Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

ukitaka kufa mapema,
fanya haya mambo ya kupima DNA sijui nini..........
walahi kidume unakufa papo hapo!

Mambo ya ndani magumu nyie tena haya ya watoto acheni kabisa
Ukimchunguza sana bata/kuku/ng'ombe/mbuzi/nguruwe hutamla
 
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!

Mie na wewe hatuwezi fikia hatua ya kuchomana visu ni makubaliano
tangu mwanzo tunaanzia angaza tunamaliza mchezo unaonaje hiyo??
 
Mie na wewe hatuwezi fikia hatua ya kuchomana visu ni makubaliano
tangu mwanzo tunaanzia angaza tunamaliza mchezo unaonaje hiyo??

ni kweli,
na nikitaka mtoto wakati wowote nimwone,
nakuja tu kumchukua si ndio mama?
 
Si bora hata nimesema mbuzi? Ningewaita mbwa kabisa ndiyo ingeendana vizuri na hiyo tabia ya kuzaa tu alimradi umezaa, kwa nini msisubiri kuolewa mzae katika ndoa zenu? Kama unaweza hebu jaribu kutafiti kidogo watoto waliozaliwa nje ya ndoa waulize wanavyojisikia, nakuhakikishia wanachukia sana hali hiyo maana inawanyanyapaa. Wanawake badilikeni muwape heshima watoto wenu.

Nafikiri ni two way traffic, kama baba umeoa na ndoa yako, watoto wakazaliwa kumi wa kike, bado ni watoto. Unapoanza kumtafuta huyo wa kiume mtaa wa pili ndio unakutana na huyo dada asiye na ndoa and the story goes on and on.....
 
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!

hahahaaaaaaa lol mie mtoto wa kiume simtaki mwenye anataka wa kike namkaribisha

Tena hata wiki/mwezi kakae nae ila tu ukumbuke kumrudisha
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua
 
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua[/QUOTE]

Maty haendi nae kwa mkewe anampeleka kwa shangazi yake!!!!
 
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua

Maty haendi nae kwa mkewe anampeleka kwa shangazi yake!!!![/QUOTE]

hapo chawa
 
Na nyie muachage kuzaa kama mbuzi. Hebu muolewe muzae na waume zenu muone kama kuna atakayewasumbua. Mnayatafuta wenyewe haya matatizo.

Aliyekwambia tumezaa nje ya ndoa ni nani? Watch your language wewe

Tambua kuwa si kila single parent amezaa nje ya ndoa...................open up your brain. C.R.A.P
 
Aliyekwambia tumezaa nje ya ndoa ni nani? Watch your language wewe

Tambua kuwa si kila single parent amezaa nje ya ndoa...................open up your brain. C.R.A.P

Ulikuwa umelala nini?? Kaniboa mimi huyu asubuhi ya leo acha tu eti sisi mbuzi
 
Mimi ninaye mama na amenizaa kwa heshima kubwa kabisa wakiwa na baba yangu katika ndoa takatifu, nawapenda sana wazazi wangu. Na nimeshuhudia watoto waliozaliwa kwa mtindo unaofanana na ule wa mbuzi aliyekutana na beberu machungani, watoto hao hawaipendi hata kidogo hali hiyo na inawanyanyapaa sana. Ndicho ninacholaani, tabia ya wanawake kujizalisha hovyo tu kama mbuzi machungani, kwa nini msitulie mkaolewa kwanza ndipo mzae? Mnawakosea sana haki hao watoto mnaowazaa hovyo katika hayo mazingira ya utovu wa maadili. Wanawake badilikeni.

Mtu B............. natumaini wewe ni mtu mzima mwenye uwezo wa kufikiri. Post zako zimenikwaza nadiriki kusema hilo but nakusamehe kwani najua hujui ulisemalo. Nitakusaidia.
Wewe hapa unageneralize. Mfano niliokutolea wa kwangu ni halisi wala si hadithi. Na niliolewa nikiwa kigori tena ndoa ya heshima na takatifu kama ya wazazi wako wewe. Baada ya mwaka mmoja tukajaaliwa kupata mtoto mmoja .................na alipotimiza miezi sita tamu ya ndoa ikageuka shubiri hali iliyopelekea kutengana..mtoto ana miezi tisa!!! Baba mtu anakujamchukua.

Kwa hiyo hapo mie nimejizalisha kama mbuzi, si ndio???
Mungu na akusamehe.
 
Ulikuwa umelala nini?? Kaniboa mimi huyu asubuhi ya leo acha tu eti sisi mbuzi

Mpendwa sikuwa nimeingia humu .......dah basi tu glands zangu za hacra leo hazifanyi kazi. Nitamshauri tu! ataelewa.

Naona amesahau ule usemi wa usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
 
Mpendwa sikuwa nimeingia humu .......dah basi tu glands zangu za hacra leo hazifanyi kazi. Nitamshauri tu! ataelewa.

Naona amesahau ule usemi wa usitukane wakunga na uzazi ungalipo.

Pole ukiperuzi utaona Maty uvumilivu ulimshinda akatukana kabisa
 
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.

Mmmhhhh
 
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.

Ni kweli usemayo Mtu B.lakini omba MUNGU akusaidie ....una watoto angalia usijechapwa kofi na MUNGU.

Mimi ninachokuomba punguza ukali wa maneno yako, humu JF tuko wengi na wengine ni hao mabastards unaowasema and trust me.....it pains kwa sababu mtoto kama mtoto hajichagui kuzaliwa bastard............... na huyo mama mbuzi au mbwa kama unavyowaita!!
 
una maneno machafuuu sana as if ..... Anyway nisije nikatoa maneno machafu buree.

Ndio uelewe watoto hawapendi kuzaliwa katika mazingira kama ya mbwa-koko, utulie uolewe uzae wanao katika familia yako na mumeo kwenye ndoa. Mnawakosea sana haki watoto mnapowazaa na kujikuta wanaishi kama mbwa-koko, baba hajulikani eti hadi mtoto akapige simu Radio Free Africa na kujieleza maelezo mareeefu ya kumtafuta baba yake, kisa tu mamake kamficha au hata hamjui! Aibu jamani kinamama, aibu sana!
 
Ndio uelewe watoto hawapendi kuzaliwa katika mazingira kama ya mbwa-koko, utulie uolewe uzae wanao katika familia yako na mumeo kwenye ndoa. Mnawakosea sana haki watoto mnapowazaa na kujikuta wanaishi kama mbwa-koko, baba hajulikani eti hadi mtoto akapige simu Radio Free Africa na kujieleza maelezo mareeefu ya kumtafuta baba yake, kisa tu mamake kamficha au hata hamjui! Aibu jamani kinamama, aibu sana!

wewe yamekukuta ndio maana unahuzuni hivyo mimi nimelelewa na mama yangu tu na sijwahi kusikitika hata siku moja nakula maisha kwa kwenda mbele
 
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.

Ungekua umepata malezi ya heshima usingekua unaongea maneno machafu wewe ni C.R.A.P tu RIP
 
Back
Top Bottom