Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

Dah hamtuachi tu ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni mtazamo na maoni wako. Sidhani kama kuna ukweli ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…