Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

[/U][/B]Yaani acha kabisa mi wangu tena kabinti kakubwa tu siku moja kakatoka huko nnje mbio na mayowe makali, nilistuka jamani nikasema kapatwa na nini yaani moyo wote ulikua unahama kumbe alikua anajifanyisha ili aone nitafanyaje ila nilishtuka kuliko maelezo, ije kua huyo wa mwaka mmoja? we acha kabisa uchungu wa mwana

uchungu mnaujua nyinyi tu akina mama,
sisi akina baba hapana,
au sisi sio wazazi jamani?
 
kitendo cha kumchukua mtoto ni busara zaidi kwa dr,
kwa jinsi alivyoona yeye,kuliko kumwacha mtoto kwa mama yake,
kwanini hiki kitendo cha baba kumchukua mwanae unakiita ni wizi?

Mwizi huyo acha kutetea ujinga kwanini amchukue bila ruhusa??
Wakati wakilala kitandani aaahhh hebu acha kuniudhi mimi maana nina hasira
 
Possibly kuna untold story, Walizungumza nini before hawajazaa? Wenda walikubaliana azae and achukue mtoto who knows?
and why fighting over mtoto, s/he grows up and find hs/hr mother/dad.......................kama ni mimi sihangaiki................bt will make sure na mvisit and necesary care inapatikana.........
 
uchungu mnaujua nyinyi tu akina mama,
sisi akina baba hapana,
au sisi sio wazazi jamani?


Nina wasiwasi na wewe kama ni mwanaume kweli
Unakwenda wodi ya wazazi wewe??
Muulize Asprin watoto ni siri ya nani atakupa jibu
 
kikojoleo chake ndio kina utata kwa nini kilishindwa kuvumilia kipate huyo mtoto kwa mkewe ndio maana kinatakiwa kiondolewe, mwanaume mwenye busara anakwambia kabisa nina mke na watoto so ukijibebesha mimba huyo wako mi hanihusu, ukishaambiwa hivyo sidhani kama unaweza beba mimba. huyu baba nia yake ilikua ni kumzalisha mdada wa watu alafu amkache

na kwanini huyu mdada,
alikuwa tayari kubeba hiyo mimba kwa miezi yote hiyo tisa,
huku akijua kabisa kuwa huyu baba ana mke wake?
bila shaka na yeye aliridhia hilo!!!!!
 
hawa ma he hata hawaelewi nini kinazungumzwa hapa, na ndio hiyo hali inayosababisha lazima mtoto akae na mama yake kwani wa mwenzio akilia huwezi kusikia ile hali waisikia kwa wakwako. Ndio maana unaambiwa kulea mtoto wa mtu kazi kwani huwezi mfeel the way unamfee wa kwako na sio kosa letu ndio mungu katuumba hivyo

kuwa na roho mbaya za kuua eeeh?
 
na kwanini huyu mdada,
alikuwa tayari kubeba hiyo mimba kwa miezi yote hiyo tisa,
huku akijua kabisa kuwa huyu baba ana mke wake?
bila shaka na yeye aliridhia hilo!!!!!

Unajua kutoa mimba ni dhambi?? Ulitaka aitoe? Mapenzi yalizidi mpaka akasahau siku mbaya
 
Mwizi huyo acha kutetea ujinga kwanini amchukue bila ruhusa??
Wakati wakilala kitandani aaahhh hebu acha kuniudhi mimi maana nina hasira

polepole desidii,
hizo hasira ndo zilimfanya huyo dada mwenzio kutaka kumuua baba watoto wake!!!!
 
basi tumzomee huyo dokta.
Mwiziiiii, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii huyoo!!!!!!!! Achomwe moto!!!!!

Tatiana, kosa la jinai kumwita huyu baba mwizi,
yawezekana aliamua kufanya hivo ili kuepusha majanga makubwa zaidi,
heri nusu shari kuliko shari kamili bana!!!!!!
 
Tatiana, kosa la jinai kumwita huyu baba mwizi,
yawezekana aliamua kufanya hivo ili kuepusha majanga makubwa zaidi,
heri nusu shari kuliko shari kamili bana!!!!!!

MWIZI mkubwa huyooooo wewe mbona unamtetea sana au ni wewe nini??
 
Back
Top Bottom