawanyanyapaa sana. Ndicho ninacholaani, tabia ya wanawake kujizalisha hovyo tu kama mbuzi machungani, kwa nini msitulie mkaolewa kwanza ndipo mzae? Mnawakosea sana haki hao watoto mnaowazaa hovyo katika hayo mazingira ya utovu wa maadili. Wanawake badilikeni.

Una uhakika gani kama huyo ni Baba yako??? Labda aliweka kucha tu na masikio... usiwatukane wanawake, maana utakuwa unamtukana hata mama yako ambaye hujui alikutoa wapi....:eyeroll1:
 
Wanaume wengine hawasemi wameoa pengine ndo alisema hivyo.
Kukemewa kwa kutaka kuua??
Hasira unazijua wewe?? Tena hasira zenyewe za wodi ya wazazi???
acha mchezo kabisa mtoto akilia unashituka kama roho inataka kutoka halafu wewe!!!

No man can understand the feeling, ndio maana ukimjali mtoto anaona humpendi tena

Naomba kuuliza "Mada ya Leo" ni ipi hasa?
Kugombania "Mtoto wa Nje" au "Kugombania Mtoto wa Nje wa Kiume"?
Naomba ufafanuzi please!!

Hapo hapo...

Akina Mama acheni tabia ya "kuingia mitini" na "watoto wetu wa Kiume"!

uchungu mnaujua nyinyi tu akina mama,
sisi akina baba hapana,
au sisi sio wazazi jamani?

Possibly kuna untold story, Walizungumza nini before hawajazaa? Wenda walikubaliana azae and achukue mtoto who knows? and why fighting over mtoto, s/he grows up and find hs/hr mother/dad.......................kama ni mimi sihangaiki................bt will make sure na mvisit and necesary care inapatikana.........

He never did that, mdada alipopata kitambi tu jamaa akasepa....

mtoto siri ya mama

I love this dada.... Tell zem luv.... especially kwa hao wanaojiamini kuwa baba zao ni baba zao... u kno warramseying...
 
Kumbe ana chromosome za Y sasa kwa nini ameshindwa kupanda mbegu hiyo kwa mkewe wa ndoa na zaidi yeye ni Dr. wa medicine?

Nilivyomuona.... actually nilitamani hata kumpiga picha... anaonekana mlevi hv na confused person...
 
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.

CRAPESTSLOMOVICK.... Dawa ya Mjinga ni kumnyamazia....:eyeroll1:
 
Ni kweli usemayo Mtu B.lakini omba MUNGU akusaidie ....una watoto angalia usijechapwa kofi na MUNGU.

Mimi ninachokuomba punguza ukali wa maneno yako, humu JF tuko wengi na wengine ni hao mabastards unaowasema and trust me.....it pains kwa sababu mtoto kama mtoto hajichagui kuzaliwa bastard............... na huyo mama mbuzi au mbwa kama unavyowaita!!

Kumbuka Maneno yanaumba....

Ndio uelewe watoto hawapendi kuzaliwa katika mazingira kama ya mbwa-koko, utulie uolewe uzae wanao katika familia yako na mumeo kwenye ndoa. Mnawakosea sana haki watoto mnapowazaa na kujikuta wanaishi kama mbwa-koko, baba hajulikani eti hadi mtoto akapige simu Radio Free Africa na kujieleza maelezo mareeefu ya kumtafuta baba yake, kisa tu mamake kamficha au hata hamjui! Aibu jamani kinamama, aibu sana!

Mtoto ni mtoto, hakuna mtoto mbwa koko wala mbwa wa mzungu.... kwani katika kaburi lake wanaandika MBWA KOKO??

No matter what? you can not take a 1yr baby from his mother and hide him. :frusty::frusty::frusty::frusty:

Sure...

Elia................. wish I could say something on this but I cant.............it pains alot........................cant say anything nabakia tu kusema,,,,,I wish I wish

Easy now.... ah ah.... but don't under estimate the stupidity of an idiot... he want to drag you to his level...

una uamuzi wako ndiyo, lakini uhuru wako na haki yako haipasi kuingilia haki ya mwingine. Una haki ya kuzaa kama mbwa koko wanaokutana jalalani kama hujali, lakini mtoto naye ana haki ya kuzaliwa katika mazingira ya staha. Kama wewe hutaki kujitunzia heshima, hilo ni juu yako, lakini unapoamua kuwa hata mtoto naye akose heshima hapo unamkosea haki sana.

