Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

Mwanaume ukioa Moshi/Kilimanjaro unakua tu ni sawa umeolewa maana kila mwisho wa mwaka wakwe na mashemeji wanaporudi kwao kwa ajili ya sikukuu na wewe utakua unalazimishwa kwenda.

Nina ndugu zangu 4 wameoa kilomanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine naowafahamu ambao sio wenyeji wa kilimanjaro ila kila inapofika mwisho wa mwaka lazima waende huko, hata pascal mayala amesema yeye kila mwisho wa mwaka huenda moshi wakati ni msukuma wa kanda ya ziwa.

Ukioa moshi ni kama umeolewa wewe maana utapelekeshwa kama mbuzi.

Anyway, haya ni maoni yangu na mtazamo wangu, sio lazima uyapemde.
Dah hamtuachi tu ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom