Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

Ukioa Kilimanjaro unakuwa ni sawa na umeolewa wewe, kila mwisho wa mwaka unatakiwa kwenda Moshi sherehe za mwisho wa mwaka

Mwanaume ukioa Moshi/Kilimanjaro unakua tu ni sawa umeolewa maana kila mwisho wa mwaka wakwe na mashemeji wanaporudi kwao kwa ajili ya sikukuu na wewe utakua unalazimishwa kwenda.

Nina ndugu zangu 4 wameoa Kilimanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine ninaowafahamu ambao sio wenyeji wa Kilimanjaro ila kila inapofika mwisho wa mwaka lazima waende huko.

Hata Pascal Mayala amesema yeye kila mwisho wa mwaka huenda Moshi wakati ni Msukuma wa Kanda ya Ziwa.

Ukioa Moshi ni kama umeolewa wewe maana utapelekeshwa kama mbuzi.

Anyway, haya ni maoni yangu na mtazamo wangu, sio lazima uyapende.

Mleta mada unaonekana hujui chochote kuhusu mila za wachaga. Katika jamii nyingi za wachaga, mwanamke akishaolewa haruhusiwi tena kurudi na kulala nyumbani kwao unless kuwe na tatizo kubwa kama msiba ndio ataweza kulala. Mwanamke anaeweza kurudi uchagani na kulala ni yule ambae hajaolewa. Kwahiyo hao unaoona wakienda uchagani ni wanaume wa kichaga ambao aidha wameoa wachaga wenzao au wameoa makabila mengine. Kamwe mwanamke wa kichaga hawezi kumchukua mume wake halafu akamlaze kwa baba mkwe uchagani maana yeye mwanamke haruhusiwi kulala huko!
 
Mleta mada unaonekana hujui chochote kuhusu mila za wachaga. Katika jamii nyingi za wachaga, mwanamke akishaolewa haruhusiwi tena kurudi na kulala nyumbani kwao unless kuwe na tatizo kubwa kama msiba ndio ataweza kulala. Mwanamke anaeweza kurudi uchagani na kulala ni yule ambae hajaolewa. Kwahiyo hao unaoona wakienda uchagani ni wanaume wa kichaga ambao aidha wameoa wachaga wenzao au wameoa makabila mengine. Kamwe mwanamke wa kichaga hawezi kumchukua mume wake halafu akamlaze kwa baba mkwe uchagani maana yeye mwanamke haruhusiwi kulala huko!
Wewe ni muongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke.wa kichaga akisha olewa hata chumba chake wanapangisha mwingine
Mwanaume ukioa Moshi/Kilimanjaro unakua tu ni sawa umeolewa maana kila mwisho wa mwaka wakwe na mashemeji wanaporudi kwao kwa ajili ya sikukuu na wewe utakua unalazimishwa kwenda.

Nina ndugu zangu 4 wameoa Kilimanjaro, wafanyakazi wenzangu na marafiki zangu na watu wengine ninaowafahamu ambao sio wenyeji wa Kilimanjaro ila kila inapofika mwisho wa mwaka lazima waende huko.

Hata Pascal Mayala amesema yeye kila mwisho wa mwaka huenda Moshi wakati ni Msukuma wa Kanda ya Ziwa.

Ukioa Moshi ni kama umeolewa wewe maana utapelekeshwa kama mbuzi.

Anyway, haya ni maoni yangu na mtazamo wangu, sio lazima uyapende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa Hakimu Mfawidhi hakuna anayelazimishwa bhana. Ni mapenzi tuu kwenye ule utaratibu wa kusherekea kumaliza mwaka unawavutia wengi.
Halafu wanaoenda sio walioowa huko tuu, hata marafiki wanaenda kwa marafiki zao wa mkoa huo kwaajili ya kufurahia tuu. Hata wewe ukienda na Pascal Mayalla Mara moja unatamani kwenda kila mwakamwaka,,,, Kale kautaratibu ni kazuri na kakuigwa
Kwa kweli hata Mimi kananivutia,natamani sikukuu moja na Mimi niende moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekaa K'njaro nimesoma na wachaga, my best friend baba yake na mama yake ni wachaga. Baba yake alimwambia mwanae asioe mchaga, from this nikapigia mstari msimamo wangu uliokuwepo. Sitoutaja hapa nisije onekana nina chuki
 
Mleta mada unaonekana hujui chochote kuhusu mila za wachaga. Katika jamii nyingi za wachaga, mwanamke akishaolewa haruhusiwi tena kurudi na kulala nyumbani kwao unless kuwe na tatizo kubwa kama msiba ndio ataweza kulala. Mwanamke anaeweza kurudi uchagani na kulala ni yule ambae hajaolewa. Kwahiyo hao unaoona wakienda uchagani ni wanaume wa kichaga ambao aidha wameoa wachaga wenzao au wameoa makabila mengine. Kamwe mwanamke wa kichaga hawezi kumchukua mume wake halafu akamlaze kwa baba mkwe uchagani maana yeye mwanamke haruhusiwi kulala huko!
Mchaga yupi? Kuna wamachame, warombo, wamarangu, wauru, wakibosho, waoldmoshi na wote hao wanalugha zao hawasikilizani kabisa. Ndugu zangu wameoa wamachame na wamarangu na bado wanaenda huko na kulala kwa wakwe! Au wewe unasema mambo ya mwaka 47?
 
Inawezekana kukawa na ukweli kwenye hili maana kuna baba mkwe wetu ni mtu wa kanda ya ziwa mama mkwe wetu ni mchaga ila mara kwa mara mwisho wa mwaka mzee anakuwa Kilimanjaro sio kwao
 
pole una bahati
hakuna kinachouma km kugongewa
lkn kwa Wachagga hilo halipo
wale Makabila mawili Kanda ya Kati Mkoa wa Singida na Dodoma ungeweka mikono juu labda km na ww Kabila ilo
kwingine Kanda ya Magharibi mwa Ziwa
au kule nyanda za juu msiba ukitokea wanagalagala sawasawa na Wakwere
walikufanya nini britanicca
Umalaya sio kabila ni tabia.
 
Back
Top Bottom