Nimepigia mstari hapo, ni kweli inauma sana, ndio maana nawaomba mama zetu mtufikirie, wafikirieni watoto wenu kabla hamjaamua kuzaa kwa mtindo huo. Mtoto hana kosa lolote, anajikuta katika mateso ya kihisia kutokana na uamuzi mbaya wa mamake aliyeamua kuwa ana haki ya kuwa na mtoto kama wanawake wengine, bila kuifikiria haki ya mtoto.

Seems like a brother has a story to tell here.... so bitter...:A S 39:
 
Darlingtone pole duh hiyo ya kutoa watu misa haijaisha imenibidi tu nicheke.......samahani.
Ah we bwana we acha kabisa......Lakini ninamshukuru MUNGU kwangu baba mtu alikuja kuelewa na sasa hivi akitaka kumwone anaomba na kumrudisha mapema kwa adabu.

Nobody can understand the feeling, except mothers.... hiyo siri ni Mungu pekee ndie anayejua... the bond is so strong!!
 
Una uhakika gani kama huyo ni Baba yako??? Labda aliweka kucha tu na masikio... usiwatukane wanawake, maana utakuwa unamtukana hata mama yako ambaye hujui alikutoa wapi....:eyeroll1:

Situkani wanawake, nasema tu kuwa mnapotaka kuzaa watoto muwafikirie kwanza kabla hamjachukua hizo mimba mnazochukua kwa wanaume ambao hamna mpango nao wa maana, kwa sababu mwisho wa yote anayekuja kuathirika ni mtoto, na wewe mama unakuwa ndiye uliyemsababishia yote haya.
 
Maty mama, huyu bwana mdogo achana nae tu, hajui kiburi sio uungwana, hajui dunia hadaa, hajui huyu jamani. Mcheka kovu hufikiwa na jereha. Kiburi cha uzima hiki sio kizuri. Bora kunyamaza, bora kuwaombea hao unawaita Mbwa, bora bora, hatujui kesho yetu iko je?? Barikiwa baba angu.

Watu wengine kichefuchefu tu, huwezi jua kama halijakufika, na mungu wetu alivyo wa ajabu linaweza listokee kwake likatokea kwa dadaake wa damu ndo atajua anacho ropoka kinamaanisha nini.
 
Jamani naomba kidogo niangalie pande zote mbili za shilingi. Naona dada zetu wengi humu wanaongea kwa hisia zaidi which is understandable. Siku zote mtu aki pia kitu ulicho pitia wewe ni lazima my default uwe upande wake lakini pia tuangalie makosa ya huyu dada.

Huyu dada amekua na uhusiano na mume wa mtu tena mwenye watoto sita. Kwa hali ya kawaida sidhani kama huyu dada hakujua ana tembea na mume wa mtu. Sasa mtu kama tayari ana mkewe ukitembea nae lazima ujiulize intentions zake ni nini. Mawazo ya haraka na akili ya kawaida utajua tu huyu mwanaume hana mpango wa kujenga maisha na wewe.

Kwa hiyo kosa la kwanza limefanywa na dada. Under no circumstances alitakiwa kutembea na mume wa mtu. Labda nije kusikia hakuwa anajua lakini sidhani kama hilo lina wezekana. Baba mwenye watoto sita lazima umri utakua umeenda kiasi fulani na pia mume wa mtu utamjua tu kwa schedule zake.

Anyway twende sasa kwenye kosa la mwanaume. Japo ilitakiwa tokea mwanzo mwanamke ajue hapo ana tumika tu haikua haki baba huyu kumfanyia ushenzi huo. Sidhani kama mama ange mnyima huyo baba haki ya kuwa na uhusiano na mwanae. Sasa kumpora mtoto wa chini ya mwaka kwa mama yake na on top of that kumpeleka kwako kwa mwanamke mwingine ambae usha zaa nae si busara haswa uki zingatia mama wa kambo walivyo.

