Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Punguza jazba maty mwenzio atakojolea wapi?ok anahtaji maombez ya week1
Hicho kikojoleo chake ndio kilichomfanya amlaghai dada wa watu na kumzalisha kisha amuibie mtoto, sasa kikiondolewa sio tu atashika adabu bali pia itamsaidia asitoke tena nje ya ndoa yake.

huyu mama alietaka kuua,
alipaswa kukemewa kabisa!!!!
unajua labda kwakuwa haijatolewa sababu ya msingi ya kwanini dr. aliamua kumchukua mtoto,
yawezekana, malezi ya huyu mtoto kwa yule mama yalikuwa na kasoro fulani,
Achilia mbali kuwa huyo ndo alikuwa mtoto wa kiume pekee kwa dr.

Angeenda kushtaki, huyo mama angechunguzwa na kama kweli hampi mtoto matuzo mazuri angenyang'anywa na baba angepewa mtoto kiulaini tu. Why aende kumuiba wakati mama hayupo?
 
Unataka sababu gani ya msingi???
Kashasema dr. anataka mtoto wa kiume ana watano wakike

Lakini Desidii baba akimchukua mwanae kuna kosa hapo,
kwasababu mwisho wa siku mtoto lazima amtambue baba yake!
 
sidhani kama tunatakiwa tufike huku kwenye uaminifu wa ndoa,
kwani tukisema hivo,
hata huyo mwanamke amefanya vibaya kuzaa na mume wa mtu!
issue hapa ni kwamba, mwanamke anapaswa kukemewa kwa kutaka kuua!
hayo mengiene ya uzinzi n.k, ni ya baadae sana!

Wanaume wengine hawasemi wameoa pengine ndo alisema hivyo.
Kukemewa kwa kutaka kuua??
Hasira unazijua wewe?? Tena hasira zenyewe za wodi ya wazazi???
acha mchezo kabisa mtoto akilia unashituka kama roho inataka kutoka halafu wewe!!!
 
Naomba kuuliza "Mada ya Leo" ni ipi hasa?

Kugombania "Mtoto wa Nje" au "Kugombania Mtoto wa Nje wa Kiume"?

Naomba ufafanuzi please!!
 
Lakini Desidii baba akimchukua mwanae kuna kosa hapo,
kwasababu mwisho wa siku mtoto lazima amtambue baba yake!

Asubili akue.
Au kama alikuwa anataka mtoto wake kwanini alimuiba?
Si angekuja kuzungumza namtaka mtoto
sababu sina wa kiume sasa wewe umesota wodi ya
wazazi halafu mtoto wako hujui aliko unaweza vumilia???
 
Hicho kikojoleo chake ndio kilichomfanya amlaghai dada wa watu na kumzalisha kisha amuibie mtoto, sasa kikiondolewa sio tu atashika adabu bali pia itamsaidia asitoke tena nje ya ndoa yake.



Angeenda kushtaki, huyo mama angechunguzwa na kama kweli hampi mtoto matuzo mazuri angenyang'anywa na baba angepewa mtoto kiulaini tu. Why aende kumuiba wakati mama hayupo?[/QUOTE]

Hilo ndo kosa alilofanya
 
Hicho kikojoleo chake ndio kilichomfanya amlaghai dada wa watu na kumzalisha kisha amuibie mtoto, sasa kikiondolewa sio tu atashika adabu bali pia itamsaidia asitoke tena nje ya ndoa yake.



Angeenda kushtaki, huyo mama angechunguzwa na kama kweli hampi mtoto matuzo mazuri angenyang'anywa na baba angepewa mtoto kiulaini tu. Why aende kumuiba wakati mama hayupo?

sasa Maty hiko kikojoleo chake utakapokiondoa ,
hiyo ndoa yake itatulia vipi,
hapo unajenga au unabomoa!
ndo maana nasema hasira hasara bana!!!!!!

wanawake wengine ni watata sana,
yawezekana dr.aliamua hivi kwa kuona kuwa huu ndo uamuzi wa busara!!!!!!!!
 
Anakemewa yupi hapa? dr au mama mtoto?

Dr. kwa nini amekwiba mtoto? kama mtoto ni wako unamuibaje? inaelekea huyu dr ndio wale wanaowaibiaga wamama watoto na kuwauza, na wanasema mwizi akikosa pa kuiba anajiibia hata yeye mwenyewe sa baada ya serikali kuwa makini na hii tabia kaizoea ameamua ajiibie ili ajitulize lol kwi kwi kwi kwi
 
Akina Mama acheni tabia ya "kuingia mitini" na "watoto wetu wa Kiume"!
 
sasa Maty hiko kikojoleo chake utakapokiondoa ,
hiyo ndoa yake itatulia vipi,
hapo unajenga au unabomoa!
ndo maana nasema hasira hasara bana!!!!!!

wanawake wengine ni watata sana,
yawezekana dr.aliamua hivi kwa kuona kuwa huu ndo uamuzi wa busara!!!!!!!!

Wizi nao ni busara nilikuwa sijui wala silifahamu
 
Wanaume wengine hawasemi wameoa pengine ndo alisema hivyo.
Kukemewa kwa kutaka kuua??
Hasira unazijua wewe?? Tena hasira zenyewe za wodi ya wazazi???
acha mchezo kabisa mtoto akilia unashituka kama roho inataka kutoka halafu wewe!!!


Yaani acha kabisa mi wangu tena kabinti kakubwa tu siku moja kakatoka huko nnje mbio na mayowe makali, nilistuka jamani nikasema kapatwa na nini yaani moyo wote ulikua unahama kumbe alikua anajifanyisha ili aone nitafanyaje ila nilishtuka kuliko maelezo, ije kua huyo wa mwaka mmoja? we acha kabisa uchungu wa mwana
 
[/U][/B]Yaani acha kabisa mi wangu tena kabinti kakubwa tu siku moja kakatoka huko nnje mbio na mayowe makali, nilistuka jamani nikasema kapatwa na nini yaani moyo wote ulikua unahama kumbe alikua anajifanyisha ili aone nitafanyaje ila nilishtuka kuliko maelezo, ije kua huyo wa mwaka mmoja? we acha kabisa uchungu wa mwana

Yaani unatengana na kila kitu kilichopo mwilini hata busara inatoka
 
sasa Maty hiko kikojoleo chake utakapokiondoa ,
hiyo ndoa yake itatulia vipi,
hapo unajenga au unabomoa!
ndo maana nasema hasira hasara bana!!!!!!

wanawake wengine ni watata sana,
yawezekana dr.aliamua hivi kwa kuona kuwa huu ndo uamuzi wa busara!!!!!!!!

kikojoleo chake ndio kina utata kwa nini kilishindwa kuvumilia kipate huyo mtoto kwa mkewe ndio maana kinatakiwa kiondolewe, mwanaume mwenye busara anakwambia kabisa nina mke na watoto so ukijibebesha mimba huyo wako mi hanihusu, ukishaambiwa hivyo sidhani kama unaweza beba mimba. huyu baba nia yake ilikua ni kumzalisha mdada wa watu alafu amkache
 
Yaani unatengana na kila kitu kilichopo mwilini hata busara inatoka

hawa ma he hata hawaelewi nini kinazungumzwa hapa, na ndio hiyo hali inayosababisha lazima mtoto akae na mama yake kwani wa mwenzio akilia huwezi kusikia ile hali waisikia kwa wakwako. Ndio maana unaambiwa kulea mtoto wa mtu kazi kwani huwezi mfeel the way unamfee wa kwako na sio kosa letu ndio mungu katuumba hivyo
 
kikojoleo chake ndio kina utata kwa nini kilishindwa kuvumilia kipate huyo mtoto kwa mkewe ndio maana kinatakiwa kiondolewe, mwanaume mwenye busara anakwambia kabisa nina mke na watoto so ukijibebesha mimba huyo wako mi hanihusu, ukishaambiwa hivyo sidhani kama unaweza beba mimba. huyu baba nia yake ilikua ni kumzalisha mdada wa watu alafu amkache

Haswaaaaaaaaaaaaaa kilipaswa kiondolewe komplitili kabisa
 
lakini desidii baba akimchukua mwanae kuna kosa hapo,
kwasababu mwisho wa siku mtoto lazima amtambue baba yake!

kosa lake si kumchukua bali ni kumchukua bila ruhusa tena kabla mtoto hajafikisha umri unaotakiwa (7years)
 
hawa ma he hata hawaelewi nini kinazungumzwa hapa, na ndio hiyo hali inayosababisha lazima mtoto akae na mama yake kwani wa mwenzio akilia huwezi kusikia ile hali waisikia kwa wakwako. Ndio maana unaambiwa kulea mtoto wa mtu kazi kwani huwezi mfeel the way unamfee wa kwako na sio kosa letu ndio mungu katuumba hivyo

Hutafeel kitu maana hata husikii ka uchungu kokote lakini wakwako jamani mweweee
 
Wizi nao ni busara nilikuwa sijui wala silifahamu

kitendo cha kumchukua mtoto ni busara zaidi kwa dr,
kwa jinsi alivyoona yeye,kuliko kumwacha mtoto kwa mama yake,
kwanini hiki kitendo cha baba kumchukua mwanae unakiita ni wizi?
 
Back
Top Bottom