Ukioa kwa kigezo cha wife material, kuna siku utaona aibu hata kutoka naye out

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Mke atakuwa anajibidisha sana kwa kila kitu lkn moyoni atakuwa hayumo kabisa, na hata "moto atakuwa hauwashi". Ataonekana kama mjomba tu.

Jamani ndoa Ina raha kama umeoa pisi inayouwehusha moyo ukiitazama. Na hata ukitoka nayo out inakuinulia hadhi na kukufanya ujione wewe ni mwanaume kati ya wanaume.

Kuna rafiki yangu kaoa pisi kali kiasi kwamba hataki hata kuchepuka, kwasabb kila nyapu anayokutana nayo anaiona haina hadhi ya kumfikia mkewe.

Wife material tupa kule, oeni pisi kali.
 
Mkianza kuchapiwa mnakuja humu mnaanza kusapotiana Na kataa nfoa
 
We nyege ndo zinakusumbua.
Hayupo mwanamke mbaya wala mzuri kwa mumewe. Wewe wa nje ndo unaona huo ubaya au uzuri ila sio kwa mumewe, mme anaweza mwona mke mzuri kwa kias chake na mbaya kwa kias chake.

Nikama unavyozaa mtoto, huwezi kumwona mwanao mbaya hata siku moja atakama ni mweusi kama giza ni lazima utampenda ata ukiletewa mtoto mwingine wa kiarabu ukae nae bado utandelea kumpendelea wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…