Alicho takiwa kufanya huyo baba ni kumuacha mtoto akue ajenge akili zake mwenyewe kisha amshawishi huyo mtoto aje kukaa nae.

In any case sakata lote hili ni matokeo ya dhambi. Ni matokeo ya mume kuzini na mwanamke kutoka na mali ya mwenzie iliyo halalishwa na Mungu. Hapa naongelea kesi hii tu na si hizo nyingine ambazo mtoto ni wa ndani ya ndoa. Jamani wakina dada/mama nawa sihi sana. SI BUSARA KUTEMBEA NA MUME WA MTU. IT WILL LEAD NOWHERE! Tafuta wa kwako wa halali ambae utakua na haki zote nae.

Kwa wale ambao jamani hamkuzaa na waume wa watu na mkajikuta mna chukuliwa watoto poleni sana. Hata huyu dada nampa pole.
 
Kumbuka Maneno yanaumba....



Mtoto ni mtoto, hakuna mtoto mbwa koko wala mbwa wa mzungu.... kwani katika kaburi lake wanaandika MBWA KOKO??



Sure...



Easy now.... ah ah.... but don't under estimate the stupidity of an idiot... he want to drag you to his level...





Seems like a brother has a story to tell here.... so bitter...:A S 39:

Yes I'm bitter, acheni hii tabia please! Nawashangaa sana mnaoishabikia.
 
Situkani wanawake, nasema tu kuwa mnapotaka kuzaa watoto muwafikirie kwanza kabla hamjachukua hizo mimba mnazochukua kwa wanaume ambao hamna mpango nao wa maana, kwa sababu mwisho wa yote anayekuja kuathirika ni mtoto, na wewe mama unakuwa ndiye uliyemsababishia yote haya.

Hebu niambie wale wanaobakwa?? Je wamejishikisha hizo Mimba? na unashauri achukue uamuzi gani? aue mtoto asiye na hatia au aache mtoto akue akijua yeye ni mtoto wa mbakaji??

Hii issue ni ngumu sana ndugu yangu, huwezi kuhukumu kwa akili yako ya kibinadamu... Muombe Mungu akusaidie sana katika hili, una watoto pia na kama huna utakuja kuwa nao... Do u want to tell me u are that saint?? Before you point your fingers on anyone, make sure that your hands are clean...
 
Watu wengine kichefuchefu tu, huwezi jua kama halijakufika, na mungu wetu alivyo wa ajabu linaweza listokee kwake likatokea kwa dadaake wa damu ndo atajua anacho ropoka kinamaanisha nini.

Hakuna ishu ya dada wa damu au wa maji hapa, nazungumzia watoto wanaoumizwa hisia kutokana na uamuzi mbaya wa mama zao kuzaa tu na yeyote wanayetaka bila kumfikiria mtoto atakavyokuja kuumizwa na hali hiyo.
 
Kwa hili ni gumu na linahitaji mawazo ya nguvu hasa la sivyo mnaweza mkauana
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi bana
 
Duh hii imeniuma sana, ukweli kunasaa inabidi uwe mmafia, yani ingekua mimi ningefanya mawili (1) ningechukua police nikamuweka ndani ye na mkewe kama noma naiwe noma mpaka wanipe mkidi wangu, naningekataa kua sijawahi zaa na huyo dr so dr nimwizi wa watoto, au na mi ningemfanyia uhuni ningetafuta wa huni nikawapa pesa kidogo wakawaiba watoto wake wote sita nikawaficha na mimi ninapojua lazima yule mke wake angesaidia kupatikana kwa mtoto wangu. DR MJINGA KABISA ALIE MWAMBIA WATOTO WA KIKE SIO WATOTO NI NANI MWEHU MKUBWA.
 
Una uhakika gani kama huyo ni Baba yako??? Labda aliweka kucha tu na masikio... usiwatukane wanawake, maana utakuwa unamtukana hata mama yako ambaye hujui alikutoa wapi....:eyeroll1:

This is vere vere darling
 
Back
Top Bottom